Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Hawakupenda iwe hivi,tatizo ni yule wanaecheza nae!2-0...game over...Loserfools kama wamevaa pichu zilizojaa nya
Hawakupenda iwe hivi,tatizo ni yule wanaecheza nae!2-0...game over...Loserfools kama wamevaa pichu zilizojaa nya
Sasa naichukulia Arsenal kama title contender....hongereni.
Mhhhhhhhhhhhhh!Sasa naichukulia Arsenal kama title contender....hongereni.
hahahahaah.....mkuu yaani bado ulikuwa huna imani na kikosi cha arsenal?
Sasa naichukulia Arsenal kama title contender....hongereni.
Mkuu party iko wapi nije kujiunga?
.......::vile #ViduduMvua vipo wapi leo?
Kimyaaaaaaaaaa.......'ddaaadddadeki!
Mfaranyaki Mkuu kuna ulanzi wa kutosha, debe za nguvu kusherehekea huu ushindi mkubwa, karibu sana Mkuu.
Mfaranyaki Mkuu kuna ulanzi wa kutosha, debe za nguvu kusherehekea huu ushindi mkubwa, karibu sana Mkuu.