Arsenal (The Gunners) | Special Thread

.....sasa ni wakati wa kuangalia kabumbu saaaafi, na kikombe cha milo pembeni.

.....mambo 'kimya kimya!'
 
great save from Szczesny manake ilikuwa deflection ambayo ingezaa goli kwa WBA,dk ya 15
 
Gibbs dk ya 17:30 anakosa goli mpira unapaa juu kabisa
 
WBA has a good squad by the way!!, Dk ya 21.55 Flamini analimwa yellow card...!! Ramsey anatibiwa pale chini ni msuli umebana nadhani!!
 
Huyu Jenkinson naonaona hayuko vizuri sana kama Sagna, manake cross zake nyingi zinazidi vipimo zinatoka nje
 
Wakuu wa Gunners vipi kitale .... .... ...
Naona
Gunners wameanza taratibu leo.
 
Reactions: Mbu
Wilshere dakika ya 30 kaumia jicho...anaweza akapewa subs...bado game ni nzito 0 0
 
Smoking is dangerous for man's health....Jackline Wheelchair is a good case...anarukaruka na kuangukaanguka tu uwanjani...
 
1 down .... ..... .. 2 minutes to halftime .... .
 
.....hahaha, Nzi kafuraaaaahi....
Heheheh
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Yellow card to wilshere....huyu jamaa leo hayuko vizuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…