Unaaamini kweli Real Madrid wanaweza kuwauzia wachezaji wote 3(Kaka,Benzema na Di Maria)?
Usajili wa Bale umechelewa sababu Spurs walisema hawatamuuza hadi wapate replacement yake (Lamela,Eriksen) so usajili wa Bale utakamilika wikiendi hiI
Mkuu Richard..hao Totenham aka chikens wasikuumize kichwa kabisa. Kila mwaka wamekuwa wakisajili lakini bado tunamaliza juu yao. Cha muhimu Wenger ni kuangalia wachezaji watakaoiwezesha timu kutwaa ubingwa msimu huu. Issue ya Dimaria mpaka sasa hivi Arsenal hawajasubmit bid yoyote na Dimaria mwenyewe anasema anataka kubaki Madrid kufight for his place.Wakuu mambo vipi.
Bantalanda, Rejao, Wacha, Kweli na wengine kuna mambo yanafanyika kuokomoa Arsenal.
Kuna habari jioni hii kwamba Tottenhama wamekuwa wakifanya usajili wa wachezaji wao hadi saba, huku wakati huohuo wakiwa wamezuia usajili wa Gareth Bale ucheleshwe kwa makusudi ili kuwazuia Arsenal wasimsajili Angel Di Maria ambae Arsenal walitaka wamsajili mapema wiki hii ili acheze Jumapili kwenye mechi ya Arsenal na Tottenham.
Bale amekwishakubali "terms" na Real Madrid na atatangazwa jumatatu baada ya mechi hiyo wa watani hao wa kaskazini mwa London.
Mwenyekiti wa Tottenham ambae ni mtaalam wa mbinu za usajili amemaliza masuala yote ya usajili wa Gareth Bale lakini amekubaliana na Real Madrid kwamba wakimruhusu Di maria azungumze na Arsenal mpaka mechi ya jumapili itakapochezwa.
Kumekuwa na taarifa mbalimbali kwamba kuna kampeni dhidi ya Wenger na Arsenal kuhakikisha kwamba hawapati wachezaji wa uhakika wanaowahitaji ambao watawaongezea nguvu katika timu mbayo ipo tayari kwenye ligi ya msimu huu.
Kuna baadhi ya vyombo vya habari ambavyo vilikuwa vikisubiri kwa hamu Arsenal ipoteze mechi kati yake na Fulham na Arsenal wakashinda ile mechi tena kwa ushindi mnono. Baada ya mechi ile hata yule msemaovyo Ian Wright akawa baridi kwa kiasi kikubwa katika mahojiano yake na televisheni na redio mbalimbali.
Baada ya mechi na Aston Villa vyombo mbalimbali vya habari vikiongozwa na moja ya televisheni maarufu nchini Uingereza, kwa makusudi kabisa viliweka kampeni ya kumharibia Arsene Wenger utaratibu wake wa kuandaa timu kwa ajili ya mechi na Fenerbahce na Fulham lakini Arsenal wakashinda mechi hizo.
Hivyo tusubiri Wenger atafanya nini ndani ya masaa 72 yaliyobaki, lakini usajili wa Angel Di Maria, Karim Benzema na Mesut Ozil unatarajiwa kukamilishwa baada ya Gareth Bale kutangazwa kuwa mchezaji wa Real Madrid siku ya jumatatu.
Tottenham mpaka kufikia jioni ya Ijumaa wamesajili wachezaji saba ambao wamegharimu kiasi cha paundi milioni 109, na kama wamefanya walichokifanya Queens Park Rangers basi tunasubiri.
Unaaamini kweli Real Madrid wanaweza kuwauzia wachezaji wote 3(Kaka,Benzema na Di Maria)?
Usajili wa Bale umechelewa sababu Spurs walisema hawatamuuza hadi wapate replacement yake (Lamela,Eriksen) so usajili wa Bale utakamilika wikiendi hiI
Tatizo kubwa iwe kokote duniani habari inayohusu arsenal inauza sana,Imefungwa Mancity ambayo imesajili wachezaji wa karibu £90M na huku walikuwa na kikosi bora lakini ulaya haikuwa habari mimi binafsi sioni kama kusajili majina makubwa ndio mafanikio ya uwanjani,angalia Tottenham msimu uliopita wamesajili kushinda arsenal matokeo yake amepata nafasi ya tano nyuma ya arsenal,Real Madrid wanajulikana kwa kutaka mchezaji bora kila mwaka na wanatoa hela kubwa kwa maana ya uwanjani msimu uliopita hawajaambulia kitu zaidi wao wamefanikiwa kuuza jezi na kuongeza mapato ya klabu,kwa Arsenal wamemsajili bure Flamini kiungo mkabaji ambae ndio tatizo kubwa la arsenal kwa msimu ulioisha natarajia kipa atasajiliwa maana mpaka sasa kipa ni wawili tuWakuu amini msiamini Arsenal mwaka huu ina wachezaji kamili isipokuwa hao ambao ni majeruhi na Wenger alitaka kuongeza wachezaji watatu mahiri.
Lakini timu zinawasiliana na zinafahamu uzoefu wa Wenger katika kutambua vipaji na kila mchezaji ambae ana kipaji.
Pia msisahau kwamba Man Utd nao wana matatizo kama haya kwamba wakiwanunua Fellaini na Leighton Baines basi wataendelea kuwa watawala wa ligi kuu.
Au watu wanasahau kwamba Man Utd wanakataa kuruhusu Wayne Rooney kusajiliwa na Chelsea.
Hivyo timu za Arsenal, Man Utd, Man City, Chelsea, Liverpool na Tottenham msimu huu zitakuwa na uhasama wa kiasi fulani katika kugombea si tu ubingwa bali nafasi nne za juu kwenye ligi hiyo.
Some of you guys mna moyo sana. Mi nishafikia boiling point. Siwezi kuwaamini watu walioshindwa kufanya usajili wa maana ndani ya miezi mitatu iliyopita kuwa watasajili vizuri ndani ya siku mbili tatu. This is a make or break season for Wenger. Msimu huu na kikosi tulichonacho Wenger ni LAZIMA achukue kikombe/vikombe au atuachie timu yetu kwa kuwa ndicho alichosema kuwa we can challenge with or WITHOUT signings. Now show us what you can and bring trophies at Emirates or we are done. Huwezi kudanganya kila mtu siku zote. Hakuna mtu anaridhika kupigania top four for nearly 8 years wakati tuna uwezo wa kustrengthen timu na kuchallenge for titles.
Naona leo anacomfirm kuwa anaweza kumtumia Nicolas Bendtner. Angesema tu atamtumia sio anaweza. Hawa ndio 'top top players' aliokuwa anawaongelea miezi yote hii. Pamoja na Flamini na Sanogo. Safi.
Wakuu mambo vipi.
Bantalanda, Rejao, Wacha, Kweli na wengine kuna mambo yanafanyika kuokomoa Arsenal.
Kuna habari jioni hii kwamba Tottenhama wamekuwa wakifanya usajili wa wachezaji wao hadi saba, huku wakati huohuo wakiwa wamezuia usajili wa Gareth Bale ucheleshwe kwa makusudi ili kuwazuia Arsenal wasimsajili Angel Di Maria ambae Arsenal walitaka wamsajili mapema wiki hii ili acheze Jumapili kwenye mechi ya Arsenal na Tottenham.
Bale amekwishakubali "terms" na Real Madrid na atatangazwa jumatatu baada ya mechi hiyo wa watani hao wa kaskazini mwa London.
Mwenyekiti wa Tottenham ambae ni mtaalam wa mbinu za usajili amemaliza masuala yote ya usajili wa Gareth Bale lakini amekubaliana na Real Madrid kwamba wakimruhusu Di maria azungumze na Arsenal mpaka mechi ya jumapili itakapochezwa.
Kumekuwa na taarifa mbalimbali kwamba kuna kampeni dhidi ya Wenger na Arsenal kuhakikisha kwamba hawapati wachezaji wa uhakika wanaowahitaji ambao watawaongezea nguvu katika timu mbayo ipo tayari kwenye ligi ya msimu huu.
Kuna baadhi ya vyombo vya habari ambavyo vilikuwa vikisubiri kwa hamu Arsenal ipoteze mechi kati yake na Fulham na Arsenal wakashinda ile mechi tena kwa ushindi mnono. Baada ya mechi ile hata yule msemaovyo Ian Wright akawa baridi kwa kiasi kikubwa katika mahojiano yake na televisheni na redio mbalimbali.
Baada ya mechi na Aston Villa vyombo mbalimbali vya habari vikiongozwa na moja ya televisheni maarufu nchini Uingereza, kwa makusudi kabisa viliweka kampeni ya kumharibia Arsene Wenger utaratibu wake wa kuandaa timu kwa ajili ya mechi na Fenerbahce na Fulham lakini Arsenal wakashinda mechi hizo.
Hivyo tusubiri Wenger atafanya nini ndani ya masaa 72 yaliyobaki, lakini usajili wa Angel Di Maria, Karim Benzema na Mesut Ozil unatarajiwa kukamilishwa baada ya Gareth Bale kutangazwa kuwa mchezaji wa Real Madrid siku ya jumatatu.
Tottenham mpaka kufikia jioni ya Ijumaa wamesajili wachezaji saba ambao wamegharimu kiasi cha paundi milioni 109, na kama wamefanya walichokifanya Queens Park Rangers basi tunasubiri.
Dah!......
Jirani una GUBU sijapata kuona......
Maana unaweza kukaa hata wiki haujapost kwenye Jukwaa la Chelsea lakini kutwa kucha uko hapa.......
Arsène Wenger believes Arsenals Champions League group is a difficult but exciting opportunity for his side. The Gunners have been drawn alongside Marseille, last years beaten finalists Borussia Dortmund and Rafa Benitezs side, Napoli.
It has already been dubbed the group of death by some observers but Wenger cannot wait to get started next month. It's difficult but exciting as well because it's a group of a very good level, the manager said. We have played Dortmund two years ago. We did well against them and Napoli did well last year. Marseille we played two years ago as well. It's a similar group to what we knew two years ago.
Every game will be of huge importance because it could be down to a point or goal difference in the end.
Last season Spurs walisajili Hugo Lloris,Mousa Dembele,Jan Vertongen,Clint Dempsey,Lewis Holtby while Arsenal walisajili Olivier Giroud,Santi Cazorla,Lukas Podolki,Nacho Monreal na kumbuka Arsenal alimzidi Spurs point moja.Then kumbuka kuna Liverpool ambao nao timu yao imeanza kuimarika na wamefanya usajili mzuri msimu huuTatizo kubwa iwe kokote duniani habari inayohusu arsenal inauza sana,Imefungwa Mancity ambayo imesajili wachezaji wa karibu £90M na huku walikuwa na kikosi bora lakini ulaya haikuwa habari mimi binafsi sioni kama kusajili majina makubwa ndio mafanikio ya uwanjani,angalia Tottenham msimu uliopita wamesajili kushinda arsenal matokeo yake amepata nafasi ya tano nyuma ya arsenal,Real Madrid wanajulikana kwa kutaka mchezaji bora kila mwaka na wanatoa hela kubwa kwa maana ya uwanjani msimu uliopita hawajaambulia kitu zaidi wao wamefanikiwa kuuza jezi na kuongeza mapato ya klabu,kwa Arsenal wamemsajili bure Flamini kiungo mkabaji ambae ndio tatizo kubwa la arsenal kwa msimu ulioisha natarajia kipa atasajiliwa maana mpaka sasa kipa ni wawili tu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Dah!......
Jirani una GUBU sijapata kuona......
Maana unaweza kukaa hata wiki haujapost kwenye Jukwaa la Chelsea lakini kutwa kucha uko hapa.......
GUBU hilo jirani........
Yaani una GUBU kama wifi/mama mkwe wa Kizaramo......Kutwa kucha kumsakama mkamwana wao kama wewe unavyoisakama Arsenali..........
why you haters judge alot...gunners will always be europeans elites...wa 100% hapati 1%
why you haters judge alot...gunners will always be europeans elites...wa 100% hapati 1%
European elites? Huna hata ndoo moja ya CL then utasema European elites?
Is this supposed to be a joke?
Do you know the meaning of that word? Au ndio kukurupuka kwenyewe. Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtalia sana tu.
BTW nilikuwa namwangalia Rafa hapa kesha maliza mambo yake kwenye US open chacha namfuatilia Mr Woods ingawa anachechemea ... ..... ... kesho napanda ungo wangu natinga Emirates naona hali ya hewa itakuwa shwari. Chi unajua tena lazima Totts tuwabangue na huyu mia cat aliyetoroka kutoka kwenye cowshed.