Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mi nadhani uwezo wa kufikiri wa huyu Wenger unaathiriwa na umri-ni wakati sasa akapumzika
 



Chuba Akpom tucks home his fourth pre-season goal ... ...


BTW vijana machachari wameonyesha nia yao ya kufanya kweli mara EPL itakapoanza ..... .Chuba, Serge wameonyesha uwezo mzuri tegemea mambo makubwa huko mbeleni .... ...
 
Tulishasema Arsenal hata ikiwa na hela ni vigumu sana Wenger kubadilisha philosophy yake.Na jinsi Giroud anavyofunga huko Asia sidhani kama atasajili mshambuliaji

.....safari hii nafasi ya nne yenu bila wasiwasi Belo wa Old Trafford 😀....
 
Last edited by a moderator:
Nawe ulikuwa manager lini? Wacha ngebe! Mtazamo wake peleka kwa mashoga wenu kule Old Trashford. Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

.....hata wasikupigishe kelele hawa, Man Citeh na Man United safari hii watakuwa wanagombea nafasi ya tatu na ya nne....

Title contenders will be Arsenal na Chelsea bila wasiwasi, kombe linarudi Londonistani!
 
jamani babu kasajili mwengine tofauti na sanogo? mbona kama pressure inapanda....
 

Mkuu, sijawahi kujibu hoja yako yoyote ile lakini hii naona unaenda "personal" na sio haki.

Jaribu kuzungumza kuhusu football na sio matusi.

Matusi hayaleti tija.
 
Im Arsenal fan, lakini Wenger anaweza asimsajili tena Suarez sababu Giroud ameanza kuonesha improvement huko Asia!!
 
Mkuu, sijawahi kujibu hoja yako yoyote ile lakini hii naona unaenda "personal" na sio haki.

Jaribu kuzungumza kuhusu football na sio matusi.

Matusi hayaleti tija.

Mkuu hao jamaa dawa yao ni kuwapiuza tu..Hauna haja ya kujibizana nao...

Mi huwa nashindwa kuwaelewa Peasant na wenzake....Timu zao zina thread hawachangii lakini kutwa kucha wako hapa kutoa maneno ya dhihaka na wakati mwingine 'matusi' dhidi ya mashabiki wa Arsenal......Kuna wengine humu naona siku zao haziendi bila kutoa dhihaka dhidi ya Arsenal na mashabiki wake.....Inasikitisha na kukera sana....

Ustaarabu hakuna kabisa....Watuache mashabiki wa Arsenal na si kutusakama kipuuzi maana kila mtu ana uhuru wa kushabikia timu anayotaka...

Why Always Arsenal?.....
 
The blood is the red of north London - Getting ready for new season. Tupo pamoja wakuu wangu wote.
 

.....voyeurism hiyo tunaita, au kule mwambassa wanasema 'wakozi meni!'
 

Yaani watuache kabisaa
yaaan naipenda arsenal mpaka natamani kungekua na mpesa au tigo pesa hata 250 yangu niwatumie ili tu mchango wangu wauone
Ila babu mbona hafanyi makeke au anataka kutusuprise mwisho wa usajili
 
Jamani wakuu,hadi sasa sijamuelewa Wenger manake kapewa pesa mezani tena yakutosha, hadi leo sijaona usajili. Au anasubiri tupigwe mechi tano za mwanzo ndo asajili? Huyu mzee siyo siri ataniua kwa presha!!!!!

wenger anacheza na akili za mashabiki ndo maana naawazungusha leo huku kesho kule muda unaenda tu mara lingi inaanza na kila siku anasema atasaini jina kubwa
 
Kutokana na historia ya AW katika usajili wa miaka ya hivi karibuni, mie niliandika hapa kama sikosei May 2013, kwamba katika usajili wa 2013/2014 tusitegemee jipya itakuwa ni usanii ule ule wa miaka karibuni wa kusajili magarasa. Naona kauli yangu imetimia. AW ni janga la Gunners.


Jamani wakuu,hadi sasa sijamuelewa Wenger manake kapewa pesa mezani tena yakutosha, hadi leo sijaona usajili. Au anasubiri tupigwe mechi tano za mwanzo ndo asajili? Huyu mzee siyo siri ataniua kwa presha!!!!!
 
The blood is the red of north London - Getting ready for new season. Tupo pamoja wakuu wangu wote.

Chakushangaza wenger amesema he still have a strong team to win trophies without any signing
 
Jamani wakuu,hadi sasa sijamuelewa Wenger manake kapewa pesa mezani tena yakutosha, hadi leo sijaona usajili. Au anasubiri tupigwe mechi tano za mwanzo ndo asajili? Huyu mzee siyo siri ataniua kwa presha!!!!!


Haulo peke yako kiongozi naona majeneza yetu yanaweza kuongozana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…