Naona umepitiwa kidogo Wenger hawezi kununua mchezaji wa paundi milioni 150
alikusudia mshahara wa wiki na ni paundi 150,000 kama inavyoripotiwa na BBC
jana katoa pasi ya goli kwa Aspas huko australia ila hakwenda kushangilia na wenzake..."body language" inaonesha anataka kusepa tatizo kuna uwezekano real Madrid waka hijack deal na liverpool wanaomba RM waje kuliko kumuuza palepale EPL
Usajili wa siku hizi ni vurugu na Mourinho kasema hakuna uzalendo kwenye football siku hizi.Kwa mtazamo wangu Higuan angewafaa sana kuliko Suarez kwa nini nasema
1.Kutokana image aliyojingea Suarez akihamia timu ya England ataendelea kuandamwa na media na mashabiki hasa wa Liverpool
2.Gonzalo ni pure striker tofauti na Suarez ambaye anatokea pembeni na wapo Walcot na Poldi wanaoweza cheza hiyo nafasi
3.Gonzalo ni mmaliziaji mzuri angalia hata statistics zake pale Rm,amekuwa affected na ujio wa CR 7
4.Suarez ni bei ghali now ni 40 ml paundi while Higuain angeweza patikana kwa 30.
Baada ya kumuuza Gonzalo RM wana hela ya kumnunua Suarez hata Liverpool wakitaka 50 Perez akimtaka lazima atatoa.Kwa mtazamo wangu Arsenal inabidi wasajili beki wa kati ,mabeki 2 ni majeruhi huko mbele hakuna tatizo sana
beki wa kati na kipa lazima watakuja tu...its matter of patience
hivi suarez na higuain nani mkali? Kuna advantage anazo Suarez kuliko Gonzalo...tukiweka nje tabia alizonazo jamaa ni fighter,mzuri sana kwenye set pieces,deadly in the box na anakaba...
Modern football imeleta balaa na hasa walipokuja sugardadies hakuna tena "right values" kwa wachezaji kila mchezaji bei iko either mara 2 au 3 zaidi na greedness ya mawakala..
Kijana mi nakuona kwa sababu usajili wenu unasuasua mnatamani tusinunue mchezaji wa maana tufanane...unaposema tunaweweseka nadhani unajisema mwenyewe BBC na Skysports hawaripoti tetesi ndugu ni kweli tumepeleka hzo £41 mil na tunazungumza na mchezaji na tunamshawishi aombe kuuzwa na umafia umafia tu kama tulichokuwa tunafanyiwa miaka ya nyuma!
Usajili wa siku hizi ni vurugu na Mourinho kasema hakuna uzalendo kwenye football siku hizi.Kwa mtazamo wangu Higuan angewafaa sana kuliko Suarez kwa nini nasema
1.Kutokana image aliyojingea Suarez akihamia timu ya England ataendelea kuandamwa na media na mashabiki hasa wa Liverpool
2.Gonzalo ni pure striker tofauti na Suarez ambaye anatokea pembeni na wapo Walcot na Poldi wanaoweza cheza hiyo nafasi
3.Gonzalo ni mmaliziaji mzuri angalia hata statistics zake pale Rm,amekuwa affected na ujio wa CR 7
4.Suarez ni bei ghali now ni 40 ml paundi while Higuain angeweza patikana kwa 30.
Baada ya kumuuza Gonzalo RM wana hela ya kumnunua Suarez hata Liverpool wakitaka 50 Perez akimtaka lazima atatoa.Kwa mtazamo wangu Arsenal inabidi wasajili beki wa kati ,mabeki 2 ni majeruhi huko mbele hakuna tatizo sana
Matokeo yake yalikuwa ni kwa Real Madrid na support ya haters kuongeza dau kuwa hizo paundi milioni 34.5 badala ya milioni 26 walizokubaliana.
Arsenal walikwishakubaliana na baba yake Higuain lakini walikuwa hawafahamu mipango mingine ya raisi wa Real Madrid , ambae mahesabu yake ni kumuuza Higuain na kuongeza pesa kumnunua Luis Suarez na Gareth Bale.
Lakini Arsenal wakaamua kutema suala la Higuain ambae hata hiyvo hajachacheza sana mechi nyingi na kushikilia suala ya Luis Suarez ambalo limezaa matunda na Liverpoll leo wamesalimu amri na kumruhusu Suarez azungumze na Arsenal.
Inajuliikana wazi kwamba Luis Suarez ni mshambuliaji makini na ndie atakeziba nafasi ya RVP na kila hater anafahamu hivyo na Liverpool pia wanafahamu hivyo.
Arsenal ina pesa za kutumia na wanataka tu kumsajili Luis Suarez kwanza na mengine yatafuata baadae wewe mkuu ukae usubiri tu the new Arsenal outfit, maana dirisha la usajili bado lipo wazi hadi tarehe 15 August.
Anyway maskauti wapo standby kushughulikia tiketi ya Suarez kwenda London kwa kufanyiwa uchunguzi ila mazungumzo yatakuwa jijini Melbourne na akikubali dau la paundi milioni karibu 50 hivi basi atakwaa ndege kuelekea London kwa medical.
hivi suarez na higuain nani mkali? Kuna advantage anazo Suarez kuliko Gonzalo...tukiweka nje tabia alizonazo jamaa ni fighter,mzuri sana kwenye set pieces,deadly in the box na anakaba...
Modern football imeleta balaa na hasa walipokuja sugardadies hakuna tena "right values" kwa wachezaji kila mchezaji bei iko either mara 2 au 3 zaidi na greedness ya mawakala..
Kijana mi nakuona kwa sababu usajili wenu unasuasua mnatamani tusinunue mchezaji wa maana tufanane...unaposema tunaweweseka nadhani unajisema mwenyewe BBC na Skysports hawaripoti tetesi ndugu ni kweli tumepeleka hzo £41 mil na tunazungumza na mchezaji na tunamshawishi aombe kuuzwa na umafia umafia tu kama tulichokuwa tunafanyiwa miaka ya nyuma!
alikusudia mshahara wa wiki na ni paundi 150,000 kama inavyoripotiwa na BBC
jana katoa pasi ya goli kwa Aspas huko australia ila hakwenda kushangilia na wenzake..."body language" inaonesha anataka kusepa tatizo kuna uwezekano real Madrid waka hijack deal na liverpool wanaomba RM waje kuliko kumuuza palepale EPL
Kwakujitia uchizi wewe! unaongoza
Will Sure boy land after an audacious £40 million bid plus one pound?
New manager? Arsenal boss Arsene Wenger wants Suarez
to spearhead his attack at the Emirates
BTW Kuna wanoko ati wanachema tinageresha! Watakiona cha ntema kuni kilichomtoa kanaga manyoya.
Kwakujitia uchizi wewe! unaongoza
Tulishasema Arsenal hata ikiwa na hela ni vigumu sana Wenger kubadilisha philosophy yake.Na jinsi Giroud anavyofunga huko Asia sidhani kama atasajili mshambuliajiHebu someni hapa comment za Mzee wetu, mi nachoka. Luis Suarez transfer: Arsenal play Luis Suarez waiting game as Wenger set to wait for his man - Mirror Online
The highlight of that article being, "We still have a strong squad but we are there on the market to try to strengthen our team. With or without additions we can be title challengers next season."
With or WITHOUT additions? Do you guys agree?