Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Come on man! It's a FOOTBALL league, and NOT a FINANCIAL league!!!! What have Arsenal achieved in your so called Football Stability? Does that mean winning a "fourth spot trophy" over the years? I would rather trade that "stability" for trophies, anytime. Same old Woolwich Arses, NO AMBITION.

What comes first?Finances or football?
 
Fellaini Update.

Wakuu gunners usiku wa leo unaweza usiende uzuri kwani kama habari ni sahihi, basi inaonekana Marouane Fellaini amesajiliwa na amekuwa mchezaji wa kiungo mpya wa Arsenal.

Nitaconfirm hapa kama habari zote zitakuja kama inavyosemwa maana timu yetu haipendi kutangaza mambo yake kiholela. Mzee Wenger amekuwa busy mno akifanya mambo yake taratibu na kwa uhakika akitaka wachezaji wenye uwezo hasa na uzoefu.

Arsenal walirudi tena Everton na wakazungumza nao, pamoja na mchezaji huyo na inasemwa kwamba ameingia mkataba wa miaka 4 na anataka kucheza champions league.

Walikuwa wakijaribu kuzungumzia kipengele cha mkataba wake na Everton kinachompa nafasi ya kuzungumza na timu zingine endapo zitajitokeza na kiasi cha fedha kuwa ni si chini ya paundi milioni 20.

Tuzidi kusikilizia na ntarudi tena hapa.

Fellaini ni mmoja wa wachezaji kadhaa ambao Arsenal imewahi kujaribu kuwasajili huko siku za nyuma na haaa pale iliposhindikana na kufanikiwa kumsajili Mikel Arteta mwaka juzi.
 
Fellaini Update.

Wakuu gunners usiku wa leo unaweza usiende uzuri kwani kama habari ni sahihi, basi inaonekana Marouane Fellaini amesajiliwa na amekuwa mchezaji wa kiungo mpya wa Arsenal.

Nitaconfirm hapa kama habari zote zitakuja kama inavyosemwa maana timu yetu haipendi kutangaza mambo yake kiholela. Mzee Wenger amekuwa busy mno akifanya mambo yake taratibu na kwa uhakika akitaka wachezaji wenye uwezo hasa na uzoefu.

Arsenal walirudi tena Everton na wakazungumza nao, pamoja na mchezaji huyo na inasemwa kwamba ameingia mkataba wa miaka 4 na anataka kucheza champions league.

Walikuwa wakijaribu kuzungumzia kipengele cha mkataba wake na Everton kinachompa nafasi ya kuzungumza na timu zingine endapo zitajitokeza na kiasi cha fedha kuwa ni si chini ya paundi milioni 20.

Tuzidi kusikilizia na ntarudi tena hapa.

Fellaini ni mmoja wa wachezaji kadhaa ambao Arsenal imewahi kujaribu kuwasajili huko siku za nyuma na haaa pale iliposhindikana na kufanikiwa kumsajili Mikel Arteta mwaka juzi.

Sawa wazee mtatisha mwaka huu na usajili hewa
 
Fellaini Update.

Wakuu gunners usiku wa leo unaweza usiende uzuri kwani kama habari ni sahihi, basi inaonekana Marouane Fellaini amesajiliwa na amekuwa mchezaji wa kiungo mpya wa Arsenal.

Nitaconfirm hapa kama habari zote zitakuja kama inavyosemwa maana timu yetu haipendi kutangaza mambo yake kiholela. Mzee Wenger amekuwa busy mno akifanya mambo yake taratibu na kwa uhakika akitaka wachezaji wenye uwezo hasa na uzoefu.

Arsenal walirudi tena Everton na wakazungumza nao, pamoja na mchezaji huyo na inasemwa kwamba ameingia mkataba wa miaka 4 na anataka kucheza champions league.

Walikuwa wakijaribu kuzungumzia kipengele cha mkataba wake na Everton kinachompa nafasi ya kuzungumza na timu zingine endapo zitajitokeza na kiasi cha fedha kuwa ni si chini ya paundi milioni 20.

Tuzidi kusikilizia na ntarudi tena hapa.

Fellaini ni mmoja wa wachezaji kadhaa ambao Arsenal imewahi kujaribu kuwasajili huko siku za nyuma na haaa pale iliposhindikana na kufanikiwa kumsajili Mikel Arteta mwaka juzi.

Arsenal appear to be at the head of the queue for Everton midfielder Marouane Fellaini.
With a host of top-level Premier League clubs interested in securing his signature, the Champions League-hungry Belgian has reportedly revealed his preference for a move to London.
However, money could become an issue. The player has a £23million release clause, which Gunners boss Arsene Wenger isn't too impressed with.
With Chelsea and Manchester United waiting to pounce, the Arsenal boss may need to stump up big money to land the influential midfielder.


If Arsenal don't move for Fellaini, his former boss at Everton, David Moyes, may look to take him to Old Trafford.
Jose Mourinho may also be keen on bringing him to Stamford Bridge as he looks to revitalise his squad for the coming campaign.
 
Hivi timu inayotegemea sugar daddy kweli washabiki wake wanaweza kupanua kinywa na kusema kitu? inashangaza kuona washabiki koko wa timu kama Chelsick wamekuwa kama ma-zombies yanayorandia kuona Gunners wanafanya nini. You can not buy class, kila uchwao sugar daddy anawanga ati na wao wacheze soka kama la Gunners ... .... .... thubutu!


BTW 1st of July ndio dirisha rasmi kuwa wazi, sasa kuna wanoko wanafikiria kununua wachezaji ili mradi hakuna EPL .. .... ... Gunners wanafuata sheria na wanoko wanaweweseka tuna kikosi imara tayari kuna wachezaji wanaondoka mpunga tumetengeneza chacha chubirini tu muone maajabu. Tutaongeza quality kama jadi yetu sio quantity.
 
Hivi timu inayotegemea sugar daddy kweli washabiki wake wanaweza kupanua kinywa na kusema kitu? inashangaza kuona washabiki koko wa timu kama Chelsick wamekuwa kama ma-zombies yanayorandia kuona Gunners wanafanya nini. You can not buy class, kila uchwao sugar daddy anawanga ati na wao wacheze soka kama la Gunners ... .... .... thubutu!


BTW 1st of July ndio dirisha rasmi kuwa wazi, sasa kuna wanoko wanafikiria kununua wachezaji ili mradi hakuna EPL .. .... ... Gunners wanafuata sheria na wanoko wanaweweseka tuna kikosi imara tayari kuna wachezaji wanaondoka mpunga tumetengeneza chacha chubirini tu muone maajabu. Tutaongeza quality kama jadi yetu sio quantity.

Mtauza shiling ngapi?
 
Dogo tunakuheshimu hivo! Ohoo! Anyway ilikuwa msimu wa 2013/14. Subiri uone kazi,maana Prof ana cheki ya £m1 mziki wake utatisha this time

Kila mwaka ni hivyo hivyo tu, mwisho wa msimu wenzenu (Man U) wana jadili ubingwa nyinyi munagombea nafasi ya nne (4)
 
Gervinho anarud ufaransa,olympic marseille
source:sky sports
 
[h=1]Hill-Wood steps down as Arsenal chief[/h]June 14, 2013



Arsenal have appointed Sir Chips Keswick as their new chairman after Peter Hill-Wood stepped down from the role for health reasons.
peterhill-wood_275x155.jpg




Hill-Wood suffered a heart attack last year, and the 77-year-old has subsequently decided to leave the role he had occupied for 31 years. Both his father and grandfather were also at the helm of the London club before him in a dynasty that ran back to 1927.


"This has been a difficult decision as Arsenal Football Club has been a huge part of my life," he told the club's official website. "Although I am feeling better I feel this is the right time for me to stand down.
"I would like to thank our majority owner Stan Kroenke for the respectful and dignified way he has handled this and I know Sir Chips is the right person to take the club forward."
Kroenke added: "Peter has been a wonderful custodian of this club.
"He has been a member of the Arsenal board for 51 years and his vision and steadfastness have been central to the successes of this great club over that time.
"Peter will be sorely missed but we will be ensuring we recognise his many contributions to the club in an appropriate way."

Keswick, a former director of the Bank of England and ex-chairman of Hambros Bank, has been on the Arsenal board since 2005.
"I am delighted that Sir Chips has agreed to become chairman," Kroenke said. "He has a well-respected track record in business and he will provide further direction and support in our ambition to compete at the top of the game here and in Europe and to win trophies."
Keswick added: "Firstly, I am sad to see Peter standing down due to his health and we all hope he continues well in his recovery. The Hill-Wood family has made an extraordinary contribution to Arsenal over many decades. They have been central to the club's many achievements during this time.


"I am greatly honoured to have been appointed chairman of Arsenal Football Club. This is one of the great clubs in the game, recognised and loved by millions. I am looking forward to leading the club to future success."
 
article-2341794-1A52AE33000005DC-209_634x605.jpg



Chips Keswick new chairman


''The 73 year old has been on the Arsenal board since 2005. He is the former chairman of Hambros Bank and a director of the Bank of England. In his role as chairman, Keswick will work directly with Arsenal chief executive Ivan Gazidis on the club's football and business ambitions.''



 
Ni kweli hatujachukua kikombe muda mrefu,lakini mabadiliko kwenye uongozi ni kitu ambacho hakikosekani kama ulivyoambiwa kuwa ni kutokana na matatizo ya afya mimi nadhani tungekuwa hatujafanya kitu cha maana kutokana na miaka hii yote ya kukosa makombe ingekuwa ni sawa lakini tuna cha kujivunia Emirates Stadium ndio sababu sasa tunajiandaa kuleta wachezaji wa kuchezea huu uwanja wenye hadhi ya uwanja wenyewe kama kina Cazorla nk kwa mujibu wa Club Director Ivan Gazidis kwa hiyo wapinzani wetu tunaomba tuone msimu huu tutafanya nini ndio muanze kusema,REMEMBER tulicheza msimu mzima bila kufungwa timu ni hii hii arsenal na kocha ni huyu huyu Wenger !
 
Wakuu, baada ya pilikapilika za hapa na pale na mazungumzo ya muda mrefu mchezaji Gonzalo Higuain ameweka saini kwenye mkataba na Arsenal FC na atakuwa akilipwa paundi 130,000 kwa wili pamoja na "adds on" kama matumizi ya jina na mengine kufikia paundio 150,000 kwa wiki.

gonzalo-higuain-767745.jpg

Higuain anavunja rekodi ya usajili uliofanywa kwa Andrey Arshavin mwaka 2008 ambao uligharimu kiasi cha paundi milioni 15.

Arsenal inaweza kutangaza mchezaji huyo siku ya Ijumaa au Jumatatu na anakuwa ni mchezaji wa pili kusajiliwa msimu huu baada ya Yaya Sanogo ambae anatoka Auxerre ya France.

Muda wa usajili ukiwa ndio unapamba moto bado inasemwa kwama Arsene Wenger anafikiria kumsajili Wayne Rooney wa Man Utd au Luis Nani pia wa Man Utd na pia Marouane Fellaini bado anazungumzwa.

Arsenal ina kiasi cha paundi 100 milioni za kutumia kwenye usajili wa sasa na January 2014 kama ikibidi na hiyo ni majumuisho ya milioni 70 zilizoko benki na milioni 30 ambazo zimetokana na kuondoa wachezaji wasiotakiwa kama Arshavin na Squillaci.

Maskauti wa Arsenal wamekuwa na muda mgumu katika soko la wachezaji huku kukiwa na taarifa kwamba mfumo wa kutambua vipaji unaofanywa kwenye mtandao maalum wa OPTA INDEx kuingiliwa na "hackers" ambao wamekuwa wakivumisha habari za usajili ziizo za kweli.

This is it na huu ndio usajili wa maana tuliotaka na inaonyesha jinsi miaka 8 ya bila kikombe ilivyokuwa ikiandaliwa.

Anaefuata ni Cesc Fabregas au Marouane Fellaini.

COYG.
 
Wakuu, baada ya pilikapilika za hapa na pale na mazungumzo ya muda mrefu mchezaji Gonzalo Higuain ameweka saini kwenye mkataba na Arsenal FC na atakuwa akilipwa paundi 130,000 kwa wili pamoja na "adds on" kama matumizi ya jina na mengine kufikia paundio 150,000 kwa wiki.

gonzalo-higuain-767745.jpg

Higuain anavunja rekodi ya usajili uliofanywa kwa Andrey Arshavin mwaka 2008 ambao uligharimu kiasi cha paundi milioni 15.

Arsenal inaweza kutangaza mchezaji huyo siku ya Ijumaa au Jumatatu na anakuwa ni mchezaji wa pili kusajiliwa msimu huu baada ya Yaya Sanogo ambae anatoka Auxerre ya France.

Muda wa usajili ukiwa ndio unapamba moto bado inasemwa kwama Arsene Wenger anafikiria kumsajili Wayne Rooney wa Man Utd au Luis Nani pia wa Man Utd na pia Marouane Fellaini bado anazungumzwa.

Arsenal ina kiasi cha paundi 100 milioni za kutumia kwenye usajili wa sasa na January 2014 kama ikibidi na hiyo ni majumuisho ya milioni 70 zilizoko benki na milioni 30 ambazo zimetokana na kuondoa wachezaji wasiotakiwa kama Arshavin na Squillaci.

Maskauti wa Arsenal wamekuwa na muda mgumu katika soko la wachezaji huku kukiwa na taarifa kwamba mfumo wa kutambua vipaji unaofanywa kwenye mtandao maalum wa OPTA INDEx kuingiliwa na "hackers" ambao wamekuwa wakivumisha habari za usajili ziizo za kweli.

This is it na huu ndio usajili wa maana tuliotaka na inaonyesha jinsi miaka 8 ya bila kikombe ilivyokuwa ikiandaliwa.

Anaefuata ni Cesc Fabregas au Marouane Fellaini.

COYG.
Huu ni ushahidi kwamba Gonzalo Higuain alikuwepo London leo....

blogger-image-1059707777.jpg


blogger-image--246397822.jpg


Hapa akisaini kwa shabiki wa Arsenali akiwa Heathrow.....

COYG
 
Back
Top Bottom