Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
tumeisikia hii sentensi kwa misimuminane sasa, na bado tunasubiri.
kuna siku itatimia mkuu....
tumeisikia hii sentensi kwa misimuminane sasa, na bado tunasubiri.
Mmmh!! Nilikuwa sijui kama Arsene Wenger ni DHAIFU kiasi hiki.!! Inawezekana vipi alazimishwe na Ferguson kuuza mchezaji wake muhimu zaidi? Au ulikuwa unamaanisha alishindwa kujizuia alipowekewa pesa mezani.
Paundi milioni 24 kwa RVP mwenye umri wa miaka 30 hazikuwa haba.
Safari hii hakuna mauzo tena.
Ooops Mfarisayo nachubiri jibu kama weye ni shoga au heterosexual?
Dah! naona unawashwa sana inaelekea hujapata bahasha muda mrefu
Wakuu summer ndio hiyo timu zote zinaweweseka na usajili Prof katulia kama pishi la udaga, tayari anakamilisha usajili wake ambao ni siri kubwa wala usisikie mata-bloid ya UK wanawanga wanga kutaka kufahamu prof atafanya nini. Kitaeleweka tu msimu huu. mzee wa bahasha kafukuzwa, Mancs mdebwedo Chelsick hawana mbele wala nyuma .... .... .....
COYG
Mhhhh!!! Mkuu Wacha1 kimya chake huyu kinanitia wasiwasi sana. Miaka yote huwa kimya hivi hivi anapoanza kubwabwaja ni pale yamebaki magarasa tu. Yule Benteke kishasema mapenzi yake ni kuchezea Gunners msimu ujao, Mungu atupe bahati gabi tena!!! lakini hadi sasa hivi hakuna lolote!!! Kimya!!! Mwisho ataona labda hatakiwi maskani. Ngoja ifike mid July Vitu bab kubwa vyote vimeshawahiwa ataanza kubwabwaja tena. Nani anateyaka kwenda kwenye timu ambayo kila mwaka inapoteza top players siyo kwa Gunners tu bali katika EPL.
No dude, I Arsene We RUST!Yet we säy in ARSENE WE TRUST.
Wakuu summer ndio hiyo timu zote zinaweweseka na usajili Prof katulia kama pishi la udaga, tayari anakamilisha usajili wake ambao ni siri kubwa wala usisikie mata-bloid ya UK wanawanga wanga kutaka kufahamu prof atafanya nini. Kitaeleweka tu msimu huu. mzee wa bahasha kafukuzwa, Mancs mdebwedo Chelsick hawana mbele wala nyuma .... .... .....
COYG
Mhhhh!!! Mkuu Wacha1 kimya chake huyu kinanitia wasiwasi sana. Miaka yote huwa kimya hivi hivi anapoanza kubwabwaja ni pale yamebaki magarasa tu. Yule Benteke kishasema mapenzi yake ni kuchezea Gunners msimu ujao, Mungu atupe bahati gani tena!!! lakini hadi sasa hivi hakuna lolote!!! Kimya!!! Mwisho ataona labda hatakiwi maskani. Ngoja ifike mid July Vitu bab kubwa vyote vimeshawahiwa ataanza kubwabwaja tena. Nani anateyaka kwenda kwenye timu ambayo kila mwaka inapoteza top players siyo kwa Gunners tu bali katika EPL.
Umepima malaria lini kwa mara ya mwisho?
Usitie shaka Prof knowns ndio sababu husda ya Englanders kuona kwa nini Prof alipwe mamillioni ya mpunga wakati yeye ni Mfaransa. Angalia mameneja wa kiingereza akina oops no names wanavyovurunda .... achilia mbali timu ambayo inakula matapishi yake pale kwenye Cowshed.
Ni juzi tu walikuwa wanataka kumsaini Cesc chacha kumbe hawakujua Prof alifanya nini kwenye ule mkataba ... ..... bora Prof aendelee kuwaumiza wanaotegemea ma-sugar Daddy. Tupo vizuri sana sasa Financially na matunda utaanza kuyafaidi msimu huu ... ... kila Kimburu au ndezi atakayejitokeza atakula mkong'oto anarudisha enzi ya Invincibles kama kawa .... ... . stay tuned .... .... .... ..
BTW Tiger kalivurunda tayari .... .... .... bad days jana na leo at the office .... .... ..Nadal stays on course to retain his French Open .... ... ...
Usitie shaka Prof knowns ndio sababu husda ya Englanders kuona kwa nini Prof alipwe mamillioni ya mpunga wakati yeye ni Mfaransa. Angalia mameneja wa kiingereza akina oops no names wanavyovurunda .... achilia mbali timu ambayo inakula matapishi yake pale kwenye Cowshed.
Ni juzi tu walikuwa wanataka kumsaini Cesc chacha kumbe hawakujua Prof alifanya nini kwenye ule mkataba ... ..... bora Prof aendelee kuwaumiza wanaotegemea ma-sugar Daddy. Tupo vizuri sana sasa Financially na matunda utaanza kuyafaidi msimu huu ... ... kila Kimburu au ndezi atakayejitokeza atakula mkong'oto anarudisha enzi ya Invincibles kama kawa .... ... . stay tuned .... .... .... ..
BTW Tiger kalivurunda tayari .... .... .... bad days jana na leo at the office .... .... ..Nadal stays on course to retain his French Open .... ... ...