Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Nacho Monreal kaumia,ametoka anaingia Gibbs
Hizo gossips ndugu haondoki Gervinho mpaka wapate mtu wa kuwarudishia pesa na faida
Refa alihamanikailikua nje ya penalty box..... but at least its on our favour....
Sijawahi kuishuhudia hii haki ya mama, well, hata kama ni last 5 mins!!!
Easter njema to all of you my fellow gunners.
Wamenipa zawadi ya Easter!!!!BIG win....BIG up to all Goonerz.... Haters + GOONERS nawatakia usiku mwema na furaha njema......Enjoy Responsibly
Mna wachezaji wengi sana hawauziki,karibia misimu miwili wako sokoni lakini hawajapata timuwameshapatikana, Galatasary ya Uturuki,,,,
Happy Easter Londoners....In Arsenal you trust..in wenger u will rust.COYG!
Dogo Rio miyaichi hauzwi yuko WIGAN kukuza kipaji chake, Vella kauzwa jumla Santos nae...Hawauziki simply kwa kuwa Wages zao ni Kubwa average ya £60,000 kwa wiki na ujue hakuna timu ndogo zenye uwezo wa kulipa hivyo unless kwa Loan kwani mshahara wa wiki vilabu huugawana kuulipaMna wachezaji wengi sana hawauziki,karibia misimu miwili wako sokoni lakini hawajapata timuAndrey Arshavin,Nicolas Bertnder,Andre Santos,Park,Carlos Vella,Emanuel Frimpong,Rio Miyaichi,Johan Djorou,Denilson,Maruane Chamakh na Sebastian Sqillaci