Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger kaishiwa kabisa bado anafundisha mpira wa kizamani sana.

Hana kabisa mkakati unaolingana na Timu pinzani, kocha mzuri ni yule anayepanga Timu na kubadilisha mbinu kulingana na Opponent anayekutana naye that time, huwezi kutumia mfumo mmoja tu kucheza msimu mzima bila kubadilika.
 
splash-home1_1684432a.jpg
 
Wenger kaishiwa kabisa bado anafundisha mpira wa kizamani sana.

Hana kabisa mkakati unaolingana na Timu pinzani, kocha mzuri ni yule anayepanga Timu na kubadilisha mbinu kulingana na Opponent anayekutana naye that time, huwezi kutumia mfumo mmoja tu kucheza msimu mzima bila kubadilika.

Tokea uingie humu leo umeongea point
 
article-2287418-186A1570000005DC-181_964x386.jpg



Prof ... ... ... hana wasi wasi na Spurs kurudisha majibu baada ya kula mkong'oto wa goli 5 pale Emirates

Wachezaji machachari walikuwa off duty leo ... ... ..

Wakuu wa
Gunners msiwe na wasi wasi tutacheza CL bila wasi wasi ... ..... ...
wanoko walie tu ... .... ... .. ... ... .


Mkuu Wacha1, ninakuaminia kwa imani uliyonayo kwa hii timu, mwenzio sijui ni kwa nini nimeshapoteza matumaini yote-sioni kama kuna juhudi zinafanywa na hawa wenzetu kurekebisha hii hali!!
 
Last edited by a moderator:
Habari zilizopo ni kwamba baada ya game ya jana, defence nzima ya arsenal wameingia mkataba mnono na watengezaji wa magodoro ya silentnight..lool
 
article-2286543-1869C8DF000005DC-922_306x423.jpg


akirushiwa muafrika tunalalama!......hapo wamemrushia Gareth Bale si unamuona sura yake ni kama wale homosapiens tumesoma ktk historia!
 
Sawa stan anaweza kuwa tatizo ila Bodi wakati wa january ilifanya mkutano na Arsenal supporters trust (AST) wakasema wana £70mil na watatumia kusajiri uliona kilichotokea tulimnunua MONREAL na baada ya Fans kumzomea sana Santos na baya zaidi ni tukio lake la Tshirt ya Rvp pale OT

jiulize mechi 5 za mwanzo mwa msimu timu nzima ilikuwa inakaba mpaka ikasemwa kuna "bould's impact" mechi ya sunderland,montpellier,Stoke,southampton,Livepool na Man city baada ya hapo tukapoteana

Hivi game yetu pale OT ungekuwa coach ungewezaje kumpanga santos apambane na Valencia na Rafael? Hapo hapo alifanywa uchochoro na Jefferson Farfan siku 4 kabla? Ungewezaje kumuanzisha Walcott benchi? Mpaka dakika ya 60 hatukuwa na shots on target hata off target we umewahi ona wapi?

Mi nadhani kuna matatizo ya bodi ila hata mbinu za AW nazo ni tatizo nikuulize game plan ya Arsenal dhidi ya Bayern ilikuwa nini?

In arsene we trust? May be

na sasa hivi wamesema wana £123 million kwenye account ila utashangaa summer ikifika wanachukua wachezaji wa £5mil or £10mil badala ya kutoa pesa ya maana kama akina man city/chelsea. Arsenal needs to spend at least £30mil on one player lasivyo mtakua hamshindi kitu
 
na sasa hivi wamesema wana £123 million kwenye account ila utashangaa summer ikifika wanachukua wachezaji wa £5mil or £10mil badala ya kutoa pesa ya maana kama akina man city/chelsea. Arsenal needs to spend at least £30mil on one player lasivyo mtakua hamshindi kitu

Bado hata mbinu za kocha wetu ni too predictable tunahitaji kununua wachezaji mahiri wachache katika kila department kwani naiona timu nzuri pale kuliko watu wanavyodhani ila "Tactics za wenger zinatia shaka" similar failling each big game!
 
Mkuu Wacha1, ninakuaminia kwa imani uliyonayo kwa hii timu, mwenzio sijui ni kwa nini nimeshapoteza matumaini yote-sioni kama kuna juhudi zinafanywa na hawa wenzetu kurekebisha hii hali!!

Mkuu wala usiwe na wasi wasi EPL ni mechi 38 baada ya hapo utaona kila timu inachukua nafasi gani. Spuds wala hawaniumizi kichwa mimi tumecheza nao mechi mbili kwenye EPL wametufunga jana na chichi tuliwafunga walipokuja Emirates sasa where is the beef tena sisi tuna extra goals kutoka kwao.

Usione wanoko wamejaa hapa timu inayoogopewa ni
Gunners wapo kila kwenye tabloids kisa mipango inayowekwa ni ya uhakika siyo kutegemea sugar daddys.
 
Asee mi naipenda sana gunners lakini nimegundua kuwa kuna watu wanaipenda mara milioni moja zaidi yangu. Wakuu mkumbuke kuwa tunakaribia mwaka wa 10 sasa hatujachukua kikombe chochote! Hizo story za sijui kuna kiasi gani cha fedha kipo kwa ajili ya kusajili wachezaji mbona tunaziskia kila summer? Mbona kila january wimbo ni huohuo? Na AW anasema kila siku atasajili lakini unashangaa hadi deadline ya transfer inafika hajasajili mtu, sana sana utaskia kasajili kitoto cha miaka 15!

Hii timu inaendeshwa kibiashara zaidi which is good for the owner na AW is the perfect man for him, kama unaendesha biashara unafikiria kupata faida na ukiwa na manager kama AW ambaye hatumii hela zako kwa sana kununua wachezaji na wakati huohuo anauza waliopo na kukuletea mamilioni, what else do you want? You never sack him. Lakini haya masuala ya balance sheet na ukubwa au udogo wa deni, they mean absolutely nothing to me kama mshabiki if the team is not performing. AW na board wagundue kwamba mpira ni hela siku hizi- you dont spend- you dont win, its that simple!

For the first time in 16 years we are in a serious risk of missing out on the CL spot, this will hit them hard in their pockets kwa kukosa mamilioni yanayokuja na ushiriki wa mashindano hayo and to be honest- I so hope it happens kwa sababu hata tukishiriki, we all know the highest we can get ni robo final, bora tukose wanunue wachezaji wa maana tujenge timu.
 
Asee mi naipenda sana gunners lakini nimegundua kuwa kuna watu wanaipenda mara milioni moja zaidi yangu. Wakuu mkumbuke kuwa tunakaribia mwaka wa 10 sasa hatujachukua kikombe chochote! Hizo story za sijui kuna kiasi gani cha fedha kipo kwa ajili ya kusajili wachezaji mbona tunaziskia kila summer? Mbona kila january wimbo ni huohuo? Na AW anasema kila siku atasajili lakini unashangaa hadi deadline ya transfer inafika hajasajili mtu, sana sana utaskia kasajili kitoto cha miaka 15!

Hii timu inaendeshwa kibiashara zaidi which is good for the owner na AW is the perfect man for him, kama unaendesha biashara unafikiria kupata faida na ukiwa na manager kama AW ambaye hatumii hela zako kwa sana kununua wachezaji na wakati huohuo anauza waliopo na kukuletea mamilioni, what else do you want? You never sack him. Lakini haya masuala ya balance sheet na ukubwa au udogo wa deni, they mean absolutely nothing to me kama mshabiki if the team is not performing. AW na board wagundue kwamba mpira ni hela siku hizi- you dont spend- you dont win, its that simple!

For the first time in 16 years we are in a serious risk of missing out on the CL spot, this will hit them hard in their pockets kwa kukosa mamilioni yanayokuja na ushiriki wa mashindano hayo and to be honest- I so hope it happens kwa sababu hata tukishiriki, we all know the highest we can get ni robo final, bora tukose wanunue wachezaji wa maana tujenge timu.

Nakuunga mkono mkuu
 
Mkuu wala usiwe na wasi wasi EPL ni mechi 38 baada ya hapo utaona kila timu inachukua nafasi gani. Spuds wala hawaniumizi kichwa mimi tumecheza nao mechi mbili kwenye EPL wametufunga jana na chichi tuliwafunga walipokuja Emirates sasa where is the beef tena sisi tuna extra goals kutoka kwao.

Usione wanoko wamejaa hapa timu inayoogopewa ni
Gunners wapo kila kwenye tabloids kisa mipango inayowekwa ni ya uhakika siyo kutegemea sugar daddys.

Maneno ya Mkosaji haya
 
Mkuu wala usiwe na wasi wasi EPL ni mechi 38 baada ya hapo utaona kila timu inachukua nafasi gani. Spuds wala hawaniumizi kichwa mimi tumecheza nao mechi mbili kwenye EPL wametufunga jana na chichi tuliwafunga walipokuja Emirates sasa where is the beef tena sisi tuna extra goals kutoka kwao.

Usione wanoko wamejaa hapa timu inayoogopewa ni
Gunners wapo kila kwenye tabloids kisa mipango inayowekwa ni ya uhakika siyo kutegemea sugar daddys.

Inadhihirisha kuwa ili muishinde spurs kwa sasa, inabidi wacheze kumi uwanjani...vingenevyo hamna kitu
 
Board haiwezi kumfukuza Arsene kwa mambo mengi
Anaingiza pesa
anajua kufundisha kwa kuiweka timu hatua nzuri
hatumii pesa nyingi
halalamiki kwa board kuhitaji zaidi

timu itakapokosa pesa kwa kushindwa na mafanikio ndio wataanza kujiuliza kulikoni
 
Nimeipata sehemu hii kitu, Hapa: Arsenal kuwabomoa Swansea - Tanzania Sports
Arsenal kuwabomoa Swansea



Imekaa vyema hii, lakini isije ikwa Wenger yule tunayemfahamu akaghairi na kusema kama asemavyo mara kwa mara "Nina kikosi imara cha vijana", hiyo itawalazimu wazidi kuporomoka na kuwaumiza zaidi mashabiki wake wengi duniani. Kingine kwa sisi tunaongalia kandanda kwa nje na ambao tuliwahi kuucheza mpira japo kwa kiwango cha uwezo wetu, safu ya ushambuliaji nayo haina watu ambao wakiwepo uwanjani timu pinzani walinzi wanaaza kutoa shikamoo pasi na kujua wanashabihiana kwa umri. Tunataka kuona Arsenal yenye ukuta mgumu kuliko ule wa Berlin na ushambuliaji wenye kutema cheche kama bunduki za rashasha, safu ya kiungo haina mashaka, ila Arteta anaonesha kuanza kuchoka. Babuuuu naomba kutoa hoja.
 
SPLASH-WENGER_1689067a.jpg




In demand!

Ati nini? Walitaka kumnyakua Prof ... ..... .Wana wazimu .... ..
Prof yupo Gunners ... .. leo anaendelea pale Colney kuwafunda vijana mambo yote keshokutwa
 
Back
Top Bottom