Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger hajui kupanga wachezaji kutokana na timu anayocheza nayo,Podolski alistahili kuanza hii game
Hapo umeongea mkuu belo, hata mimi huwa simwelewi kwanini pod anasugua benchi, Kila la kheri kwa spurs UCL.
 
Tumefungwa kwa mbinu mbovu za kocha wetu...mara mbili viungo wa spurz wamepiga through pass hawajakabwa huu ni upuuzi usiovumilika kutoka benchi la ufundi
 
nafasi ya kucheza ucl sijui, inahitaji miujiza, wenger na abadilike sasa heh!
 
Wenger hajui kupanga wachezaji kutokana na timu anayocheza nayo,Podolski alistahili kuanza hii game

Jamaa yeye njia yake ni hio hio kwa timu zote. Hajali kama mfumo wa timu pinzani wala nini.

Sio kama Fergson ana adjust kikosi kutokana na timu anayocheza nayo.


Kwa sasa hatuna jinsi zaidi ya kuendelea na vita tu kwa silaha tulizo kuwa nazo na mbinu yetu hio hio moja
 
nafasi ya kucheza ucl sijui, inahitaji miujiza, wenger na abadilike sasa heh!

Hio nafasi ya nne inaweza kupatikana, lakini ni vizuri tumalize wa tano au chini zaidi hili tupate mabadiliko ya maana.

Nafasi ya nne ndio lengo kubwa la board, tukimaliza wa nne hawataona umuhimu wa kufanya kitu chochote
 
VERY DISAPPOINTING GAME FROM ARSENAL...

article-2287418-1869DB0A000005DC-454_636x379.jpg



article-2286543-186A0FF0000005DC-964_634x410.jpg



article-2286543-1869F6C1000005DC-85_634x364.jpg



article-2286543-1869D5B2000005DC-274_634x325.jpg




article-2286543-1869E111000005DC-744_634x330.jpg



article-2286543-1869E15B000005DC-650_634x370.jpg




article-2286543-1869C8DF000005DC-922_306x423.jpg

Sasa huu ni ubaguzi wa aina gani!?? wamemrushia ndizi mshkaji...ila game analijua!!!


article-2286543-1869B951000005DC-441_634x376.jpg



article-2286543-186986EF000005DC-610_634x629.jpg



article-2286543-18698667000005DC-925_634x387.jpg



article-2286543-1869867A000005DC-982_634x355.jpg
 
oh nilisahau kucheka:

Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
VERY DISAPPOINTING GAME FROM ARSENAL...

article-2287418-1869DB0A000005DC-454_636x379.jpg



article-2286543-186A0FF0000005DC-964_634x410.jpg



article-2286543-1869F6C1000005DC-85_634x364.jpg



article-2286543-1869D5B2000005DC-274_634x325.jpg




article-2286543-1869E111000005DC-744_634x330.jpg



article-2286543-1869E15B000005DC-650_634x370.jpg




article-2286543-1869C8DF000005DC-922_306x423.jpg

Sasa huu ni ubaguzi wa aina gani!?? wamemrushia ndizi mshkaji...ila game analijua!!!


article-2286543-1869B951000005DC-441_634x376.jpg



article-2286543-186986EF000005DC-610_634x629.jpg



article-2286543-18698667000005DC-925_634x387.jpg



article-2286543-1869867A000005DC-982_634x355.jpg
Daah! Kumbe jamaa katupiwa ndizi! Nalaani from my heart hicho kitendo,too bad.
 
Zimebakia mechi 10 na kilichobaki ni kujipanga na kuhakikisha hatuchezi Europa League.

Itabidi wapenzi wa Arsenal tuamini kwamba Tottenham jnao huenda wakacheza CL mwakani, wana 7 points ahead na hiyo ni big achievement kwao.

Hongera AVB kwa kumuonyesha Abramovich kwamba wewe nawe ni mtaalam wa kufundisha mpira.
 
Tumefungwa kwa mbinu mbovu za kocha wetu...mara mbili viungo wa spurz wamepiga through pass hawajakabwa huu ni upuuzi usiovumilika kutoka benchi la ufundi
Mkuu umesema kweli. mimi kwa kweli siyo fan wa Mikel Arteta. Afadhali kama Abou Diaby akiwa anacheza kidogo huwa anaprotect back four. Leo ilikuwa kila mara Spurs wakienda mbele inakuwa ni hatari na wanakaribia kufunga goli. Hata
Nafikiri hata Santi Cazorla anacheza position ambayo hajaizoea.

I think Steve Bould is just bogus. Pat Rice alikuwa ni kocha mzuri ambaye kwa sasa tunamkosa.

Hata hivyo, kuvunjika kwa pakacha hakumaanishi ndiyo mwisho. Bado tuna mechi 10 ambazo ukiangalia kwenye paper, Spurs wana match ngumu zaidi yetu.
Fingers crossed. Kitu chochote kinaweza kutokea. who knows.
 
Mkuu umesema kweli. mimi kwa kweli siyo fan wa Mikel Arteta. Afadhali kama Abou Diaby akiwa anacheza kidogo huwa anaprotect back four. Leo ilikuwa kila mara Spurs wakienda mbele inakuwa ni hatari na wanakaribia kufunga goli. Hata
Nafikiri hata Santi Cazorla anacheza position ambayo hajaizoea.

I think Steve Bould is just bogus. Pat Rice alikuwa ni kocha mzuri ambaye kwa sasa tunamkosa.

Hata hivyo, kuvunjika kwa pakacha hakumaanishi ndiyo mwisho. Bado tuna mechi 10 ambazo ukiangalia kwenye paper, Spurs wana match ngumu zaidi yetu.
Fingers crossed. Kitu chochote kinaweza kutokea. who knows.

Kumlaumu Bould ni makosa ebu tuongee mpira wa kisasa na kimbinu...unapompanga Ramsey namba 7 ambae hana kasi na skills za kumpita opponent wake unamletea balaa beki namba 2 na upanda wake ndo magoli yote yalikotokea na yeye na Arteta wameshindwa kumkaba "kiungo aliyekuwa anapitisha mipira" wame expose defence

Walker na Lennon wamepiga game nzuri ila hatukuwa na winga wa kushoto wa kumzuia walker asipande

ilikuwa ni lazima tumwanzishe Chamberlain kushoto na Walcott kulia kwani wana kasi kuzuia wasipite pembeni ma full back wao

ukweli kama ni Pengo basi ni kiungo mkabaji maana hakukuwa na mchezaji aliekaba leo kama Wilshere ila nae hatoshi tunaitaji "TIOTE" like ili kucheza iyo attacking football ya AW

tuna point 3 za manure tunawatunzia kwani AW hajifunzi mbinu mbadala yeye timu ipige pasi kwenda mbele baaasi...

Nadhani mwenye majibu ya matatizo ya Arsenal ni wenger mwenyewe! We are deluded all over the world by a single frenchman
 
Nadhani mwenye majibu ya matatizo ya Arsenal ni wenger mwenyewe! We are deluded all over the world by a single frenchman
Hii point yako imenifanya kucheka. I think, you're right.
Unafikiri kwa nini akili ya Arsene kwa sasa haicharge kama zamani au tatizo lililopo ni kutokuwa na wachezaji wazuri.

Mimi nafikiri huyu Mmarekani hatufai hata kidogo, Hata kama akiwepo kiwanjani anaangalia mpira, ukimwangalia ni kama anasema 'get me out of here'. Toka aje tumekuwa tukididimia kila mwaka. SPINNING AFTER SPINNING, eti pesa ipo ya kununulia wachazeti. My foot
 
Hii point yako imenifanya kucheka. I think, you're right.
Unafikiri kwa nini akili ya Arsene kwa sasa haicharge kama zamani au tatizo lililopo ni kutokuwa na wachezaji wazuri.

Mimi nafikiri huyu Mmarekani hatufai hata kidogo, Hata kama akiwepo kiwanjani anaangalia mpira, ukimwangalia ni kama anasema 'get me out of here'. Toka aje tumekuwa tukididimia kila mwaka. SPINNING AFTER SPINNING, eti pesa ipo ya kununulia wachazeti. My foot

Sawa stan anaweza kuwa tatizo ila Bodi wakati wa january ilifanya mkutano na Arsenal supporters trust (AST) wakasema wana £70mil na watatumia kusajiri uliona kilichotokea tulimnunua MONREAL na baada ya Fans kumzomea sana Santos na baya zaidi ni tukio lake la Tshirt ya Rvp pale OT

jiulize mechi 5 za mwanzo mwa msimu timu nzima ilikuwa inakaba mpaka ikasemwa kuna "bould's impact" mechi ya sunderland,montpellier,Stoke,southampton,Livepool na Man city baada ya hapo tukapoteana

Hivi game yetu pale OT ungekuwa coach ungewezaje kumpanga santos apambane na Valencia na Rafael? Hapo hapo alifanywa uchochoro na Jefferson Farfan siku 4 kabla? Ungewezaje kumuanzisha Walcott benchi? Mpaka dakika ya 60 hatukuwa na shots on target hata off target we umewahi ona wapi?

Mi nadhani kuna matatizo ya bodi ila hata mbinu za AW nazo ni tatizo nikuulize game plan ya Arsenal dhidi ya Bayern ilikuwa nini?

In arsene we trust? May be
 
article-2287418-186A1570000005DC-181_964x386.jpg



Prof ... ... ... hana wasi wasi na Spurs kurudisha majibu baada ya kula mkong'oto wa goli 5 pale Emirates

Wachezaji machachari walikuwa off duty leo ... ... ..

Wakuu wa
Gunners msiwe na wasi wasi tutacheza CL bila wasi wasi ... ..... ...
wanoko walie tu ... .... ... .. ... ... .
 
Sawa stan anaweza kuwa tatizo ila Bodi wakati wa january ilifanya mkutano na Arsenal supporters trust (AST) wakasema wana £70mil na watatumia kusajiri uliona kilichotokea tulimnunua MONREAL na baada ya Fans kumzomea sana Santos na baya zaidi ni tukio lake la Tshirt ya Rvp pale OT

jiulize mechi 5 za mwanzo mwa msimu timu nzima ilikuwa inakaba mpaka ikasemwa kuna "bould's impact" mechi ya sunderland,montpellier,Stoke,southampton,Livepool na Man city baada ya hapo tukapoteana

Hivi game yetu pale OT ungekuwa coach ungewezaje kumpanga santos apambane na Valencia na Rafael? Hapo hapo alifanywa uchochoro na Jefferson Farfan siku 4 kabla? Ungewezaje kumuanzisha Walcott benchi? Mpaka dakika ya 60 hatukuwa na shots on target hata off target we umewahi ona wapi?

Mi nadhani kuna matatizo ya bodi ila hata mbinu za AW nazo ni tatizo nikuulize game plan ya Arsenal dhidi ya Bayern ilikuwa nini?

In arsene we trust? May be
Hiyo game plan wala usiniulize kabisa. Ni kichekesho.

Tatizo toka msimu uanze Arsene alikuwa amejisimika kwa Diaby wakati ni mchezaji wa mechi moja tu (injury-prone).

Mimi kwa kweli toka Arsene nimemfahamu kama kocha, huwa ananiacha hoi pale anapodadirisha mchezaji kwenye dakika zake za 75. kama leo alivyofanya.
Kuna wachezaji wengine hata hawafai kuvaa shati za Arsenal lakini cha kushangaza wako kila week bench kama madodosa kwa maana kuwa hata wakihitajika hawana impact yoyote. Kwa hapa ndiyo ugonvi wangu uko na Wenger.

Nakubaliana na wewe, kwa sasa matatizo kwenye timu ni mengi, kwa maana kuwa hata mwenyekiti naye anatakiwa kupumuzishwa uongozi. Mmarekani aondoke, Wenger naye ikiwezekana aondoke ili tujue kama kweli pesa ipo au haipo

Kwa nini unafikiri alipokuwepo David Dein timu na uongozi ulikuwa active?
 
Hiyo game plan wala usiniulize kabisa. Ni kichekesho.

Tatizo toka msimu uanze Arsene alikuwa amejisimika kwa Diaby wakati ni mchezaji wa mechi moja tu (injury-prone).

Mimi kwa kweli toka Arsene nimemfahamu kama kocha, huwa ananiacha hoi pale anapodadirisha mchezaji kwenye dakika zake za 75. kama leo alivyofanya.
Kuna wachezaji wengine hata hawafai kuvaa shati za Arsenal lakini cha kushangaza wako kila week bench kama madodosa kwa maana kuwa hata wakihitajika hawana impact yoyote. Kwa hapa ndiyo ugonvi wangu uko na Wenger.

Nakubaliana na wewe, kwa sasa matatizo kwenye timu ni mengi, kwa maana kuwa hata mwenyekiti naye anatakiwa kupumuzishwa uongozi. Mmarekani aondoke, Wenger naye ikiwezekana aondoke ili tujue kama kweli pesa ipo au haipo

Kwa nini unafikiri alipokuwepo David Dein timu na uongozi ulikuwa active?

Dein alikuwa anajua kunegotiate fee za wachezaji na mishahara kitu ambacho Ivan gazidis naona si mzoefu unakumbuka Roman Abromavich alimwajiri peter kenyon kutoka manure alipoinunua chelsea mwaka 2003? na kama hujui Dein alitaka Usmanov anunue timu wengine akina Danny Fizman,Anna blacewell smith, AW na Peter hill-wood wao wakakataa waka opt kuiuza kwa Kroenke na iwe "prudent business model" Dein akauza Share zake kwa Mrusi akasepa zake na sidhani kama atarejea tena japo alikuwepo uwanjani leo..

Miaka ya 2005 mpaka mwaka jana walikuwa na deni la Emirates ila sasa limeisha ila wamenogewa na Super normal profits wakiivizia UEFA financial fair Play ianze next season waanze kutesa

mwenyewe sipendi sana kuzungumzia Bodi ila hata Arsene nae "kimbinu anachemka" mi binafsi sioni tofauti yetu na Manure ispokuwa wachezaji 3 wa safu ya ushambuliaji (Valencia,RVP,Rooney) lakini mbona wao wanajituma timu nzima+tactics za Fergie na Ukali wake+Fitna za soka wanabakia kuwa washindani kila kukicha

Evans,Anderson,nani,Rio,Smalling,Jones,buttner,carrick ni wa kawaida ila "TACTICS" na kujua majukumu yao uwanjani ndo maana wana point 12 kileleni

Ebu tusubiri pale spurs wakimaliza juu yetu mashabiki huko Uk watafanya nini au Bodi itabadilika au ndo demise of Arsenal..yetu macho
 
Ebu tusubiri pale spurs wakimaliza juu yetu mashabiki huko Uk watafanya nini au Bodi itabadilika au ndo demise of Arsenal..yetu macho
Nilikuwa kwenye The Gunner's pub pale Highbury, kama ulivyosema, washabiki na wanachama wamegawanyika makundi.
Wengi wameanza sasa kununua hii issue ya Wenger kuachia ngazi na kama hatutakuwa kwenye nne bora, sidhani kama Wenger anaweza kubaki. Na kama akibaki basi atakuwa na wakati mgumu sana kiuongozi.
I'm still on his side and I really want Stan Kroenke to go. Hata hivyo Waingereza ni fickle.
 
Nilikuwa kwenye The Gunner's pub pale Highbury, kama ulivyosema, washabiki na wanachama wamegawanyika makundi.
Wengi wameanza sasa kununua hii issue ya Wenger kuachia ngazi na kama hatutakuwa kwenye nne bora, sidhani kama Wenger anaweza kubaki. Na kama akibaki basi atakuwa na wakati mgumu sana kiuongozi.
I'm still on his side and I really want Stan Kroenke to go. Hata hivyo Waingereza ni fickle.

Mashabiki hawatovumilia kuikosa UCL tena nakumbuka kwa mara ya kwanza tulimaliza nyuma ya spurs mwaka 1995 kocha George graham akatimuliwa nasubiri nione itakavyokuwa kwa Wenger point 7 nyingi sana aisee
 
Back
Top Bottom