Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manchester United 8 - 2 ArsenalDid you rather mean that!??hahaha...khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...pambaff back at u!:rockon:
Kumbe hamwezi kuwasahau waliokutoeni bikra kinguvu mwaka huu mkaishia kumlalamikia mike clatternberg kwa kumshikia miguu MAN U anapotoa kibako!PAMBAAAF every time you breath!
 
Kumbe hamwezi kuwasahau waliokutoeni bikra kinguvu mwaka huu mkaishia kumlalamikia mike clatternberg kwa kumshikia miguu MAN U anapotoa kibako!PAMBAAAF every time you breath!

maskini weee.....aya mae!!!

maana umesahau siku tatu baadaye kitu tulichomfanya.

we aint like u loser!!!!
 





JamiiForums ilikuwa inaitwa JamboForums
 



ARSENE WENGER insists his desire remains undiminished
 


Prof akiwa mazoezini leo ... .. kabla ya mtanange wa kesho ... ...





Theo alikuwepo .. ... ..




Carz kama kawa .. ...






Jack huwa hakosekani .. ...


BTW Pimbi wa Kibera anashinda hapa chiku hizi . .. ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Umeasi siku hizi tangu wale jamaa wanaotumia flying toilets walipokukamata. Chacha kama kweli 'where we dare talk openly' kwa nini umekubali
pimbi afunge New Era at the Emirates? Au bado wivu unawasukuma?

Ukweli wa mambo ambayo hamuwezi kuubadili
Gunners tunatisha, yaani majority ya media pamoja na yule mrusi mnawalipa vibaraka waje kutoa uchochezi Gunners lakini Prof na kundi lake wametulia kama maji mtungini. Hamuwezi kubadili mafanikio ambayo prof ameleta pale Emirates na hawa wanaolia nyau watakiona cha mtema kuni kilichomtoa kanga manyoya .. ... ... ... COYG.


BTW New Era at the Emirates ilikuwa na inaendelea kuwaumiza wanoko wa Chelsick, Manure na vibaraka wao, hawalali bila kuiota na kuweweseka kama kunguru.
 
1 mpaka sasa tuangalie
Huenda mpira ukabadilika Villa wauri hasa kipindi cha mwanzo Arsenal inahitaji kupata goli jengine kuvunja nguvu
 
Bunduki japo wanaoongaza wasippkiwa makini goli linarudishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…