Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Fukuzeni Wenger huyo
Taarifa za leo zinadai jamaa wanajiandaa kumpa mkataba mpya wa miaka miwili
Fukuzeni Wenger huyo
bahat mbaya cfuatiliag vilaza ka diamond...ni nan kwan?anachezea toto au mtibwa?
Taarifa za leo zinadai jamaa wanajiandaa kumpa mkataba mpya wa miaka miwili
Msd wawape washabiki wa Bunduki Kontena la Panadol.
Yaani timu imeoza kama mbolea ya ruzuku yaani inapunguzo kwa wafungaji.
Basi Aseno ni timu ya kushiriki na si ya ushindani
Na msimu wao unaisha leo, they will be out of all competitions, watabakia kugombania nafasi ya nne kwenye ligi ,kama kawaida yao!
Basi Aseno ni timu ya kushiriki na si ya ushindani