Gunners isn't Chelsick chi mna wachezaji 22 uhamishoni, we registered enough players for the first team, hatulalamiki kama hatuna wachezaji. Chacha wewe malalamika as whom another mentor ing i d i o t s? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu za masiku, Prof ndio anashinda kwenye mazoezi na vijana mimi sina shaka na kikosi anachopanga ... ... ...
BTW nachikia kuna manager analialia leo kama katoto kadogo ... ... .. ati mechi zinakuwa zinapangwa kwa ajili ya TV ... ..... mkuki kwa nguruwe .. ...shenzi typu!
nafasi tunapoteza nyingi lakini ndio mpira, wakirudi hawa watabadilika tukipata goli la pili litapunguza kasi ya mpira, tunaweza pata goli la haraka kipindi cha pili,