It's half time, inatia moyo na inafurahisha kuona vijana wamecheza vizuri, ila kwikwi iko katika final third, tumetengeneza nafasi zaidi ya Liverpool ila vijana wamekosa uzoefu katika kuweka mpira wavuni, bado nina tamaa tutaibuka washindi katika hii mechi.
Dakika ya 74, naona Liverpool wanaingiza big guns ! Benayoun na Aqualani wameingia Arsenal nao wamefanya mabadiliko Randall na Sanches wameingia Bendtner na Craig Eastmond wamepumzika
Katika vikombe vyote vinavyoshindaniwa katika mpira wa miguu hakuna kombe gumu kama ligi kuu;timu inacheza mechi 38;wakati makombe mengine is a matter of match fitness within a month that's all Jose Mourinho alikwisha thibitisha katika hilo nani anabisha?
Inaoneka we ni mnazi usiefatilia kabisa soka kwani hiyo Gunnerz iliyoifunga hao unawaita kids uliwaona? au ulivosikia Sanchez, Eastmond, Randall, Gibbs, Fabianski, Merida ukajua ni wakubwa!!!!!!!!! au ulivosikia Arsenal inacheza ukavuta picha ukafananisha na timu ya Man iliyocheza juzi au Chelsea jana? Basi ni kuwa kwa wastani wa umri Arsenal ndio inaongoza kuwa na kids tena kwenye mashindano yote inayoshiriki.
Man U bana kufungwa wawafunge Liverpool maneno kwetu