Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oly 1 - 1 Gunners .. ... .. dakika 70 zinatokomea ... ....

Oly wanakosa goli hapa bonge la cross ... .... ....

Prof. kaamua kumuweka kiporo
Rosicky .... .... ..
 
Duh hii timu kiboko hakuna anayejituma uwanjani huyu Arshavin ndo kibonde uwanjani.

Mkuu naona umeingia rasmi leo .. ... ... karibu sana. Sasa tutaona J1 pale Emirates reaction ya wachezaji ... .. ... angalau Charmack and co. wamepata gemu walikuwa wanakomba tu mpunga kwa mazoezi .. ..


Naona chacha mtoto wa shamba kaja kuwanga .. ... nenda kawasalimie noisy neighbour .. .
 
Full time tumepoteza nafasi ya kwanza kijinga kijinga kwanini Wenger kpumzisha kikosi kizima na je hao waliopumzishwa watafanya lolote kwenye ligi Saturday against West Bromwich?
 
I know the boy is gud lakini da thing is hapewi games za kutosha. Kuna kitu kingine wachezaji wanacho ukiwa mtu wa vipodozi sana wenzio wanakuona mnyete a.k.a legevu. Najua dogo kama angeenda kwa mkopo timu kama astoni villa,stoke city,hata west brom angekua first eleven kila wiki.

Tatizo lingine la hawa wachezaji wengi wa kigeni ni waoga wa kujaribu kuomba kwenda kwa mkopo vilabu vingine vya ENGLAND kutokana na kuzoea sehemu moja kama LONDON au wakati mwingine kupenda kuzungukwa na wachezaji wanaongea nao lugha moja karibu hususani kifaransa na spanish.

Visingizio vingine kama vya kina tevez kudai hakuna migahawa ya kiajentina MANCHESTER. So kula fish n chips tevez acha kuzingua watu.
 
Mkuu naona umeingia rasmi leo .. ... ... karibu sana. Sasa tutaona J1 pale Emirates reaction ya wachezaji ... .. ... angalau Charmack and co. wamepata gemu walikuwa wanakomba tu mpunga kwa mazoezi .. ..


Naona chacha mtoto wa shamba kaja kuwanga .. ... nenda kawasalimie noisy neighbour .. .
Mkuu kumbuka kwa kuwa sisi ni namba 2 tunaweza kukutana na Borussia Dortmund,P.S.G,Barcelona,Man u,Schalke 04 hawa kwa sababu tulikuwa group moja ni vigumu kukutana nao.Je kuna uwezekano wa kuvuka hapo?
 
Mkuu kumbuka kwa kuwa sisi ni namba 2 tunaweza kukutana na Borussia Dortmund,P.S.G,Barcelona,Man u,Schalke 04 hawa kwa sababu tulikuwa group moja ni vigumu kukutana nao.Je kuna uwezekano wa kuvuka hapo?

hapo barcelona tukikutana nao imekula...PSG wanafungika ila Dortmund wako njema ngoja tuone january transfer itakuwaje kwanza
 
Mkuu kumbuka kwa kuwa sisi ni namba 2 tunaweza kukutana na Borussia Dortmund,P.S.G,Barcelona,Man u,Schalke 04 hawa kwa sababu tulikuwa group moja ni vigumu kukutana nao.Je kuna uwezekano wa kuvuka hapo?

hapo kwa barca pagumu kidogo na man u hatuwezi kukutana nao sasa hivi kwa sababu ni nchi moja unless wawe wamebadilisha sheria.dotmund wazuri sana msimu kuliko hata msimu uliopita.tuliwafunga kwetu na kwao tulitoa draw ya moja moja.kuwafunga msimu huu kwa kikosi chetu kilivyo ni kazi ya ziada kidogo inahitajika.
Kwa Psg nao ni wazuri sana msimu huu kuwafunga ni kazi sana kwa the way tunavyocheza.
All in all tumeshavuka na tusubiri tutakayepangiwa tuone tutashindaje.
 
bora wewe umeingia mitini wenzako bado tuko nao hapa wanalalamika kila siku kila jmosi lazima tuje kuwatuliza hapa :biggrin1:

Halafu na wewe katoto ka mjini umezidi kuvamia jukwaa letu, kila siku upo tu.....mbona kule kwenu huonekani??
 
Halafu na wewe katoto ka mjini umezidi kuvamia jukwaa letu, kila siku upo tu.....mbona kule kwenu huonekani??

Coz in arsene we love and trust :biggrin1:, jmosi na west brom is a must win game...mkifungwa sijui babu wenu atajificha wapi
 
Coz in arsene we love and trust :biggrin1:, jmosi na west brom is a must win game...mkifungwa sijui babu wenu atajificha wapi
West Brom tunawapiga tu.........BTW inaonekana una mapenzi sana na Arsenal, matendo yako tu yanaonyesha...:becky:
 
West Brom tunawapiga tu.........BTW inaonekana una mapenzi sana na Arsenal, matendo yako tu yanaonyesha...:becky:

Sipati picha Odemwingie, Long and Co. watakavyowapelekesha pale mbele na kuwafanya vibaya
 
Mkuu mie nimeshapoteza imani siku nyingi sana na AW na management yote ya Gunners. Walinimaliza nguvu kabisa pale walipoamua kumuuza Van Puuuu.... kwenda MANU. Makosa kama hayo ya kumuuza mchezaji wenu star kwa timu ambayo iko EPL hata siku moha SAF huwezi kumsikia akiyafanya. Nakumbuka miaka michache iliyopita Rooney alitingisha kibiriti na kutaka kuondoka MANU. SAF hamkutolea uvivu na kamwambia una uhuru wa kuondoka tutakuuza katika timu yoyote ambayo itatupa pesa nzuri lakini ujue timu hiyo haitakuwa UK bali ni nje ya UK kwa maana nyingine kuhamia katika ligi ya Germany, Spain, Italy etc Rooney mwenye akanyoosha mikono juu na kutia wino ili kubaki MANU.

Timu inashuka hadhi taratibu na ilhali Bank account ya Gunners imenona vibaya sana. Wanataka wachezaji wa bei poa matokeo yake one of the mighty team among the best teans in EPL, Europe and the World sasa hivi imekuwa kibonde cha hali ja juu. Siku hizi nikiangalia mechi najua uwezekano wa kwanza ni kufungwa, kutoa draw au tukibahatika kushinda kimanati manati.

Wachezaji pamoja na kulipwa mabilioni lakini nao wanataka kubeba makombe mbali mbali ya EPL, FA, UEFA etc lakini timu yetu ya Arsenal kila mwaka nafasi ya kufanya hivyo ndio inazidi kututupa mkono. wachezaji wa zamani wa Gunners wamejaribu sana kuongea kwenye vyombo vya habari mbali mbali kuhusu umuhimu wa kuwa na wacheza ambao wana experience ya kutosha lakini management ya Gunners imetia pamba masikioni huku timu ikizidi kudorora msimu hadi msimu.

Sasa hivi hata kuwapata wachezaji wakali duniani itakuwa ni kazi mno!!! maana inaonekana Gunners haiwajali hata masuperstar wake mbali mbali na hivyo kuhakikisha inafanya juu chini ili kutowapoteza na hivyo kujenga timu imara ya kuweza kupambana na MANU, MANC, BARCA, RM etc..Siku hizi hata tukicheza na vibonde wanajua hawa Gunners ni vibonde wenzetu tukikaza msuli basi tunaweza kuondoka na 3 points!!! :target::target:

Nitafurahi kuona mechi za nyumbani za Gunners uwanja unakuwa mtupu hivyo kuwapa mstuko mkubwa owners na management in order to kick them where it hurts the most, Gunners' bank account...labda ndio watatia akili kichwani na kuirescue timu kabla haijashuka daraja. Na kwa matokeo ya hivi karibuni sitashangaa kusikia Walcott naye ameamua kuvua jezi na kwenda MANC, MANU au Tottenham... nasubiri kwa hamu mchapo mkali wa J'pili kati ya MANU na MANC

Msema kweli....



Washabiki wa dizaini yako ndo mnafanya timu izidi kudorora na mtaifanya ishuke daraja soon.
Endeleza mentality zako za BAHASHA afu tuone hiyo AssEno yenu itafika wapi.... Timu yako ni dhahiri mbovu kama BAK alivyoelezea hapo, but wewe unakazania BAHASHA tu, keep it going on n on and we'll see where you'll be hiyo MAY.
*Mnaboa*Unaboa*:A S angry::A S angry::A S angry:
 
Back
Top Bottom