Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
Hapana......Hapa ni mahaba tu dhidi ya Rosoneri ndo yanakusukuma useme hivyo....
Nini ubora wa la Mexes?, kwa sababu ni la tik tak?....Kama goli la tik tak la Mexes ni bora Europe, vipi hili goli la Ibrahimovic alilofunga siku ya mechi ya Sweden na England?
Mkuu Balantanda heshima mbele...
Ishu ni kuwa goli la Mexes linabaki kuwa bora zaidi ya goli la Ibra kwa sababu goli la Ibra kipa hakuwepo golini...
Lakini goli la Mexes kipa alikuwepo golini lakini mpira ulipopelekwa hata wangekuwa makipa watatu wasingefika.
forza Milan
teh teh teh :becky:Goli la Philip Mexes wa AC Milan ndio goli booora katika msimu huu wa Ligi barani ulaya...
Bishana kokote, ukiona unaelekea kushindwa nistue
Arsenal ni wazee wa hawavumi lakini wamo!morinho anashinda trophies anapigwa chini
ancelotti kashinda PL na fa cup bado kapigwa chini
RDM anashinda CL hata miezi sita hamalizi kapigwa chini duuhh
arsene wenger anaingia mwaka wa nane toka ashinde kombe na bado yupo na hana dalili za kwenda kokote... MR WENGER must have the best and safest job in the world. LUCKY HIM..IN ARSENE THEY TRUST:crazy:
Wanoko tayari washajaa hapa kweli Gunners tunatisha (Bila hivyo wangetulia makwao) ngoma au wengine huita mtanange leo jioni ... .... ..vijana wako ready kukabiliana na A. Villa
Haya presure zetu ndiyo zinaingia saahizi....wenzetu Man U wameshashinda sasa subiria madudu yetu!
Utashangaa Aston villa wanatufunga. Kiukweli Arsenal inatutesa sana
Sijui leo atakunya kabisa?!?
Starting 11 imekaaje leo...
Man Siku zote mi najua we Liverpool...
Wenger Naona kampiga bench bacary kaanza NAS jenkson.. na Ramsey huyu mzee anatafuta draw au ushindi..?
Hata mimi ahaa ahaa ahaa glory hunter huyu kakimbia stress
Man Siku zote mi najua we Liverpool...
Ok Nadhani Wenger amefanya rotation.Leo .. good move ....