Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

QPR washaona kwenye hii game kuna zaidi ya Draw..... Soon Scoreboard itachange.......AW anamuacha Ramsey... Anampumzisha JW
 
huyu ramsey anacho kifanya cha maana sana ni kipi mpaka asitolewe? bila ya mapinduzi hii timu haitabadilika
 
next week end old traford (kama sijakosea) then twende ujerumani haihitaji kuwa mtabiri lets wait
 
Striker Winger Gervinho nae majeruhi aseee................Kaingia Mrusi.... kwenye PS bado nina FIFA 2011 anafungaga sana.....
 
Kweli hali ni Ngumu saaana... mpaka tunaanza funga magoli ya Fluke kama haya....???? Haya bana Arteta....
 
Nashusha Pumzi naketi..... Game Over with Three Points and One Goal..... It will make a difference somewhere am sure...
 
this is not arsenal to depends on trophiez even the 4th place
 
Vipi Mkuu? Moyo ulianza kukimbia kasi ya ajabu nini? Ushindi ni ushindi lakini bado tuna safari ndefu msimu huu wa kuwemo angalau katika nne bora.

Kipa katutoa...Ila hali Ngumu saaana...
 
Nashusha Pumzi naketi..... Game Over with Three Points and One Goal..... It will make a difference somewhere am sure...

angalau tumeshinda manake tungepigwa na hii 'hater' wangezidi kuongea zaidi ya hapo.
 
That goal was classic. Kibongobongo tungesema golini kumechimbiwa sh mia. Manake limekoswa koswa three times! Leo na mie mnazi, japo chelsea damu.
 
i'm realy impressed 2 c ma boy JW on ptch however general performance was ordinary. I wish him a long term fitness
 
goonerz mbona mmenywea au kagoli kamoja kakulazimisha golini hamkuridhishwa nacho
 
Wakuu mambo shwari naona wanoko wote leo walikimbia hata wale Invisible Peasof ants hawajaonekana. Wakuu msijali sana picha ninazoweka sasa zimekuwa banned hapa JF nitakuwa naziweka kwa Mwanakijiji dot com. Anayeruhusiwa kuweka picha ni Mungiki Brother peke yake this is how we dare talk openly ... ... ....


Point tatu kibindoni safi sana chacha bado 87 points in our dispossal ... .... ..
 
Back
Top Bottom