Kwa usajili mliofanya mwaka huu, lazima mchukue ubingwa! Naona Mark Clattenburg anatishia namba ya Webb. Vipi, ni yupi mtampanga Jumamosi ijayo?
Wewe ni bonge la MNAFIKI,unaongea goli la offside la Arsenal wakati Manure mlihitaji goli la offside kushinda timu ya Chelsea yenye wachezaji 9, na hausemi kitu.
haya bana.... Kimeshanuka... Jason roberts... Reading 1 sisi 0.... Naenda kulala.....Upuuzi mtupu.....
Kweli huu upuuzi mtupu!!!
zaidi ya upuuzi kaka....Tushapigwa 3-0 na Reading..... bado Jmosi tunacheza na Utd..... Its time up for AW to go.... He has no more to offer!!!! Usmanov atake charge.... leta Pep Guardiola team irudishe heshima....
Dakika ya 45
Reading 4-0 Arsenal
Hii ni fedheha sasa.........AIBUU
Wanasema(ga) 'Arsene knows'........Kazi kwelikweli
haya bana.... Kimeshanuka... Jason roberts... Reading 1 sisi 0.... Naenda kulala.....Upuuzi mtupu.....
kitu ambacho ni muhimu sasa kwa hii club ni mapinduzi(revolution)coz so far hakuna watu ambao wako serious kwa ajili ya kulinda heshima na hadhi ya hii club zaidi ya kila kuendelea kuvunja historia nzuri iliyojijengea nje na ndani ya england(kuweka historia mbovu) na ni zaidi ya miaka 7 sasa without even a single trophy na hakuna jitahada za makusudi na za maana sana kuepuka hili mwisho wa siku timu bado haina uelekeo unaoeleka...kuna tatizo arsenal sio bure