Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu ni uzembe tu wa wachezaji na ukaidi wa AW kuwang'ang'ania Gervinho , Giroud na Ramsey ambao hakuna lolote walilofanya uwanjani leo zaidi ya kutugharimu....

Wenger yuko slow sana kufanya changes mara nyingi.

Makosa yetu yale yale kila msimu. Timu zeneye rekodi mbovu tunaenda kustruggle. Giroud awe anakuja kipindi chapili tu.
 
Arsenal is too predictable and very conservative...same same old stories sioni vipi tunapoteza game kama hii What a shame!
 
The same old story.....

Another trophyless season in the making..........

Kuwa shabiki wa Arsenal inahitaji moyo wa chuma.......

Nishazoea mie..................Japo INAUMA
 
Poleni sana washika bunduki, naona leo mlisahau mkashika marungu badala ya bunduki kwa hiyo mhalifu akawageuzia kipigo.
 
Ngoma imelala hii.......

Giloud hamna kitu nimenyoosha mikono akanunue mshambuliaji mwingine au amchezeshe KR pale centre ni bora kuliko huyu hata kupiga mipira anaikosa? Flop Flop sioni tofauti na Chamack
 
With this move then this season is as good as other seasons... TROPHYLESS> Cause if u cant beat the Big teams and still u cant take three points where u were suppose to take them then we r never Title contenders.....What a poor game was this??? We still have players whose form fluctuate game inn game out.... The likes of RAMSEY, GERVINHO, GIROUD etc..... Arsenal is a BIG club and hence must have Big name players.... Players who can dig us out whenever we fall in the pit..... U SE NGE mtupu......
 
The same old story.....

Another trophyless season in the making..........

Kuwa shabiki wa Arsenal inahitaji moyo wa chuma.......

Nishazoea mie..................Japo INAUMA

Mapema sana mkuu!! Game tu! Haikuwa upande wetu
 
Kwama mwendo huu Arsenal ubingwa ni ndoto za mchana unatembea.
Huu ndio ukweli mgumu kuukubali
 
Back
Top Bottom