Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bacary Sagna atakuwa akifikiria sana ujio wa Carl Jekinson maana dogo ame-improve kinoma.

Hii ndio technical advatage ya Wenger na mameneja wenzake kwamba anachukua unknown players na kuwafanya wawe wachezaji wa maana na baadae wanambuliwa.
 
Bacary Sagna atakuwa akifikiria sana ujio wa Carl Jekinson maana dogo ame-improve kinoma.

Hii ndio technical advatage ya Wenger na mameneja wenzake kwamba anachukua unknown players na kuwafanya wawe wachezaji wa maana ma watambuliwe.
Sio Sagna peke yake mkuu kuna santos nae kwa Gibbs, na hapo kati ndio tuna utitiri wa good players just imagine anarudi Jack na Frimpong all of sudden tuna benchi ya kujidai, hata Scezny nae anakuna kichwa maana Mannone anacheza poa tu.
 
Bacary Sagna atakuwa akifikiria sana ujio wa Carl Jekinson maana dogo ame-improve kinoma. Hii ndio technical advatage ya Wenger na mameneja wenzake kwamba anachukua unknown players na kuwafanya wawe wachezaji wa maana na baadae wanambuliwa.
i love the fact that Jekinson he is slapping me all over my face sababu nilikuwa mmoja ya wale watu wasiomkubali kabisaa but he's getting gud day by day .... well done son! jenk -insane! All aboard the Jenk bus! .. COYG!
 
Wadau tuna game Vs Coventry City on Wed..... Najua madogo ndo watakamua... may be Babu anaweza mpa Jack some playing time..... So tukutane hapa kwa ujumla wetu...... Then kama itawezekana This Coming Chrismass HolidayTupange kukutana DAR ES SALAAM mjini kama JF Arsenal Fanz....... mahala na muda wadau mnakaribishwa kwa mawazo if and only if mnaona kama ni possible.........
 
i love the fact that Jekinson he is slapping me all over my face sababu nilikuwa mmoja ya wale watu wasiomkubali kabisaa but he's getting gud day by day .... well done son! jenk -insane! All aboard the Jenk bus! .. COYG!

Sagna needs to step up bigtime to get ahead of that kid.
 
Bacary Sagna atakuwa akifikiria sana ujio wa Carl Jekinson maana dogo ame-improve kinoma.

Hii ndio technical advatage ya Wenger na mameneja wenzake kwamba anachukua unknown players na kuwafanya wawe wachezaji wa maana na baadae wanambuliwa.

yan ukickia sagna kasepa kw vcingizio vya sera mbov za mzee wenger ucshangae jenk is a threat kwake
 
Game ya Pili Ngumu still UNBEATEN...... Tukiwapiga Chelsea then hiyo itagua a very great Confidence BOOST kuliko VIAGRA inavyoboost......... Happy with the away Point.... Nawatakia usiku mwema wadau wote mlioshiriki jukwaa hili its 2.00hrs and am getting Undercovers..... See u then....
 
gooners that was awesome performance. The team has got some signs of invicibles.
 
Per mertasakar ndio habari ya uingereza hutaki unaacha!!!
Huyu jamaa kwa kuwin zile through balls namkubali sana. Pasi zake pia zimenyooka. Ukimuona utadhani mzembe mzembe kumbe mashine!!
 
..I can only think about the Judas Iscariot.....what the hell is going on in his skull right nw?
 
Laurent-Koscielny-goal-Manchester-City-v-Arse_2833350.jpg


The thunderbolt ... ......



Laurent-Koscielny-slide-celeb-Manchester-City_2833304.jpg



Koscielny slides in delight after his equaliser


article-2207495-152A4D20000005DC-964_634x406.jpg


Catch me if you can: Koscielny wheels away
in celebration after his shot beats Joe Hart



article-2207495-152A5632000005DC-734_634x403.jpg


article-2207495-152A3E9B000005DC-695_634x387.jpg


Case for the defence: Mertesacker (above) and Koscielny
performed well
in the absence of Thomas Vermaelen


article-2207495-152A02A0000005DC-383_634x419.jpg
 
Back
Top Bottom