Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"The Arsenal faithful even mocked their City counterparts' "Poznan" celebration, by turning their backs to the pitch and bouncing up and down when Koscielny found the net"
Hahahahah..
 
Mabeki wa kweli wapo arsenal wenger anaumiza kichwa ampange nani amwache nani.Chealse here we come
 
"The Arsenal faithful even mocked their City counterparts' "Poznan" celebration, by turning their backs to the pitch and bouncing up and down when Koscielny found the net"
Hahahahah..
lakini tutafurahia sare hadi lini jamani?
ila vijana walipigana kiukweli jana...
 
lakini tutafurahia sare hadi lini jamani?
ila vijana walipigana kiukweli jana...
Sare kwa timu kubwa siyo mbaya. Kumbuka msimu uliopita tuliloose games karibia ya zote za top four. Cha muhimu ni kuhakikisha tukikutana na vitimu vidogo tunaviangushia mvua ya magoli kama tulivyofanya kwa Southampton
 
Sare kwa timu kubwa siyo mbaya. Kumbuka msimu uliopita tuliloose games karibia ya zote za top four. Cha muhimu ni kuhakikisha tukikutana na vitimu vidogo tunaviangushia mvua ya magoli kama tulivyofanya kwa Southampton

mtazamo mzuri ila sie tunamalizana na gemu ngumungumu ili shughuli ihamie kwenye vitimu vidogo..
 
Sare kwa timu kubwa siyo mbaya. Kumbuka msimu uliopita tuliloose games karibia ya zote za top four. Cha muhimu ni kuhakikisha tukikutana na vitimu vidogo tunaviangushia mvua ya magoli kama tulivyofanya kwa Southampton
naamini vijana wakipigana kama jana...sura zetu zitaonekana mjini hapa
 
Turudi nyuma,tulikuwa tunam-force wenger kununua central back mpya,situation ya sasa tu inamchanganya wenger nani akae benchi na nani acheze.
 
Goonerz tuko juu kwa sasa,sio wale jamaa zetu wa Old Toilet wazee wa penalti aka kubebwa.
 
Kulinganisha na misimu iliyopita, Asernal msimu huu tunatimu nzuri. Nikwabahati mbaya gervin.. hakutulia, Laiti angetulia tungeshinda.

Tumeanza vizuri naamini tutafika mbali msimu huu.

Still with a draw am more than happy.
 
chances gervinho alizomiss angekua RVP mngeshinda...ndio mjue strikers mnae mmoja tu podolski wengine wote wanashoot hewa...well done tho... takin points off man city was brilliant....WELL DONE :biggrin1:
 
Nimegundua kwa nini kuna mabango uwanjani katika mechi mbalimbali za Arsenal yaliyoandikwa " In Arsenel Wenger we Trust" .......kwa kweli kama Arsenal hii itaongeza makali .............. jitihada kidogo tu mambo safiiii All the Best The Gunners
 
Hawa jamaa wa Michezo wa Magic FM sijui vipi wananikera wanapofananisha Arsenal na Yanga eti wapenzi wengi wa Yanga ni wa Arsenal hii inanikera sana sitaki kabisa kuiendeleza mada hii lakini ninachofahamu Jezi na skafu za Manchester United MASHETANI za awali zina rangi za njano na kijani
 
Turudi nyuma,tulikuwa tunam-force wenger kununua central back mpya,situation ya sasa tu inamchanganya wenger nani akae benchi na nani acheze.

Aibu verminator kolcienly duh nani aanze, kulia sasa jenkison dogo balaa sagna ajipange.
 
Back
Top Bottom