Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ushabiki huu.......Yaani restless kabisa hapa nilipo..... Tushaumia kimoja....AW alikua ana winning team lakina kaona haifai kaja na Ramsey wake ambae si mmbaya kwa kweli so far........Am still hoping for come back......
 
Wametuchapa sasa dah, yale yale ya "the operation was successful but the patient died!!!!

"tulitengeneza nafasi nyingi ila hatukuzitumia ipasavyo" heheh soka bana haliishi sababu anyway.. boyz are trying to their level best lets wait till 90s min
 
Ushabiki huu.......Yaani restless kabisa hapa nilipo..... Tushaumia kimoja....AW alikua ana winning team lakina kaona haifai kaja na Ramsey wake ambae si mmbaya kwa kweli so far........Am still hoping for come back......
AW sometimes sijui anafanya kusudi.
 
Ushabiki huu.......Yaani restless kabisa hapa nilipo..... Tushaumia kimoja....AW alikua ana winning team lakina kaona haifai kaja na Ramsey wake ambae si mmbaya kwa kweli so far........Am still hoping for come back......

Mkuu ramsey kacheza kiwango kinoma chance mbili za wazi tumepoteza Gibbs na madread huyu hata ku2liza ameshindwa!
 
Kuna kazi kurudisha hili goli na ukizingatia nafasi nyingi zimepotezwa.

Weger ajaribu kumwingiza Oxlade Chamberlain asaidie kasi ya kutafuta goli, Ramsey bado ni dhaifu na Gervinho nae atolewe.
 
Mancs nguvu ya soda tutaona kipindi cha pili ....... .....
 
Pengo la Captain Vaminator linaonekana. Naona Metas anastrugle sana cuz Kosn hawez kumcover vizur!
 
Back
Top Bottom