Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Napenda akisepeshe huyu kijana labda ni Usain Bolt no.2 kamepewa offa ya £75000 kamegoma eti anataka £100,000 kwa week? Hii ni joke kwa kiwango gani? Very incosistent,too predictable,unskillful...tena mi sikakubali haka kajamaa...alafu hii inafanana na Luis Nani's situation pale man utd nako eti kalitaka wakapandishie toka £80,000 mpaka £100,000 fergie amemkatalia "kwa kiwango gani? Kameufyata mkia
Ondoa vitoto vinakimbia kimbia tu uwanjani...
Ni pale tu baada ya wachezaji hawa kuondoka ndio tunasikia ubovu wao, lakini kabla ya hapo utasikia nyimbo za sifa kutoka kwa Arsenal fans = DESPERATION, ANGER, JEALOUS...you name it.
1. Fabregas = Sio mzuri kama anavyodhani, atakaa benchi Barcelona, kiwango chake kimeshuka hatumtaki.
2. Nasri = Greedy, One season wonder, atakaa benchi Man City
3. Van Persie = Injury prone, Mzee, Greedy, One season wonder, atasugua benchi ManU.
4. Song = Hajui kukaba, kasababisha beki yetu inaonekana mbaya, Lazy, bad attitude, benchi linamsubiri Barcelona
5. Walcott = Very incosistent, too predictable, unskillful, greedy, mbio tu hajui mpira, benchi linamsubiri kokote aendako isipokuwa Arsenal.
Who's next?