Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wenzangu vipi mambo yanaendeleaje.

Timu inafanya vizuri isipokuwa washambuliaji Podolski na Giroud watachukua muda kuweza kuelewana na kufunga magoli kufuatia maunganisho na Cazorla.

Mtaalam Bould amefanya kazi yake ambayo Wenger amemuachia na zile "set pieces" ambazo timu yetu ilikuwa ikifungwa kutokana na magoli ya kona au mipira ya kurushwa na mipira ile ya cross, vyote vinaonekana vimefanyiwa kazi na kuna "organisation" ya hali ya juu kati ya Vermaelen, Metersacker na Gibbs na hata Jekinson katika mechi zote (Sunderland na Stoke) ameonyesha ufanisi wa hali ya juu sana katika kuzuia na kwenda mbele -ikibidi.

Katikati tumepata Cazorla na akiwa kama "creative midfielder" ameonesha uwezo mkubwa katika muono, ulengaji mashuti na kumiliki mpira. Ila Wenger bado anaweza kwenda nunua "defensive midfielder" ambae anatajwa kuwa ni kati ya Afellay, Cabaye, Chekh Tiote au M'vila ambae atakuwa akilinda "back four".

Uchezaji wa Cazorla ni sawa na ule wa Nasri wa Man City, Carrick wa Man Utd au Hazard wa Chelsea ambao ni kusaidia mashambukizi nyuma ya mshambuliaji kama Giroud au Podolski. Na kwa mechi hizi mbili ambazo amecheza ameonyesha uwezo mkubwa sana katika idara hiyo na kiunganishi.

Ila tunae Wilshere na Tomas Rosicky ambao watarudi ifikapo mwezi October kwahio ikiwa mtindo ni 4-3-3 basi kutakuwa na Arteta na Diaby kama tulivyowaona mpaka sasa au Arteta na Wilshere wakisimama nyuma ya Cazorla.

Wenger anataka awepo "cover defensive midfielder" kwa ajili ya hasa Diaby na Wilshere au Rosicky ambao uchezaji wao unahitaji uangalifu ukizingatia sehemu ile ya kiungo ilivyo na shughuli.

Hata hivyo katika mechi hizi mbili ambazo timu yetu imecheza na Sunderland na Stoke nimegundua kwamba ili Arsenal iweze kufunga magoli inabidi icheze mtindo wa 4-2-1-1-2 ambao unawaweka Arteta na Diaby katikati, Cazorla na mbele kuna Podolski nyuma ya Giroud.

Usaidizi wa Gervinho na Walcott hauna tija sana maana wamekuwa wakipoteza mipira mingi na ni afadhali Alex Chamberlain ndie anaonekana kuleta uhai wa mashambulizi hasa pasi zake, chenga na huwa hapotezi mipira na itakuwa ni jambo la mbolea sana ikiwa Wenger atakuwa akianza na Ox.

Sasa Jumapili ndio mpira unaanza na tunacheza na Liverpool na hii ndio mechi itakayotoa muelekeo wa timu yetu kwa msimu huu wa 2012/13.

Kwa sasa bado kuna "activities" nyingi tu na kama kawaida Wenger hapendi PR zisizo na maana na nafikiri Alhamisi asubuhi tunaweza kupata taarifa ni nani wamesajiliwa akiwemo defensive midfielder na beki mmoja.

Kwa wale wapenzi wa Arsenal ambao wapo interested kuchukua uanachama wa timu hii kwa sasa unaweza kujiandikisha na kuchukua uanachama ambao utakugharimu kiasi cha paundi 33 kwa mwaka.

Tafadhali hudhuria katika link hii https://www.eticketing.co.uk/arsenal/memberships.aspx?findmembership=1

In Arsene we Trust.
 
Theo Walcott rejects Arsenal deal, alerting Manchester City's interest

• Contract worth £75,000 a week turned down by representatives
• Manchester City and Liverpool interested in signing winger


Theo-Walcott-playing-for--008.jpg

Theo Walcott played in Arsenal's goalless draw at Stoke City on Sunday but has now rejected an offer of £75,000 a week. Photograph: Marc Atkins/BPI/Corbis


Manchester City are considering making a bid for Arsenal's Theo Walcott with the champions conscious his future at Arsenal is in serious doubt after discussions over a new deal broke down.
There has been no official offer from City but Roberto Mancini admires the forward with the Italian having retained an interest in Walcott throughout the summer. With Adam Johnson having departed for Sunderland and his initial replacement, Scott Sinclair, having seen his move from Swansea City to the Etihad Stadium break down, Walcott's potential availability may move Mancini to lodge a bid, although Liverpool have also been linked with the England international.

Walcott's future at Arsenal has been in the balance for some weeks. The player has entered the final 12 months of his deal at the London club but, after a period when negotiations over an extension were put on hold, his advisers reopened discussions with Arsenal last Friday and a final five-year offer worth around £75,000 a week was duly put to the winger.

However, it is understood Walcott's representatives informed the club over the weekend that they would be rejecting that proposal.

Further talks took place on Tuesday but, while Arsène Wenger is instinctively keen to retain Walcott's services, he and the club's hierarchy have now made it clear that they will look to sell the winger before Friday's deadline unless they receive a clear indication that he is ready to commit his future.

Arsenal, who have stressed to Walcott that they invested considerable faith in the winger when signing him from Southampton in 2006, would seek to raise about £15m through Walcott's sale rather than allow the 23-year-old to leave for nothing next summer, and would be willing to enter negotiations with both Liverpool and City. A move to the champions is far from outlandish. City had believed Walcott may have demanded assurances he would be a first choice starter which with the abundance of talent at Mancini's disposal would have been difficult to give. Now, with Walcott having rejected Arsenal's latest offer that dynamic has changed.

Roberto Mancini is attempting to bolster his squad with an injection of pace before Friday's cut-off – the manager said on Sunday after being held to a 2-2 draw at Liverpool that it was crucial that the club sanctioned more signings if they were to retain any hope of winning the league.

But their long-mooted move for Sinclair is currently on hold after a bid of £6.2m was rejected by Swansea City. Sinclair was omitted from the Welsh club's squad for Saturday's win over West Ham United and has informed the Swansea chairman, Huw Jenkins, that he will not be signing a new contract, yet no agreement has been reached over a fee for the 23-year-old former Chelsea winger. "We haven't actually agreed any deal with Manchester City at the moment," Jenkins said.

"I would have thought if they really wanted to sign Scott Sinclair they would have dealt with it a little bit better than they have. But that's their business. But it has dragged on too long and I hope one way or another it will be concluded in the next couple of days."

With that move apparently stalled, Mancini will consider switching targets to Walcott – a player with 28 England caps who has also interested Chelsea in the recent past – given his prospective availability. Losing Walcott would represent an untimely setback for Wenger, who has lost Robin van Persie to Manchester United already this summer and sanctioned Alex Song's departure for Barcelona.

The Frenchman stressed only last week that the winger was "very important" to the club's future, which makes Arsenal's delay in opening talks all the more baffling.

Walcott has made 222 appearances for Arsenal, scoring 42 goals, since his switch from Southampton though the suspicion remains that the London club have yet to coax real consistency from the player.

The player had indicated towards the end of last year that he wished to remain at the club and requested talks, though those formal discussions did not commence until after his participation in Euro 2012 with England.
 


Warm welcome: The Stoke fans treated the visiting manager
to a rousing reception - and one fan ribbed the Gunners boss
over another of his stars departing for Manchester (below)



article-2193809-14B35999000005DC-452_634x440.jpg




:biggrin1: THIS IS THE BEST PICTURE I HAVE SEEN FOR A LONG TIME , IN ARSENE THEY TRUST THEY SAY :biggrin1:
 
theo walcott naona kashtukia hakuna dili arsenal, tatizo lenu ni kua mnaachia wachezaji mpaka wanakua na 12months left kwenye contract zao alafu ndo mnataka negotiations wakati hata team haifanyi vizuri...Poleni lakini cha muhimu mna kazi anfield kwanza jpili...na theo anaweza kua anachezea liverpool siku hiyo
 
theo walcott naona kashtukia hakuna dili arsenal, tatizo lenu ni kua mnaachia wachezaji mpaka wanakua na 12months left kwenye contract zao alafu ndo mnataka negotiations wakati hata team haifanyi vizuri...Poleni lakini cha muhimu mna kazi anfield kwanza jpili...na theo anaweza kua anachezea liverpool siku hiyo

Napenda akisepeshe huyu kijana labda ni Usain Bolt no.2 kamepewa offa ya £75000 kamegoma eti anataka £100,000 kwa week? Hii ni joke kwa kiwango gani? Very incosistent,too predictable,unskillful...tena mi sikakubali haka kajamaa...alafu hii inafanana na Luis Nani's situation pale man utd nako eti kalitaka wakapandishie toka £80,000 mpaka £100,000 fergie amemkatalia "kwa kiwango gani? Kameufyata mkia

Ondoa vitoto vinakimbia kimbia tu uwanjani...
 
Theo Walcott rejects Arsenal deal, alerting Manchester City's interest

• Contract worth £75,000 a week turned down by representatives
• Manchester City and Liverpool interested in signing winger


Theo-Walcott-playing-for--008.jpg

Theo Walcott played in Arsenal's goalless draw at Stoke City on Sunday but has now rejected an offer of £75,000 a week. Photograph: Marc Atkins/BPI/Corbis


Manchester City are considering making a bid for Arsenal's Theo Walcott with the champions conscious his future at Arsenal is in serious doubt after discussions over a new deal broke down.
There has been no official offer from City but Roberto Mancini admires the forward with the Italian having retained an interest in Walcott throughout the summer. With Adam Johnson having departed for Sunderland and his initial replacement, Scott Sinclair, having seen his move from Swansea City to the Etihad Stadium break down, Walcott's potential availability may move Mancini to lodge a bid, although Liverpool have also been linked with the England international.

Walcott's future at Arsenal has been in the balance for some weeks. The player has entered the final 12 months of his deal at the London club but, after a period when negotiations over an extension were put on hold, his advisers reopened discussions with Arsenal last Friday and a final five-year offer worth around £75,000 a week was duly put to the winger.

However, it is understood Walcott's representatives informed the club over the weekend that they would be rejecting that proposal.

Further talks took place on Tuesday but, while Arsène Wenger is instinctively keen to retain Walcott's services, he and the club's hierarchy have now made it clear that they will look to sell the winger before Friday's deadline unless they receive a clear indication that he is ready to commit his future.

Arsenal, who have stressed to Walcott that they invested considerable faith in the winger when signing him from Southampton in 2006, would seek to raise about £15m through Walcott's sale rather than allow the 23-year-old to leave for nothing next summer, and would be willing to enter negotiations with both Liverpool and City. A move to the champions is far from outlandish. City had believed Walcott may have demanded assurances he would be a first choice starter which with the abundance of talent at Mancini's disposal would have been difficult to give. Now, with Walcott having rejected Arsenal's latest offer that dynamic has changed.

Roberto Mancini is attempting to bolster his squad with an injection of pace before Friday's cut-off – the manager said on Sunday after being held to a 2-2 draw at Liverpool that it was crucial that the club sanctioned more signings if they were to retain any hope of winning the league.

But their long-mooted move for Sinclair is currently on hold after a bid of £6.2m was rejected by Swansea City. Sinclair was omitted from the Welsh club's squad for Saturday's win over West Ham United and has informed the Swansea chairman, Huw Jenkins, that he will not be signing a new contract, yet no agreement has been reached over a fee for the 23-year-old former Chelsea winger. "We haven't actually agreed any deal with Manchester City at the moment," Jenkins said.

"I would have thought if they really wanted to sign Scott Sinclair they would have dealt with it a little bit better than they have. But that's their business. But it has dragged on too long and I hope one way or another it will be concluded in the next couple of days."

With that move apparently stalled, Mancini will consider switching targets to Walcott – a player with 28 England caps who has also interested Chelsea in the recent past – given his prospective availability. Losing Walcott would represent an untimely setback for Wenger, who has lost Robin van Persie to Manchester United already this summer and sanctioned Alex Song's departure for Barcelona.

The Frenchman stressed only last week that the winger was "very important" to the club's future, which makes Arsenal's delay in opening talks all the more baffling.

Walcott has made 222 appearances for Arsenal, scoring 42 goals, since his switch from Southampton though the suspicion remains that the London club have yet to coax real consistency from the player.

The player had indicated towards the end of last year that he wished to remain at the club and requested talks, though those formal discussions did not commence until after his participation in Euro 2012 with England.
Bomu lingine hili,hawa wachezaji wanamuongezea presha Mr. Bean haiwezekani kila mtu akibakiza mwaka anagoma kuongeza mkataba
 
Napenda akisepeshe huyu kijana labda ni Usain Bolt no.2 kamepewa offa ya £75000 kamegoma eti anataka £100,000 kwa week? Hii ni joke kwa kiwango gani? Very incosistent,too predictable,unskillful...tena mi sikakubali haka kajamaa...alafu hii inafanana na Luis Nani's situation pale man utd nako eti kalitaka wakapandishie toka £80,000 mpaka £100,000 fergie amemkatalia "kwa kiwango gani? Kameufyata mkia

Ondoa vitoto vinakimbia kimbia tu uwanjani...

sizitaki mbichi hizi sio? Kila player anayeondoka arsenal mnamsagia Alex song, RVP na sasa THEO hao wengine akina podolski mnawatayarishia akina man city mwakani wanawabeba alafu utamsagia pia na yeye...POOL OLD ARSENAL..Nani tumegoma kumpa contract na mbona hatishii kuondoka? tuna ashley young na valencia so hata juzi babu fergie kasema mchezaji ambae hayuko happy mlango uko wazi..mambo ya kubembelezana ya zamani...
 
Yule mwanariadha walcot hata mie nawaunga mkono uzilia mbali uko, si mna ashaviuno bana? Atakava nafasi yake.
Safar hii kuna kila dalil top ten ikawa historia kwenu. Yangu macho
 
sizitaki mbichi hizi sio? Kila player anayeondoka arsenal mnamsagia Alex song, RVP na sasa THEO hao wengine akina podolski mnawatayarishia akina man city mwakani wanawabeba alafu utamsagia pia na yeye...POOL OLD ARSENAL..Nani tumegoma kumpa contract na mbona hatishii kuondoka? tuna ashley young na valencia so hata juzi babu fergie kasema mchezaji ambae hayuko happy mlango uko wazi..mambo ya kubembelezana ya zamani...


Mkuu mbona upo hapohapo OT na unashindwa kupata habari?

Luis Nani anataka aongezwe mshahara unaofikia ule wa Wayne Rooney ambae analipwa kwenye 200000K kwa wiki, na mzee Ferguson haoni kama kuna mantiki kuzingatia kwamba Nani amekuwa inconsitent kwenye uchezaji wake.

Pia Man Utd kuwanunua Kagawa na Van Persie ndio kumemuengua kabisa Nani kiasi cha kuachwa hata katika wale wachezaji 18 waliotayarishwa kwa mechi na Fulham.

Ila Nani alicheza mechi na Fulham ambayo hakufurukuta kabisa na alicheza kwasababu tu namba 7 haikuwa na mtu kwani Valencia ilibidi acheze kama beki wa kulia.

Kwahio mazungumzo ya kurekebisha mkataba yakigota, basi Zenit St Petersburg wapo tayari kumnunua ingawa haitakuwa kwa beoi chee na anaweza kuuzwa Ijumaa usiku.

Sasa mkuu unafahamu haya?
 
Mkuu mbona upo hapohapo OT na unashindwa kupata habari?

Luis Nani anataka aongezwe mshahara unaofikia ule wa Wayne Rooney ambae analipwa kwenye 200000K kwa wiki, na mzee Ferguson haoni kama kuna mantiki kuzingatia kwamba Nani amekuwa inconsitent kwenye uchezaji wake.

Pia Man Utd kuwanunua Kagawa na Van Persie ndio kumemuengua kabisa Nani kiasi cha kuachwa hata katika wale wachezaji 18 waliotayarishwa kwa mechi na Fulham.

Ila Nani alicheza mechi na Fulham ambayo hakufurukuta kabisa na alicheza kwasababu tu namba 7 haikuwa na mtu kwani Valencia ilibidi acheze kama beki wa kulia.

Kwahio mazungumzo ya kurekebisha mkataba yakigota, basi Zenit St Petersburg wapo tayari kumnunua ingawa haitakuwa kwa beoi chee na anaweza kuuzwa Ijumaa usiku.

Sasa mkuu unafahamu haya?

Hayo yote nayajua...Nani na ashley young wote hawaka consistent...Nani alipewa chance akachemsha..akapewa young juzi, na nani hawezi taka hela nyingi wakati mpira hajui...sasa hivi yenyewe rooney game lake lilivyo sio mtu wa kupewa pound laki mbili kwa wiki...we jiulize kwanini babu alimnunua RVP wakati kuna rooney wellbeck berba na chicha...mzee alishajua rooney game lake ndio bye bye akatafuta replacement...babu very clever usicheze nae..mara nyingi anajuaga wakati wa kumuuza mchezaji hata akiwa bado yuko kwenye prime
 
Sema naona tumeuza uza mpaka tunawakatisha moyo waliobaki.

Muhimu hapa kununua tu ,siku zimebaki chache na naona wakina Ben,Chamakh,park,arshavin bado wapo tu hatujawauza
 
Yule mwanariadha walcot hata mie nawaunga mkono uzilia mbali uko, si mna ashaviuno bana? Atakava nafasi yake.
Safar hii kuna kila dalil top ten ikawa historia kwenu. Yangu macho

Mawakala ndio wanaharibu wachezaji na Walcott hawezi kulipwa 100,000K kwa wiki wakati Podolski na Giroud wanalipwa si chini ya 80,000K kwa wiki.

Ikiwa Walcott atalipwa hizo 100,000K basi Arsenal itabidi wavunje mfumo wa ulipaji mishahara na wawalipe wachezaji wengi kiasi hichohicho kama vile Thomas Vermaelen, Jack Wilshere, Laurent Koscielny, Alex Oxlade-Chamberlain, Wojciech Szczesny ambao nao watadai nyongeza.

Mimi simlaumu Walcott kuhus yeye kudai hizo 100,000 ambapo atalingana na wachezaji wenzake ambao wanachezea England, lakini kwa lipi jipya analofanya uwanjani?

Kwahio ikifika Ijumaa na bado hajatoa uamuzi basi anauzwa na Arsenal itapata si chini ya milini 15. Kuna maeneo mawili ya Walcott kuweza kwenda kuchezea Liverpool ambayo ni timu itakayompa nafasi ya kucheza kwenye first 11 ingawa Liverpool haichezi Champions League na atalipwa hizo 100,000K kwa wiki, ingawa Liverpool haijacheza champions league kwa misimu miwili na Arsenal imecheza kwa miaka 16 mfululizo.

Akienda Man City hatapata pia atalipwa hizo 100,000K kwa wiki lakini atakaa benchi kwani pale kuna wachezaji wa kutosha kila idara wakati akiwa Arsenal ataanza kila mechi.

Akiondoka kwa sasa basi Alex Oxlade-Chamberlain anachukua nafasi, kwahio haionekani kama kutakuwa na tatizo la cover.
 
Walcott akiuzwa poa. Namba yake apewe Chamberlain na tusajili defensive midfielder na beki wa kulia.

Mkuu OXlade, umeonyesha kipaji kikubwa cha uchezaji unayo vision, huogopi kupenya defence na unauja kupiga chenga za maudhi.

Mimi nakupa support kabisa na hata kwenye timu ya England Roy Hodgson ameona hilo na sasa anapendelea OX acheze pamoja na James Milner na Ashley Young badala ya Walcott ambae hukaa benchi.


Wenger message to Theo: "Theo, one more thing you need to remember, you are not irreplaceable -you know?
 
Sema naona tumeuza uza mpaka tunawakatisha moyo waliobaki.

Muhimu hapa kununua tu ,siku zimebaki chache na naona wakina Ben,Chamakh,park,arshavin bado wapo tu hatujawauza

Always kuna "contingency plans" bado kuna Lukas Podolski, Gervinho, Alex Oxlade-Chamberlain na Andrey Arshavin wote wanaweza kucheza namba saba. Halafu kuna dogo mmoja anitwa Serge Gnabry ambae ni mjerumani na kama Walcott atauzwa basi huyu ndie atapandishwa kuchezea firts 11.

Halafu pia tuna dogo kutoka Brazil Wellington da Silva ambae anacheza Ponferradina kule Portugal kwa mkopo pale na Ryo Miyaichi ambae yupo Bolton ambao wanaweza kuja kuziba nafasi.

Ila Chamakh ajiandae kucheza Capital One Cup.

Lol
 
Always kuna "contingency plans" bado kuna Lukas Podolski, Gervinho, Alex Oxlade-Chamberlain na Andrey Arshavin wote wanaweza kucheza namba saba. Halafu kuna dogo mmoja anitwa Serge Gnabry ambae ni mjerumani na kama Walcott atauzwa basi huyu ndie atapandishwa kuchezea firts 11.

Halafu pia tuna dogo kutoka Brazil Wellington da Silva ambae anacheza Ponferradina kule Portugal kwa mkopo pale na Ryo Miyaichi ambae yupo Bolton ambao wanaweza kuja kuziba nafasi.

Ila Chamakh ajiandae kucheza Capital One Cup.

Lol
Sawa sawa mkuu.

Hao wakuuzwa tu wafungue nafasi kwa wengine manake siku zinaenda.

Tuko pamoja, endelea kutupa habari za jikoni mkuu.
 
sizitaki mbichi hizi sio? Kila player anayeondoka arsenal mnamsagia Alex song, RVP na sasa THEO hao wengine akina podolski mnawatayarishia akina man city mwakani wanawabeba alafu utamsagia pia na yeye...POOL OLD ARSENAL..Nani tumegoma kumpa contract na mbona hatishii kuondoka? tuna ashley young na valencia so hata juzi babu fergie kasema mchezaji ambae hayuko happy mlango uko wazi..mambo ya kubembelezana ya zamani...

Frankly speaking from my heart huyu dogo,diaby na Djorou sijawahi kuwakubali na sioni kama ana Lolote jipya la kunishawishi nimtetee aende Tena anachelewa! Kwa RVP kweli tumepoteza mchezaji also Song...ni kama Leo Man utd wamuuze Carrick,Anderson na hata Chicharito sioni kama kutakuwa na Effect yoyote atakayoiacha..

Naipenda hii Falsafa ondoa Generation yote ya akina Cesc,na wenzake tuanzie na Matured players...Kama kuna Shabiki analaumu dogo kuuzwa atakuwa Hajielewi...HAKUNA CHA SIZITAKI mbichi tunataka Fighters sio wauza Sura pale kwenye Pitch...timu yetu iondokane na Youth Project hazina TIJA....
 
Mkuu OXlade, umeonyesha kipaji kikubwa cha uchezaji unayo vision, huogopi kupenya defence na unauja kupiga chenga za maudhi.

Mimi nakupa support kabisa na hata kwenye timu ya England Roy Hodgson ameona hilo na sasa anapendelea OX acheze pamoja na James Milner na Ashley Young badala ya Walcott ambae hukaa benchi.


Wenger message to Theo: "Theo, one more thing you need to remember, you are not irreplaceable -you know?

Mawakala wanawadanganya sana hawa vijana...haya aende kwingine kama Hatujamsahau...
 
Bomu lingine hili,hawa wachezaji wanamuongezea presha Mr. Bean haiwezekani kila mtu akibakiza mwaka anagoma kuongeza mkataba



Will the last goon out the Emirates Titanic please turn off the lights?
 
Back
Top Bottom