Bora huku Washika bunduki mna uhai na timu yenu kucheza vizuri, kule bwawa la maini bwawa limechafuka na maini naona yanaoza yote kuwa na michezaji kama Downing grrrrrr na Borini mtambo mwengine player ni Allen tu na asipokuja Dempsey basi nafasi ya 10 au daraja la kwanza mashetani ndio mshawauzia ubingwa ila ligi haitabiriki hii sio SPL au La Liga.