Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na mechi sita ambazo Totenham watacheza kuna mechi na timu kama tatu hivi ambazo zinachungulia championship.

Kwahio wana kazi kweli ya kuhakikisha wanashinda mechi hizo.

Hata hivyo boss wao Redknap amefanya makosa kusajili wachezaji ambao wapo chini ya viwango, na matokeo yake yanaonekana.
 
Itabidi masheitwan watugawie robo ya kombe la EPL, tumewabeba sana leo,robo nyingine wawape marefa wanaowabeba.

Kumbuka hata sisi tuliwabeba baada ya kuwapiga zile goli 8,Mr Bean akawanunua kina Arteta
 
Kumbuka hata sisi tuliwabeba baada ya kuwapiga zile goli 8,Mr Bean akawanunua kina Arteta

hahahaha.... kweli mkuu kile kipigo kilimpa wenger fahamu.. msimu ujao tutalipiza... kwani gooners itakuwa full
 
Samahani,nimepotelewa na ndugu yangu mmoja anaitwa shedafa,sijui anapatikana mkahawa upi?
 
319868_10150740185389406_811639405_9125383_1702933024_n.jpg
matunda ya san sebastian ndani ya jimbo la kujitegemea la basque country nchini spain,spain ni kipaji wapo wengi tu aspain vipaji bado hawajatangazwa kuna santi cazorla,jesus navas gonzalez,javi martinez,fernando tores llorente,xabier prieto,alfredo negredo na hata mario gomez gacia wa bayen munich super mario ni spain asilia tunamtoa lakini!
 
Mida flani panahusika sana hapa.. Tupo pamojah!.... Babu aifanye makosa tuliyofanya na qpr...!!


Pamoja na RAMSEY ku waste ile chance dhidi ya Man City leo ndo anaanza mbele ya inform Rosicky... AW ndo atazingua game ya leo...
 
Wakuu ushindi wa leo ni mhimu sana kwetu kwani tukiongoza point 5 against Spurs,Newcastle na Chelsea tutakuwa tumejiweka mahala pazuri pa kubaki hapo tulipo kwa sasa, na mechi zilizobaki itakuwa ngumu kushinda zote.
 
Duh Nasri na Piers Morgan wamenifurahisha sana kwa majibizano yao kwenye tweeter,

That fact was not lost on Arsenal fans when it came to former hero Nasri, who irked his loyal following at a press conference when joining City. Whilst insisting that his move was not about money, Nasri stated that he would have more chance of winning trophies at Eastlands.

Abarrage of reminders on Twitter about the France international's empty trophy cabinet eventually drew a response by Nasri, who decided to remind Arsenal that they are a distance behind City in the league table.


"I'm aware what I said about titles," Nasri said on Twitter. "I'm sure I will lift a trophy with Man City before AFC.

"And to all the Arsenal fans, move on. City are 10 points ahead of you. Just support your team and forget about me."

Nasri then had his bluff called after the suggestion that City will lift some silverware before Arsenal, with celebrity Gunners fan Piers Morgan challenging the Frenchman to stump up £10,000 for charity if he is wrong.
 
Pamoja na RAMSEY ku waste ile chance dhidi ya Man City leo ndo anaanza mbele ya inform Rosicky... AW ndo atazingua game ya leo...
Sijui kwanini babu anampenda hivi huyu mtoto..
 
Wolverhampton: Hennessey, Zubar, Stearman, Bassong, Ward, Kightly, Henry, Davis, Jarvis, Edwards, Doyle. Subs: De Vries, Ebanks-Blake, Fletcher, Johnson, Berra, Milijas, Forde.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Djourou, Vermaelen, Andre Santos, Arteta, Song, Walcott, Ramsey, Benayoun, van Persie. Subs: Fabianski, Rosicky, Park, Oxlade-Chamberlain, Squillaci, Jenkinson, Chamakh.
Referee: Neil Swarbrick (Lancashire)

Kwa nini AW hamuanzishi OX???? Hana marudio ya mechi alizoanza huyu Dogo???
 
kikosi hakijatulia mbona... wenger anadhani ni Carling cup nini..? dah.. hebu tucheki lakini
Kila siku wenger anajaribu combination, leo naona anataka ajue kama ramsey anaweza kucheza na benayoun. Mechi ijayo anampambanisha diaby na Ramsey...
 
Walcott hakuutegemea ule mpira??? Naona ile cross ya RVP imepita mbele yake kabisa...
 
Kila siku wenger anajaribu combination, leo naona anataka ajue kama ramsey anaweza kucheza na benayoun. Mechi ijayo anampambanisha diaby na Ramsey...


Ndo Usengerema wake huu huu utakao tukosesha point....Team gani inakua haina first 11...
 
mhhh so far anahitahidi Ramsey... Mugabe yupo mahututi .. aombe jamaa asichungulie nyavu.. hahahaw
 
Back
Top Bottom