+255 686 400 088Guys naomba link au namba wa admin wa group la arsenal
+255 654 862 245Guys naomba link au namba wa admin wa group la arsenal
Plz naomba niunge kwa namba 0717 550291+255 686 400 088
Watafute hao niliokupa namba, mm sio adminPlz naomba niunge kwa namba 0717 550291
Inainesha humjui vzr mbappe,au umemwangalia game hazizid 2Ni uendawazimu kumnunua Mbappe 95ml,,kwa kipi haswa?
Tatizo sio simjui,au nimeangalia game 2,hana hadhi ya hela hyo asilani,,wanampamba tu,wacgezaji wa kuvuma msimu mmoja kisa kaghara aaaaah sio kwel,,,huyu haingii hata nusu kwa Emerick Aubomeyang,,haingii hata robo lukaku wa everton,wala sijamtaja Keane maana nitakua naaibisha mpira.. Ana kipaji ila sio kwa hela hyo,naona wafaransa wanataka wachezaji wao wawe ghali tu dunian,ndio walichobakisha hawa,,jmesahau Payet walisema ni £60ml,,haya yupo wap?? Kisa tu aling'ara kwa msimu mmoja bhaaas,,. Wenger akimnunua kwa gharama hzo nitamdharau saana,kuna watu wanakupa goli30+ kila msimu na hawajafika hela hzo za kiuwendawazimuInainesha humjui vzr mbappe,au umemwangalia game hazizid 2
Mbappe ana deserve kwa hiyo helaTatizo sio simjui,au nimeangalia game 2,hana hadhi ya hela hyo asilani,,wanampamba tu,wacgezaji wa kuvuma msimu mmoja kisa kaghara aaaaah sio kwel,,,huyu haingii hata nusu kwa Emerick Aubomeyang,,haingii hata robo lukaku wa everton,wala sijamtaja Keane maana nitakua naaibisha mpira.. Ana kipaji ila sio kwa hela hyo,naona wafaransa wanataka wachezaji wao wawe ghali tu dunian,ndio walichobakisha hawa,,jmesahau Payet walisema ni £60ml,,haya yupo wap?? Kisa tu aling'ara kwa msimu mmoja bhaaas,,. Wenger akimnunua kwa gharama hzo nitamdharau saana,kuna watu wanakupa goli30+ kila msimu na hawajafika hela hzo za kiuwendawazimu
Hata ramos beki bora amejifunga mengi tulabda kisiki cha kujifunga.
Kila timu aliyofundisha Tony Adams kachemka,ukitaka timu yako ifanikiwe msikilze Tony Adams halafu mpuuzeLabda kweli babu ataumbuka, ila tuseme AW hakupewa mkataba ingekuwaje?! Makocha/Mameneja wa uhakika wote wako kwenye mikataba, alitaka tukae bila kocha/meneja?!
Yote wivu tu, yeye alitegemea angepewa nafasi pale, AW alimpiga chini, wanadai alimwambia ajifunze kwanza ukocha, akiiva poa, sasa yeye ka mind, yawezekana pia ni swala la Tony Adams kuuza kitabu chake, ambacho sidhani hata kama kimepata soko kihivyo, mambo ya Yesu na Yuda kwenye hili...TA hana shukrani kabisa...
Amefanya hiv kwa misimu mingap? Tutamwona na msimu huu,,yaan siwez mfananisha hata na lacazatte maana jamaa anapiga goli20+ every season..Mbappe ana deserve kwa hiyo hela
Umri wake mdogo sana,
Ana skills
Ana nguvu za kupambana na beki yoyote yule(pamoja na umri wake)
Ana mbio
Ana chenga pia
Anajua kufunga katika mazingira yoyote yale
USIMFANANISHE MBAPPE NA LUKAKU
labda kane ,
Yaani mbappe ile ni habar nyingine ,
Nakubaliana na wewe, his price tag is overrated. Kacheza msimu mmoja tu bado hajawa na experience n ni mdogo pia. Ndio maana Wenger akashauri dogo atafute timu ambayo atakuwa na uhakika wa kucheza, otherwise kwa price tag hiyo he's overrated.Ni uendawazimu kumnunua Mbappe 95ml,,kwa kipi haswa?
Hata ramos beki bora amejifunga mengi tu
Sasa sijui unaongelea nini
Si umebase kujifunga own goalsasa huyo unamfananisha na ramos??
labda mfananishe na skrtel yule aliyekuaga liva ........