MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
6Kwasababu wewe umeolewa basi unafikiri wote ni kama wewe pole sana mamdogo.
6
6
6
6
6
6
6
6
6
6Kwasababu wewe umeolewa basi unafikiri wote ni kama wewe pole sana mamdogo.
Dogo acha kelele weweeeeeeeNamuona Fabregas akienda kujipatia medal yake ya 2 ya epl uku arsenal mkiendelea kufurahia kumaliza league juu ya Spurs na Man United
Dogo acha kelele weweeeeeee
Wanaume wa Arsenal wanapojadili mambo kaa mbali
Muanze kuandaa vipeperushi vya wenger out february inakuja.Dogo acha kelele weweeeeeee
Wanaume wa Arsenal wanapojadili mambo kaa mbali
Muanze kuandaa vipeperushi vya wenger out february inakuja.
Ikipita February wanatakuja na March Wenger out ,,,,ha ha ha ha naona wengi waliombea arsenal apoteze Ila mungu sio wenu tu hata sisi tuna mungu piaMlisema Novemba mkatabiri Desemba naona u-sheikh Yahya umehamia Feb haaaa haaaa vumilieni tu ndo HAKI ilivyo inachoma choma ila hakuna namna.
Mlisema Novemba mkatabiri Desemba naona u-sheikh Yahya umehamia Feb haaaa haaaa vumilieni tu ndo HAKI ilivyo inachoma choma ila hakuna namna.
View attachment 462914
Mwisho wa league ndio tutajua mbivu na mbichi.
Na Pale Prof Wenger Atakapojiongezea Miaka Mingine Ya Kutosha Ya Kuendelea Kuwapa Maumivu.
Me sina tatizo mzee labda kwenu maana kusema tu fabregas anaenda kuchukua medal yake ya 2 mmekuja mmekuja juu kwelikweli sina presha na timu yangu kama ilivyo kwenu naomba tuishie hapa kwa leo na karibu mtori.Tatizo ni hasa maana hauleweki chief...?rudia tena ni mwezi feb au mwisho wa ligi,ni Arsenal au AW nini hasa tatizo ambalo unatamani kuliongelea?
Naona umekosa kabisa jambo la kupunguza stress za w'end iliyopita kila ukikumbuka tumesepa na kijiji bila kutarajia.
Hivi namba 6 unapata wapi jeuri ya kujinasibu. Baada ya SAF (salute kwake) Manyua hawawezi kiwa wale tena. Mzimu wake ni mkubwa sana na utaendelea kuitafuna. Wa kuiokoa team kwa sasa sio MOU wala ndugu yake nani bali Wale waliopata mafanikio chini ya SAF hapo namzungumzia mtu Kama Gigs ambae anajua kushinda kwa utamaduni wa Manyua na sio Mou.20
20
20
sawa bingwaHivi namba 6 unapata wapi jeuri ya kujinasibu. Baada ya SAF (salute kwake) Manyua hawawezi kiwa wale tena. Mzimu wake ni mkubwa sana na utaendelea kuitafuna. Wa kuiokoa team kwa sasa sio MOU wala ndugu yake nani bali Wale waliopata mafanikio chini ya SAF hapo namzungumzia mtu Kama Gigs ambae anajua kushinda kwa utamaduni wa Manyua na sio Mou.
Mungiki brothers walikua wamejiandaa kuja kuweka kambi hapa jukwaani ila kwa sasa wameishia kua NDUGU WATAZAMAJI wanaugulia maumivu.
Pole mkuu. Najua unajuta kwa hii post yako eeeCome on Hull City!
Ivi walitoka ngapi ngapi vileNina imani ikienda half time hivi hawa watoto watakuwa na uhakika wa kutoa droo au kushinda
Ucijali coq atakwepoToo bad! Tunamkosa Xhaka game na chelsick!!