Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Am happy for yesterday, game niliicheki nilishindwa tu kuungana nanyi live hapa wapendwa.
Kama sio yale makosa tuliyoyafanya ktk mechi zile 3 juzikati hapo huenda leo tungekuwa tunaongea mengine.
Sio case...will forever and always be a Gooner
[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]

 
Khe kheeeeeee kheeeeeeee 3 points in our basket🙂🙂🙂Aisee jamaa walipopewa penalty nilishikwa na donge ile mbaya lakini dakika chache baadaye mambo yakawa mambo Gunners 2 wao 1.

Refa Andre Mariner kawapa points 3 muhimu leo
Mnacheza sana na marefa siku hizi
Ehehehehe BAK
 
Swahiba mbona nyatunyatu sana tumepoteana hapa jukwaani na kwako siku hizi haukai,heri lakini.
Ni kheri kaka mungu mwema, mi nipo ila muda mwingi nakua nje ya mji so network linakua tatizo,

Hongereni naona Mr bean nae kaona umuhimu wa envelope kaanza kuzitumia hahaaaaaaa 98+ penalty. (Joking)
 
Arsene Wenger's best push for the title in 13 years.

1485272054441.jpg
 
Back
Top Bottom