Ariel Sharon is dead!

Ariel Sharon is dead!

Status
Not open for further replies.
Huku duniani alikuwa MBABE wa waPalestina huko anako kwenda ataendelea kuwa MBABE wa hao wapalestina alio wafanyanyia huo UBABE? Sidhani huko kuna MBABE wa WABABE asie na mfano asie muogopa kiumbe yeyote yule.
ndo manaake
 
Alipoteza fahamu tangu mwaka 2006. Aisee kuna watu wana roho ngumu kutoka!!!!!!
 
Pumzika kamanda!

Huyu General nadhani ataenda kukutana na Yasser Arafat na kukumbushana jisnsi Gen. Sharon alivyomtimua Yasser na PLO yake kule Lebanon! Huyu ni miongoni mwa Ma General ambao nilikuwa nawapenda katika uso huu wa Dunia. Mwendo wake ulikuwa ukidhihirisha kwamba kweli ni Army General.

 
Leo ndo wameamua kuzima ile life support mashine ya huyu muuwaji mkubwa,m/mungu amlaze anapostahili.
 
Muuaji mkuu wa wapalestina wasiokuwa na hatia apokelewe jahamu kwa shangwe na mdundiko
 
nategemea kusikia chochote behind his death frm conspiracy theorist
 
Mungu aiweke roho yake sehemu panapostahili alishakufa muda mrefu toka 2006 huyu muuaji.
 
R.I.P....Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon!
 
Conspirated death!! jamaa kafa 7 years ago af mnalazimishwa kumwombolezea leo!! THE ROTTEN WORLD!

you need to revisit the definition of death, na kama angekuwa amekufa toka kipindi hicho basi angekuwa amekwisha oza saa hizi. Lakini alikuwa hai ingawa alikuwa anasaidiwa na machines kwenye kupumua! Na ipo mifano ya watu waliowahi kuamka froma coma!
 
Rabbi yithack kaduri alitabiri kuwa mda mfupi baada ya sharon kufariki,masiha anaesubiriwa na wayahudi atakuja kuja kuliongoza taifa la israel.
 
Huyu ndie aliyemuua yule sheikh mlemavu Yassin muasisi wa Hamas, huyu ndie muuaji wa Yasser Arafat. Ameionja joto ya mateso hapahapa duniani.

Mola ampokee panapomstahili, maana aliamuru mpaka misikiti mitakatifu kuingiliwa na askari wake wakiwa na viatu.

Nakumbuka jinsi alivyoibomoa ikulu ya Arafat na kutaka kumuua, walifaulu kumuua kwa sumu hauati Arafat huku chief negotiator wa Palestine Saeb Erakat akipaza kelele nyingi juu ya uonevu wanaopewa na Israel ya Sharon ambapo Marekani ya Bush jr na Collin Powel wakiitazama tu hali hiyo.

Kwa Israel, ni Yitzhak Rabbin pekee ndie alikuwa muungwana akifuatiwa kwa mbali na Shimon Peres rais wa sasa wa Israel.

Pumzika unapostahili ewe Ariel Sharon, coma ya miaka takriban nane si mchezo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom