Aren't: Nchimbi be careful

VP anaweza mgeuka nani na Kwa jukumu gani alilonalo?
 
Nchimbi anawinda Urais kwani katiba ya Tanzania itampa Urais pindi Utabiri wa Sheikh Yahya ukitimia mama kuwekwa Bench yeye kuwa Rais ndipo kesi nyingi mfululizo za ufisadi zitafunguliwa ili kuisafisha ccm, watu wengi watafungwa Nchimbi akiwa Rais
Mtasogeza sana tarehe
 
shida yangu mimi ni matumizi ya Aren't maana yake nini? elimu haina mwisho
Hiyo isikutishe, hata aliye itumia hapo kachafua. Haitumiki hivyo.
La muhimu elewa tu mada inalenga kuelezea nini katika hayo maneno unayo yajuwa.
 
Mwamba ngozi tu.

Hiyo haki Sio kila anayeitamka anamaanisha.

Bahati nzuri unaelewa.

Maigizo ni sehemu ya maisha.
 
Law of the Universe !
WHAT GOES AROUND COMES AROUND !
Karma is for real 😳 !
Ngoja Tusubiri tuone 😳🤷🏿‍♂️🙌 !
 
Walimuweka kwa kuhofia influence na power kwenye chama ila hawamuoni kama mwenzao.Nch.analifahamu hilo!.
 
Hivi watanganyika wote sisi tunamshindwa mtoto wa Mama na huyo Rostam?
Kweli? Inawezekanaje wao wakawa na uwezo wa kututeka na sisi tusiweze kuwateka.
Kero zote hizo zingeisha ghafla kama huyo Kijana angetekwa.
 
Wana mtandao wa watu wengi, Simbachawene vipi hafiti nafasi ya Vp au Mp?
 
Yaani nyie kila siku ni chokochoko TU..mkitoka huku mnahamia kule mnarudi huku ilimradi nchi isitàwalike..nchimbi ni msaidizi wa mama mpaka 2030 then nae ataanza 2030 mpaka 2040
Kwani Historia Huwa inafutika? tunachojua ni shida ya Madina na Rome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…