Are you married to your soulmate or dated one: Hugh Heffner

Are you married to your soulmate or dated one: Hugh Heffner

Juzi kati nimekutana na demu mkali nikadhani nimempata soulmate kumbe holaa! Hawa dawa yao ni ku hit and run.
 
In Tanzania stalker mwisho wake inakuwaje ?
Hamna kesi mtaishia kutukanana tu mkichoka kila mtu anapita alolo.

Wabongo wengi waoga kureport police. Hii ni kwasababu law enforcement bodies za kibongo nazo ni magumashi. Unaweza kupeleka kesi kituo cha polisi ukaishia kulala sero wewe. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hamna kesi mtaishia kutukanana tu mkichoka kila mtu anapita alolo.

Wabongo wengi waoga kureport police. Hii ni kwasababu law enforcement bodies za kibongo nazo ni magumashi. Unaweza kupeleka kesi kituo cha polisi ukaishia kulala sero wewe. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakuna kulipana kisasi ?
 
Still got hopes .......
One day i will meet my everything ,the love of my life .
 
Hamna kesi mtaishia kutukanana tu mkichoka kila mtu anapita alolo.

Wabongo wengi waoga kureport police. Hii ni kwasababu law enforcement bodies za kibongo nazo ni magumashi. Unaweza kupeleka kesi kituo cha polisi ukaishia kulala sero wewe. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bongo stalking Ni mapenzi yasiyokuwa na macho .Oh alinichungulia or kapiga simu kakata or nilikutana nae kibahati mbaya or nilienda club ghafla nageuka akatokea .Hilo sio penzi Ni psycho.Au wengine wanasema kafika Huyo
 
Eeeeh Mungu jalia namim nimpate huyu soul mate soon... Maana nishakutana na soul killers kibao
 
nokia me nakunyapia nyapia kumbe ushaoa jamani,si ulinambia umezalisha tu

Mm nlishaoa toka 2009 na mtt ninae toka 2010 bahati mbaya tu mama yake sipo nae tena



Ww miaka yote hiyo kama ulikuwa unataka kunipa papa sasa hivi mtt angekuwa anatambaa,nmeckia umepata jamaa humu hata kukomenti unashindwa
 
Mm nlishaoa toka 2009 na mtt ninae toka 2010 bahati mbaya tu mama yake sipo nae tena



Ww miaka yote hiyo kama ulikuwa unataka kunipa papa sasa hivi mtt angekuwa anatambaa,nmeckia umepata jamaa humu hata kukomenti unashindwa
[emoji1][emoji1][emoji1]hamna buana....ni vile tu majukumu yananiandama
 
Bongo stalking Ni mapenzi yasiyokuwa na macho .Oh alinichungulia or kapiga simu kakata or nilikutana nae kibahati mbaya or nilienda club ghafla nageuka akatokea .Hilo sio penzi Ni psycho.Au wengine wanasema kafika Huyo
Kafika maana yake nini aunt ?
 
Back
Top Bottom