- Thread starter
- #21
Soulmate Hana umri,dini,Kabila ,rangiMkuu umeeleza vizuri sana na umenigusa, ila kwa mazingira ya wanawake wa Tz wanaowaza mfuko zaidi kuliko mapenzi ya kweli, mtu yuko radhi awe na soul mate mzee mwenye makinikia ya kutosha
Soulmate Hana umri,dini,Kabila ,rangiMkuu umeeleza vizuri sana na umenigusa, ila kwa mazingira ya wanawake wa Tz wanaowaza mfuko zaidi kuliko mapenzi ya kweli, mtu yuko radhi awe na soul mate mzee mwenye makinikia ya kutosha
congratulationNamshukuru Mungu kwa hilo.(Married to my soulmate)
your right.Love needs one being honest, trustful and love wholeheartedly! But you know, there are people who never lie, many do! Both men and women! Others, need the truth however, painful it might be! Now, a little lie spoils that state of soul mate! I hate lie in love, whatever the lie, not only 'wale wasiojulikana' 😛😛
hakuwa soulmate wako.asingekuacha.inanipa wakati mgumu sana hii mambo...my soulmate has already taken...nilifanya ujinga flani hivi akaamua kumove on..nimejikuta kila nikijaribu kudate watu wengine najihisi kama siwapendi kwa dhati vile.
nilizingua mimihakuwa soulmate wako.asingekuacha.
I have met my soul mate at last.
basi pole .chukua tu yeyote usogeze siku kama huwezi ishi peke yako.nilizingua mimi
ndio hao ninaosema najikuta sina hata mapenzi nao ya dhati...hisia za my soulmate zinanizonga kila uchwao mpaka wakati mwingine huwa najisemea kama kuna maisha mengine baada ya haya ya hapa duniani basi ningependa Mungu anikutanishe nae tena nirekebishe nilipokoseaga.basi pole .chukua tu yeyote usogeze siku kama huwezi ishi peke yako.
HongeraI have met my soul mate at last.
Namshukuru Mungu kwa hilo.(Married to my soulmate)
Pole bht haiji Mara mbili ila kwako itakuja coz inakuumainanipa wakati mgumu sana hii mambo...my soulmate has already taken...nilifanya ujinga flani hivi akaamua kumove on..nimejikuta kila nikijaribu kudate watu wengine najihisi kama siwapendi kwa dhati vile.