Are you married to your soulmate or dated one: Hugh Heffner

Are you married to your soulmate or dated one: Hugh Heffner

Haaaaa mapenzi bhuana niliwekaga vigezo kibao mara nataka mke wangu awe vile awe hivi nimeshikwa sehem ambayo cjawah hata ota ndoto iyo
 
unaweza penda sanaa lakini isiwe soulmate, nilipenda sana dada mmoja shule ya msingi yeye akiwa la 7 mimi la 5, then nikiwa form one nikampenda sana dada mmoja na hao wote sikufanikiwa kuwa nao...ila ilipofika kidato cha nne ndio nikatokea kupenda mwanamke sema allinikubalia ila huyo mwanamke hapendeki jamani yaani bonge la psycho....anaweza kuwa na furaha sahivi ila baada ya dk 2 kabadilika yaani kiufupi hatabiriki sema ndo vile mapenzi upofu nikawa napotezea!

Nikaja kuachana nae kibabe....huezi amini sikutaka kuachana nae lakini nikajilazimisha na mbaya zaidi demu hata hakustuka!

Nashukuru Mungu Huenda sasa Nimepata soulmate maana kila kitu tunaendana.....Mpaka Najiuliza Muda wote alikuwa wapii
AHSANTE MWENYEZI MUNGU
 
we fight/argue every day over small and big thing, i cheat she took time like a week without talking to me but she forgives me, she is so jealous of me and i to her ,IS SHE MY SOULMATE/ARE WE SUOLMATES ???????????
 
Ulimkosea nini mkuu?
Sikumkosea kitu,we were so deep in love with eachother though i was in a dillema i wanted her to be mine for good ila on the mean time still alikuwa na jamaa yake wa kitambo anamu abuse sana ila its like alikuwa anaogopa kuachana nae.

I made a decision kama mwanaume kuwa nahitaji aachane na mchizi soon ili tuwe for real maana sina sababu nyingine ya kupenda zaidi ya navyompenda yeye. Nilikuwa naboreka sana ile we are in the middle of something jamaa yake anapiga simu kuwa anamfata, or anataka kujua yupo wapi kila saa huku yeye hana muda nae na ndio bingwa wa kumchit kila uchao.

Hapo nlikuwa nmetoka mtema demu wangu alienletea utoto nikampotezea then alipostuka sina time nae akahisi kuachwa akajirudi baada ya kuona nimejiweka pazuri zaidi,akakomaa sana nimsamehe and shit alijutia sana kosa lake.

Sikuwa tayari kumrudisha ila as time went nilianza muonea huruma she never cheated on me ila tu kosa kubwa alivyojua nampenda she started feeling herself sana akawa na pozi nyingi na makusudi so nikamnyoosha apate akili vizuri. Akafikia stage amekonda alitaka anywe sumu nikaona isiwe tabu asije kukufwa bure nilimpenda pia before hajaleta ufala.

Dillema ilikuja hapo nkawaza what if nikimove on nayeye still hataki muacha jamaa huko mbeleni sindio ntakuwa kama rebound. I just wanted her to stand for herself ili tuwe pamoja. It would hurt ila sio kesi nilikuwa ready for her comforting her kwa kila hali nilimpenda head over heels. Akawa anapiga chenga kuhusu hilo anataka time tu mwisho wa siku nikaamua mrudisha demu wangu niliomtema.

Well aliumia sana maana alikuwa ananipenda sana na alinipa kila kitu bila kuwaza and she was more good looking and romantic ila sikutaka kuwa rebound. Maybe hilo ndio kosa langu ila later alipata courage ya kuachana nae yule jamaa ndio sasa i was fighting for her love back ila hanielewi tena amechukia sana mapenzi.
 
Back
Top Bottom