Are you invited?

:amen::amen::amen::amen:
:violin::violin::violin::violin::majani7::majani7::majani7::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::whoo::whoo::whoo::msela::msela::msela:😛eace:😛eace:😛eace::hungry::hungry::hungry:

Tushamaliza kila kitu
...ngoja....:sleepy::sleepy::sleepy:
nitaamka November.
 

ma-antisocial pole zao naona washaingia kwenye kitabu cheusi cha MMU...watakuja na ID mpya au zile ambazo siyo active sana
 
Nimefurahi....ila mnipikie pilau la kuku ili nifurahi zaidi


Hebu wasiliana na chuma cha pua (bibi) aweke mambo sawa...?

Unakuja mwenyewe au ndo unatuletea habari njema....kwamba hatimaye mzigo umepata mmbebaji??

Kama si hivyo usubiri kwanza...lol!!
 
Hebu wasiliana na chuma cha pua (bibi) aweke mambo sawa...?

Unakuja mwenyewe au ndo unatuletea habari njema....kwamba hatimaye mzigo umepata mmbebaji??

Kama si hivyo usubiri kwanza...lol!!

Haaaaa babu jamani
Mzigo huu ukikosa mbebaji si lawama hii.
Nakuja na 2 in 1.
yote kwa yote.....
Nikifika huko bibi atanifunda zaidi
 
ma-antisocial pole zao naona washaingia kwenye kitabu cheusi cha MMU...watakuja na ID mpya au zile ambazo siyo active sana

Walaaaaa! Hata ID hio hio mtu AKIKUWA AKAJITAMBUA KUWA HUMU WOTE WATU WAZIMA ITS A FREE COUNTRY, HAMNA ANAEMPA KUNYA, WALA KULA HUMU, WATU TUMEKUTANA KIMJINI MJINI TUBADILISHANE MAWILI MATATU, KIUTU UZIMA ZAIDI HAINA NENOOOOOO KABISAAA ANARUDI KURUDI KUNDINI TU! Yaani policy ITS A FREE COUNTRY, UNAJITOA MWENYEWE KWA ATTITUDE ZAKO, NA UNAJIRUDISHA MWENYEWE KWA ATTITUDE YAKO! We believe in second chances!:A S 109::hug::hug:

Ila akikomaa na utoto utoto wake hapanaa aiseeee! TUNAMUWEKA MBALI NA WENZIE KABISAAAAAA!
 

Mhhhh yashakuwa ayo?

Mimi nilikuwa nanukuu tu comments za thread flani baada ya kigodoro cha escape, huu ujumbe wako naona kuna mtu unamhusu sema mnamgwaya ile mbaya kumpa live sababu hamumuwezi.

Btw kila la heri na kigodoro chenu,tusisikie tu kesi za kuiba glass za serena kwenye mapochi.
 
Last edited by a moderator:

Naona unatuvunjia heshima mkuu.Tuombe radhi bana......
 
nI PRIVATE PARTY NA MMU IMEWEKWA! Hoteli kubwa ile TUMEKODI UKUMBI AND WE RESERVE RIGHTS TO ADMISSION :cool2::cool2: We hotelini ingia tu si pesa yako bwanaa ila UKUMBINI SORRY STANDARDS ZIMEZINGATIWAAAA!
Mpaka sasa usajili uliobaki ni wa dirisha dogo........
Siamini kabisa kwamba tumevuka lengo kwa kiwango hiki.
 

Hahaaaaaa! Sio mtu! WATU! Huu ujumbe uwafikie watu wote WANAO ICHOKONOA HII PARTY! Na wala siwa gwayi chochote na na waweza sanaa, sema NIMEWAPOTEZEAAA TUU, they are not worth my efforts nor my attention! Nimewapa msimamo huo wakafie mbeleeeee!

Maneno yawepo yasiwepo mwakani party kama kawaidaaa! Yashasemwa mangapiii? Mdomo jumba la maneno achawakate kiu! Ukijiona mtu wa kusikiliza sikiliza majungu ujue wewe ndo una walakini kuji associate na LOOSERS, give them 2 days na wewe msikilizaji utakuwa kwenye MENU ya majungu! ITS ABOUT TIME PEOPLE SHOULD MIND THEIR BUSINESS!
 
Ukijiona mtu wa kusikiliza sikiliza majungu ujue wewe ndo una walakini kuji associate na LOOSERS, give them 2 days na wewe msikilizaji utakuwa kwenye MENU ya majungu! ITS ABOUT TIME PEOPLE SHOULD MIND THEIR BUSINESS!

Mimi sina walakini,ila napenda kusikiliza majungu sababu ya uswahili wangu mimi ni mswahili haswa, mtoto wa dog ukiniona km wakishua....na kujiassociate na losers ni kitu cha msingi, coz mie ni mtu wa kawaida sn so sichagui class ya kuinvolve nao....ndio maana admirer kama wewe nakuskliza pia.
 

mimi na majamaa zangu fulani kipindi cha ujana wetu tulikuwa tunalitumia sana hilo kwenye utambulisho wetu.......

tunafahamiana nini mkuu?
 
Whateveeeeeeerrrrrrrr! Maisha ni yako chaguo ni lako!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…