Ngoja nianze diet ya Garcinia Cambogia mie.....
Maana hii si ya kukosa.
.....ASA Aki-mention wote si page itajaa boss?
Usikonde....pengine kaku-mention kwenye uzi mwingine jeeeee
Unamuelewa vibaya tu, anaowataja waje lengo ni waje kuamsha amsha tu! Na ili akutaje it means anajua hutokosaaa kuja! Kama mimi ananitajaga nije nimkosoe mara nyingi kuchachua chachua thread! Wala hayupo unavomfikiria!Yeye angewa-tag tu bila kusema na "..wengineo" nani anataka kuwekwa daraja la pili?
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?
Unamuelewa vibaya tu, anaowataja waje lengo ni waje kuamsha amsha tu! Na ili akutaje it means anajua hutokosaaa kuja! Kama mimi ananitajaga nije nimkosoe mara nyingi kuchachua chachua thread! Wala hayupo unavomfikiria!
Madam. Nakuaminia mutu mukubwa wewe! NO BE SMALL SMALL PERSON, anhanhaaaaaaaaaaaaaaaa! MADAMME B! Chinekeeeeeeee! Heeeeeeeeeeey!
Hapana, huyo jamaa nimepitia thread zake nyingi tu, lazima uone, Paloma, Heaven on Earth, lara 1 miss chagga, mandera, christina ibrahim.... utadhani bila hao wengine hatuwezi kusoma na kuchangia!
Hahaha mdaiwa anaonekana anaperuzi na kudadisi nyuzi ila simu not richabo badala yake hasira inashushiwa kwenye uzi. Wakumbushe waende na vibao vimeandikwa mkopo amekufa. Hehehe penye wengi pana mengi ujuee??
Kama anajua hutokosa kuja kwanini akutaje? halafu thread zote majina ni yaleyale tu.
Basi itakuwa wake zake maana wote ni KE!!!!!
:sleepy::sleepy::sleepy:
Hahaaaahaaaaa! Jiwe limerushwa hadharani hapa na ndo nimelidakaaa! NASHUKURU KWA WEMA WA HII PARTY! We kaa ndani tu kama utumbo inahusuuuuu? Hahaaaa! TEAM WAFU ZIKENI WAFU WENU! Halooooo!
Kama anajua hutokosa kuja kwanini akutaje? halafu thread zote majina ni yaleyale tu.
Khaaa mkuu naona umempania baba wa watu
Hamna! jaribu ku-review his previous topic ujionee.
cc lara 1 aalikwe huyu nimemuombea tu usiwaze far
Hahaaaaaaaa!!!! Kweli mie sijui ulipo sio uongo, manake nikijitia najua utakuwa uongo! Tarehe ndo mpaka uwe INVITED tenaaa! Hahaaaaa! Offer jamani wewe si una mashosti kibao humuuu? Au ndo hawana vigezo vya hio ofa? Maana ungekuwa mgeni kweli, ila ndo hivo kama Vasco da gama mara upo mara haupo!lara 1 ungejua niliko usingesema niko ndani kama utumbo. Me nakuwa hapo kwa vipindi maalum tu baada ya hapo napotea...by the way hivi tukio ni tarehe ngapi vile?? natafuta mtu (wa jinsia ya kike) wa kumpa ofa ya dinner usiku huo. wanawake lazima tupendane bwana.
Mi akishawahi kuntaja siku moja mbona
Kwani siku zingine hakutaji?