Ardhi Mwanza haishikiki!

Mbona bei ndogo sana hiyo? Buswelu viwanja ndo bei bei kidogo,Kuna eneo panaitwa Sahwa Iko ktk kata ya Buhongwa Kuna mradi mkubwa wa maji na viwanja vyake vingi vimepimwa waweza kwenda ujionee unless labda itakuwa mbali na kazini kwako

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Hiv umefanya tathmini kweli hadi ukaja na malalamiko haya? 1.5M kwa 26 by 30 kwa miaka hii useme bei ni kubwa..!! Nikionacho hunadata juu ya mambo ya ardhi
 
Mwaka 2018 nilinunua sqm 340 Nyasaka centre kwa mil 8 kesho yake akaja mchaga akataka kwa 12mil nikachomoa uzuri palikuwa na vyumba 2 na sebule self full aluminium nikafanya marekebisho kidogo nikahamia umbali na barabara lami mita 70, barabara ya mtaa inapita nje kwangu kwakweli niliokota dodo kwenye muarobaini
 
Ila ni kiwanja kidogo sana, ingawa Nyaska sasa hivi naambiwa pa kishua sana.
 
Nchi nzima hapa bongo ughali wa Ardhi upo Arusha,hicho jamaa anachosema m 1.5 huko unapigwa m 10-15 na watu hawaulizi punguzo.Inayofuata nafikiri ni Kilimanjaro.Hizo sehemu nazipend ila siwezi jenga huko,gharama mnoooo???
Wakenya wananunua sana viwanja Arusha kupitia ma baa maid hawara zao

Wachaga pia wamehama Moshi wamehamia Arusha.Mchaga anaijua thamani ya Ardhi kuliko

Population kubwa ya wachaga haiko Moshi iko Arusha
 
Tena ni jirani na Bundesliga hapo ni kiwanja kidogo ila kina dhamani kubwa kutokana na mazingira kilipo
Kwa mtazamo wako, sasa hivi unadhani wapi panaweza kuwa "Nyasaka nyingine" ndani ya Mwanza watu wananunua huko?
 
Naomba kujua mji ambao unakuwa kwa haraka unaeza nunua km Mashamba,ukapima na baadae ukauza km viwanja ukapata faida kubwaa
 
Nauza kiwanja changu 790sqm kipo opp na nyanza sec eneo la nyakato mahinakina hati 10 mil maelewano kidogo yapo
 
Hicho kiwanja ni sqm 780 ni bei ya kutupa kabisa hiyo. Kama utokinunua ni PM namba ya muuzaji nimtaarifu jamaa yangu anichukulie nije kukiuza after 2 years kwa milioni 10

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kama hukuchukua utakuwa na majuto sana. Ila kama ulichukua pongezi kwako
 
Fundi ujenzi mzuri aliyeko mwanza atupie namba yake hapa tafadhali
 
Njoo nikuuzie kiwanja nyamongoro mkuuu kikubwa kizuri only 5m
 
Kuna vinja vinauzwa sangabuye manispaa ya ilemela karibu na kayenze vp wadau sio mbali na Mza mjini nataka ninunue gharama kuanzia 2M na kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…