Ardhi kuna mabinti wa kutosha...?

Ardhi kuna mabinti wa kutosha...?

jaman mm nmechaguliwa ardhi ila napata was was sana kama kweli kuna mademu wa kutosha maana nikiangalia hamna education,business administration,public administration wala hzo nyngne za arts kwa ambao mnakijua vzur hki chuo naomba ufafanuzi mm nachojua pekee kuhusu hki chuo kwamba kipo karibu na mlimani city...

Kumbe ni kitoto cha shule
 
jaman mm nmechaguliwa ardhi ila napata was was sana kama kweli kuna mademu wa kutosha maana nikiangalia hamna education,business administration,public administration wala hzo nyngne za arts kwa ambao mnakijua vzur hki chuo naomba ufafanuzi mm nachojua pekee kuhusu hki chuo kwamba kipo karibu na mlimani city...
unafuata kisomo au unafuata mademu
Fuata kisomo mengine Yana mda wake

Zé unique named bwoy
 
unafuata kisomo au unafuata mademu
Fuata kisomo mengine Yana mda wake

Zé unique named bwoy
Nshamaliza mkuu hii ilikua 2013 kuna kibibi tuu aliingia chimbo huko kufufua huu uzi kwa vile ana stress za kutoolewa na keshazeeka, nina degree sasa nipo mtaani naendeleza harakati za maisha
na sikufanikiwa hata Kupata hao mademu maisha yangu yote ya hapo chuoni.

Siku njema mkuu mungu akubaliki sana.
 
Nshamaliza mkuu hii ilikua 2013 kuna kibibi tuu aliingia chimbo huko kufufua huu uzi kwa vile ana stress za kutoolewa na keshazeeka, nina degree sasa nipo mtaani naendeleza harakati za maisha
na sikufanikiwa hata Kupata hao mademu maisha yangu yote ya hapo chuoni.

Siku njema mkuu mungu akubaliki sana.

Huu ni mrejesho aisee BIG UP JOMBA...

Utoto ulikuwa unakusumbua aisee sasa ushaelewa maisha yanataka nini?
 
Twende nakurudi mimi naona mkuu yupo sawa tuu maaana chuo Bila wa dada ni shida kwa kweli sawa najua kua nimeenda kusoma but kazi na Dawa bwana duuu upo sahihi mkuu njooo udsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom