Je we nyumbani kwenu kuna mabinti wa kutosha?,ukishindwa kujibu swali hilo muulize hata dada yakojaman mm nmechaguliwa ardhi ila napata was was sana kama kweli kuna mademu wa kutosha maana nikiangalia hamna education,business administration,public administration wala hzo nyngne za arts kwa ambao mnakijua vzur hki chuo naomba ufafanuzi mm nachojua pekee kuhusu hki chuo kwamba kipo karibu na mlimani city...