Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

Sema huu msimamo wenu ni mzuri sana, mkiwemo na nyinyi pia itawabadilisha kufanya mambo kiprofessional zaidi kama vile kuacha kupita geti lisilo rasmi ,kukubali logo ya mdhamini kama ilivyo, sababu TFF hapo walipo wana hasira na nyinyi kwa hiyo hawatakubali mambo yenu ya hovyo mnayofanya(ga).
kwani ukifanya hilo kisa adhabu si zipo
 
Yaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
Sawa People Mweusi 😂😂
 
sema nimeangalia facial expressions ya engineer akihojiwa ni kama anahasira hivi ama kanuna kiufupi nuru haikuwepo!, huenda kikao kilikuwa chamoto..😅
Lazima kimemuelemea chezeiya presdaa wa Tanzania weye.Hasa kwenye kikao chenye chembechembe za MITANO TENA lazima akae.
 
BAADAE TUTAAMBIWA MAMA NI MWANAMICHEZO KWELI KWELI. KATULETEA DABI YETU.halafu kwa sauti ya kichawa litatokea libaba huko litapaza sauti.MITANOOOOOO halafu nyumbu wa kitanzania wakijani na njano na nyumbu mfano watajibu kwa bashasha na sura zenye njaa TENAAAAAAAAAAAAAAAAAA.Kisha kwa umoja na ujuha wetu mashabiki wa yanga na Simba tutaanza kujadili,matokeo ya dabi kijuhajuha kama tulivyozoea.
 
Kuna pumba nyingine unaweza kumaliza kuzisoma ukaishia kucheka tu.
 
Anayepaswa kikanuni kutoa points 3 ameshawajibu kwenye barua yenu kuwa hilo haliwezekani kwa sababu hamna uhalali wa kikanuni wa kupewa hizo points 3.Suluhisho ni kwenda CAS,sasa nyie badala ya kusubiri barua ya maamuzi,kila siku mnatupugia kelele za "hatuchezi"
Amesha sema haiwezekani. Anasubiri nini kupanga tarehe ya match?
 
Unadhani kupanga tarehe ya mechi ni rahisi hivyo?Wameshasema bado wanapata ugumu wa kupanga tarehe ambayo siku hiyo hakuna mechi yoyote ya ligi,kumbuka Simba wanaiwalilisha nchi hiyo maslahi yao lazima yazingatiwe.Nyie subirini tarehe ya mechi mgomee kucheza,acheni kutupigia kelele za "hatuchezi"
Amesha sema haiwezekani. Anasubiri nini kupanga tarehe ya match?
 
Unadhani kupanga tarehe ya mechi ni rahisi hivyo?Wameshasema bado wanapata ugumu wa kupanga tarehe ambayo siku hiyo hakuna mechi yoyote ya ligi,kumbuka Simba wanaiwalilisha nchi hiyo maslahi yao lazima yazingatiwe.Nyie subirini tarehe ya mechi mgomee kucheza,acheni kutupigia kelele za "hatuchezi"
5imba anaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya akina mama
 
Yanga tukicheza tasfiri yake tumekubali kupangiwa na simba na watatuzingua sana
 
5imba anaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya akina mama
Mashindano ambayo Yanga ndiye mama mkubwa maana hadi leo ndio mafanikio wanayoringia baada ya kupata vidani vya akina mama badala ya kombe.Hiyo Yanga ni mama wakubwa
 
Mashindano ambayo Yanga ndiye mama mkubwa maana hadi leo ndio mafanikio wanayoringia baada ya kupata vidani vya akina mama badala ya kombe.Hiyo Yanga ni mama wakubwa
🤣😃🤣Huwezi kuwakilisha nchi Kwa mashindano ya akina mama huko mpo mnatia aibu taifa
Timu kubwa Zina cheza CAFCL na sio UMITASHUMITA yenu hayo ni mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda
 
🤣😃🤣Huwezi kuwakilisha nchi Kwa mashindano ya akina mama huko mpo mnatia aibu taifa
Timu kubwa Zina cheza CAFCL na sio UMITASHUMITA yenu hayo ni mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda
Na akina mama wakubwa ni Utopolo ambao walifika fainali ya akina mama na ndio mafanikio makubwa wanayotambia baada ya kupewa vidani vya akina mama badala ya kombe. Klabu Bingwa ambayo unayataja Simba keshafika nusu fainali,huko Utopolo walikaa miaka zaidi ya 25 bila kunusa makundi
 
Na akina mama wakubwa ni Utopolo ambao walifika fainali ya akina mama na ndio mafanikio makubwa wanayotambia baada ya kupewa vidani vya akina mama badala ya kombe. Klabu Bingwa ambayo unayataja Simba keshafika nusu fainali,huko Utopolo walikaa miaka zaidi ya 25 bila kunusa makundi
Sawa mwakilishi wa nchi kwenye mashindano ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
 
🤣😃🤣Huwezi kuwakilisha nchi Kwa mashindano ya akina mama huko mpo mnatia aibu taifa
Timu kubwa Zina cheza CAFCL na sio UMITASHUMITA yenu hayo ni mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda
Na akina mama wakubwa ni Utopolo ambao walifika fainali ya akina mama na ndio mafanikio makubwa wanayotambia baada ya kupewa vidani vya akina mama Klabu Bingwa ambayo unayataja Simba keshafika nusu fainali
Sawa mwakilishi wa nchi kwenye mashindano ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Ambayo mama mkubwa ni utopolo anayeringia vidani vya akina mama badala ya kombe,hiyo Klabu Bingwa Simba ndiye mwenye mafanikio makubwa kuliko timu yoyote nchini,
 
Na akina mama wakubwa ni Utopolo ambao walifika fainali ya akina mama na ndio mafanikio makubwa wanayotambia baada ya kupewa vidani vya akina mama Klabu Bingwa ambayo unayataja Simba keshafika nusu fainali

Ambayo mama mkubwa ni utopolo anayeringia vidani vya akina mama badala ya kombe,hiyo Klabu Bingwa Simba ndiye mwenye mafanikio makubwa kuliko timu yoyote nchini,
Kushiriki shirikisho ni aibu kubwa
 
Back
Top Bottom