Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

TFF wasiwe na ubabe wa kijinga ambao hauwezi saidia. Watafute meeting point na Yanga. Nadhani viongozi wa Bodi ya Ligi wakiachia ngazi Yanga watawashawishi wanachama na mashabiki na mechi itachezwa. TFF walishalemaa kufanya madudu na kukimbilia serikalini, safari hii inasemekana Rais hataki kusikia hayo mambo. Kama TFF na Bodi ya ligi wanadhani walikuwa sahihi kuahirisha mchezo basi vyombo vya kimpira ndiyo vitumike kutatua huu mgogoro badala ya kwenda serikalini
Uwajibikani ni kitu ma dictator hawakitaki wala hawataman kukitamka, Karia angevunja ile bodi na kamati zake za remote hii derby ingepigwa bila shida
 
Arafat Haji ndo makamu wa Rais wa Young Africans

Arafat Haji ni msomi haswa akiwa mtaalam wa uchumi na Tehama

Amepata Masters yake ya IT kutoka Conventry University

Arafat ni Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Nina Zanzibar na CEO wa PBZ bank, yaani ulisema connection serikalini au eti TFF watishie serikali anakaa anawacheka tu
Arafat Haji anashinda pale Kizimkazi anakula kiyoyozi uje umtishie na hao akina Karia na Kabudi


Arafat Alitoka kauli 1 baada ya Derby kuhairishwa Kwa HATUCHEZI

Viongozi wa bodi ya ligi na TFF wanahaha kila siku vikao, Leo walikuwa na professor wa jalalani Bado Arafat Haji alivofika akakataa

TFF wamemuomba Eng Hersi lakini akawajibu huyu Mzanzibar ashakataa yaani hataki kusikia habari za kurudia derby

Eng Hersi Said amemuomba Arafat Haji alegeze msimamo ila Arafat Haji amegoma na anasema HATUCHEZI

Arafat Haji ndo Mzanzibar wa kweli akisema NO harusi nyuma

Moto unawaka na Karia alivojibu pumba, Sasa ndo akaongeza petrol kwenye kifuu

Heko! Kwako Arafat Haji, kiongozi mahiri kutoka Zanzibar
Unaifia Yanga ukweli


HATUCHEZI

Yanga bingwa
Watoto mliosoma vyuo kariba ya Amazon College mna taabu sana, yaani unamlinganisha Prof Kabudi ambaye ni nguli wa sheria za katiba nchini na mwaka 2011 wakati UDSM inatimiza miaka 50 alitunikiwa tuzo kama mwanafunzi bora wa muda wote kwa kutwaa tuzo ya Outstanding GPA kwa kumiliki GPA ya 4.9,unamlinganisha na huyo shombe,angekuwa na connection kali si angeteuliwa mbunge kisha Waziri kama alivyofanyiwa Kabudi? Kuhusu connection kwenye mambo ya mpira Karia ni habari nyingine,yeye kunywa chai na Infantino ni kitu cha kawaida.Ndio maana rais wako ameungana na wengine kutaka apite bila kipingwa
 

Attachments

  • Screenshot_20250327-191352.png
    Screenshot_20250327-191352.png
    1.1 MB · Views: 12
Watoto mliosoma vyuo kariba ya Amazon College mna taabu sana, yaani unamlinganisha Prof Kabudi ambaye ni nguli wa sheria za katiba nchini na mwaka 2011 wakati UDSM inatimiza miaka 50 alitunikiwa tuzo kama mwanafunzi bora wa muda wote kwa kutwaa tuzo ya Outstanding GPA kwa kumiliki GPA ya 4.9,unamlinganisha na huyo shombe,angekuwa na connection kali si angeteuliwa mbunge kisha Waziri kama alivyofanyiwa Kabudi? Kuhusu connection kwenye mambo ya mpira Karia ni habari nyingine,yeye kunywa chai na Infantino ni kitu cha kawaida.Ndio maana rais wako ameungana na wengine kutaka apite bila kipingwa
Professor wa jalalani nae ni mtu wa kutambia
Ubunge na uwaziri Kuna watu wanavikataa hivo vyeo
 
Yaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
 
Yaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
Deni la Taifa limefika trillion 97.35
We mwenye akili Kaokoe jahazi
 
Yaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
Naunga mkono. Kuna upumbavu mwingi sana kwenye hivi vilabu viwili, bahati mbaya pia wanasiasa wanachangia sana
 
Back
Top Bottom