Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

Arafat Haji mtu chuma kweli kweli

Japo mpira wa kibongo umejaa upumbavu ila TFF ya Karia imejaa mavi kabisa.

Karia ni bonge moja la tatizo katika mpira wa nchi hii. Ni jitu moja lililojaa ubepari, visasi na misifa isiyokuwa na tija.
Simba, Bodi ya ligi na hilo Likaria ndiyo chanzo cha haya yote. Wale makomandoo/mabaunsa kuwazuia ilikuwa ni kisingizio tu.
 
SAUT MWANZA
Ungesoma UDSM miaka ile (bila kujali unasoma kozi gani)ukiingia unakutana na sifa zake,siasa ndio zinaharibu watu,huyo jamaa ni kichwa kweli,hata hiyo B+ aliipata ya Land Law ambayo mwalimu wake Prof Gamaliel Mgongo Fimbo huwa hatoi A,yaani angepata GPA ya 5.Hata huyo Arafat akiingia kwenye siasa utamkataa.Tunayo mifano ya akina Lipumba,Tibaijuka,Kighoma Malima,Mwakyembe ambao siasa zimefubaza umahiri wao.Kwa sasa ukimwondoa Prof Shivji na Chris Maina,hakuna nguli wa sheria za katiba anayemfikia Kabudi.
 

Attachments

  • Screenshot_20250327-203230.png
    Screenshot_20250327-203230.png
    1.2 MB · Views: 14
sema nimeangalia facial expressions ya engineer akihojiwa ni kama anahasira hivi ama kanuna kiufupi nuru haikuwepo!, huenda kikao kilikuwa chamoto..
Karia nae kawabwatukia waandishi huko "siongei na mtu" ...
 
Japo mpira wa kibongo umejaa upumbavu ila TFF ya Karia imejaa mavi kabisa.

Karia ni bonge moja la tatizo katika mpira wa nchi hii. Ni jitu moja lililojaa ubepari, visasi na misifa isiyokuwa na tija.
Watoto mnatukana wazee wenu sikuhizi
 
Ungesoma UDSM miaka ile (bila kujali unasoma kozi gani)ukiingia unakutana na sifa zake,siasa ndio zinaharibu watu,huyo jamaa ni kichwa kweli,hata hiyo B+ aliipata ya Land Law ambayo mwalimu wake Prof Gamaliel Mgongo Fimbo huwa hatoi A,yaani angepata GPA ya 5.Hata huyo Arafat akiingia kwenye siasa utamkataa.Tunayo mifano ya akina Lipumba,Tibaijuka,Kighoma Malima,Mwakyembe ambao siasa zimefubaza umahiri wao.Kwa sasa ukimwondoa Prof Shivji na Chris Maina,hakuna nguli wa sheria za katiba anayemfikia Kabudi.
Mkumbushe, akina Mwandosya na Kapuya,
 
Back
Top Bottom