KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
uje na cheti halisi cha form4 chenye muhuri wa mwanasheria mkuu wa serikali, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha nida na cha kupigia kura .
ukishachukua mkopo vyeti vyako utakuja kuvichukua baada ya rejesho la mwisho
Heh ivi wewe hapo unanikopesha bei gani ?

Tatizo no uno sijafika secondary
Tatizo no 2 sina hiya nida
Tatizo no 3 sina cheti cha kuzaliwa
 
Pia kumekuwa na taarifa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu baadhi ya apps hizi kutumia lugha za matusi, vitisho, kusambaza taarifa binafsi za wakopaji, na kuwasumbua ndugu pamoja na marafiki zao kupitia simu na ujumbe wa kudhalilisha.
Walipe madeni
 
Hawa mbwa wananidai mpaka sio poa.. Siku hizi hawapigi tena simu. Maana ilifika kipindi tukawa tunatukanana
Mm walishawah kunisamehe kabisa, kilitibuka kivumbi pamoja na matusi yao nikawaambia nikisikia au kuona sms ya tusi moja nakata buku. Mkijitia wehu mm mwehu zaidi yenu! Mkitaka kujua jaribuni. Nikalipa nusu nikapita vile.

Hao jamaa riba zao kila siku zinaong3z3ka. Na wana namba kibao, kila nusu saa unapokea namba mpya na unaongea na mtu mpya kabisa yani hajui maelezo yoyote mnaanza moja kabisa. Nikawatumbunyulia mbali mm.
 
Nawanajua kutukana Aisee.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Me sikuwalipa hata mia mbovu.. Niliwatukana mpaka wakakubali wenyewe. Na nilikopa kusudi tu kuwazingua wakanipa 65k. Wakanambia nalipa 89k kitu kama hiko.. Nkawaambia hamnijui mbwa nyie
 
Hata kama mkopaji ameshindwa kukipa si kwa hayo matukanani na kudhalilishwa kwa namna hio
 
Lipa mikopo ya watu bwana

Hizi unazotoa ni after the FACT!

Dawa ni kulipa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…