cha kwanza wewe uko bongo, alafu hawakuandamana walienda kupiga kelele kwenye milango ya ofisi wako , kenya nao walikua na kenya walipigwa wakawekwa ndan na story yao imeishia apo! however katika wote walioandamana huezi kuta tajiri pale ni maskini tu ambao hawajielewi maaana kuan mwingine maskini lakini kakosa nyenzo tu ila ana kawazo cha kutoka,