PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nilijua Hujui hata kusoma katiba , ndo inatajwa hivyo ??
mkiambiwa nyie ni wajinga mue mnaelewa, mlikua mnafuata mkumbo bila kusoma katika inasema nn kuhusu maadamano! basi utekaji ni haki yenu nchi hii inaongwa kwa SHERIA na sio mihemko
 
mkiambiwa nyie ni wajinga mue mnaelewa, mlikua mnafuata mkumbo bila kusoma katika inasema nn kuhusu maadamano! basi utekaji ni haki yenu nchi hii inaongwa kwa SHERIA na sio mihemko
Kifungu Cha 30 ibara gani ??

Sasa kama kusoma katiba Hujui huoni uko kama wale wazee mazuzu waliobadilishiwa almasi na gololi
 
Siku hiyo tupewe silaha na wao wawe na silaha tuone nani mshindi. Najua kinachowapa kiburi cha uzima askari feki wa Tanzania ni silaha wanazomiliki.
 
Angalia siku zile mlizofungiwa mitandao nilipost posts ngapi utakuwa umepata jibu, hata passport ya Bongo nasubiri ikubalike dual citizenship ndiyo niichukue ila Bongo ni nchi yangu na nitaipigania tooth and nail.
 
Angalia siku zile mlizofungiwa mitandao nilipost posts ngapi utakuwa umepata jibu, hata passport ya Bongo nasubiri ikubalike dual citizenship ndiyo niichukue ila Bongo ni nchi yangu na nitaipigania tooth and nail.
Uipiganie mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…