Apple unveils two new iPhones, Apple Watch and ApplePay

Apple unveils two new iPhones, Apple Watch and ApplePay

wewe ndio Limbukeni na hilo lisumsang lako

hahahhaa, naona hata kusoma post za huko juu haujasoma unajichomeka kichwakichwa tu! nimesema sijawahi kumiliki smartphone tofauti na iPhone, iPhone ZOTE nimeshazitumia nazijua A-Z, lakini kwa hii iPhone 6 wamenikosa, nitabaki na 5s yangu na kama nikitaka kununua simu nyingine basi sita-upgrade iPhone kama ilivyo kawaida yangu,nitanunua Samsung Note Edge, hiyo ndiyo naona imeshinda mwaka huu, natoa pesa yangu CASH mfukoni nanunua MPYA kwa hiyo nina maamuzi ya kuangalia kitu gani ni kizuri kwa wakati husika bila kujali naipenda sana kampuni gani. haya wewe sasa hebu ongea kama mtu mzima sasa tofauti na ulimbukeni wa simu ya kike simu ya kiume! Kama ni ushabiki nilitakiwa niwe nao mimi, nimeanza kutumia products za apple since i dont know when, vifaa vyangu vya electronis karibia vyote ni product za Apple Inc, lakini bado akili yangu iko huru sina upofu, wanapoharibu nasema wameharibu, siyo kila kitu unasifia kama mwanamke asiyejitambua!
 
hahahhaa, naona hata kusoma post za huko juu haujasoma unajichomeka kichwakichwa tu! nimesema sijawahi kumiliki smartphone tofauti na iPhone, iPhone ZOTE nimeshazitumia nazijua A-Z, lakini kwa hii iPhone 6 wamenikosa, nitabaki na 5s yangu na kama nikitaka kununua simu nyingine basi sita-upgrade iPhone kama ilivyo kawaida yangu,nitanunua Samsung Note Edge, hiyo ndiyo naona imeshinda mwaka huu, natoa pesa yangu CASH mfukoni nanunua MPYA kwa hiyo nina maamuzi ya kuangalia kitu gani ni kizuri kwa wakati husika bila kujali naipenda sana kampuni gani. haya wewe sasa hebu ongea kama mtu mzima sasa tofauti na ulimbukeni wa simu ya kike simu ya kiume! Kama ni ushabiki nilitakiwa niwe nao mimi, nimeanza kutumia products za apple since i dont know when, vifaa vyangu vya electronis karibia vyote ni product za Apple Inc, lakini bado akili yangu iko huru sina upofu, wanapoharibu nasema wameharibu, siyo kila kitu unasifia kama mwanamke asiyejitambua!
Mimi kwenye bidhaa za Apple hunitoi labda kampuni ife lakini hilo lakusema curve yake inafanana na iphone 3s ni uongo mtupu labda macho yako
 
Hivi hao viumbe kwani na wenyewe wanakusumbua kuhusu haya mashokolo mageni ya huku duniani?
Yaani kama mtu anakula vizuri na anavaa na anaenda chooni bila shida na nyenzo ingine ya mawasiliano anayo,, walaaaaaaaa hata hasumbui akili aisee. Anataka ajinunulie.
Hataki HEWALAAAA....

Usijali wafadhili tupo..ila ikibidi atatulipa kwa fadhila tu (JOKE USIPANDISHE PRESSURE)
 
hahahhaa, naona hata kusoma post za huko juu haujasoma unajichomeka kichwakichwa tu! nimesema sijawahi kumiliki smartphone tofauti na iPhone, iPhone ZOTE nimeshazitumia nazijua A-Z, lakini kwa hii iPhone 6 wamenikosa, nitabaki na 5s yangu na kama nikitaka kununua simu nyingine basi sita-upgrade iPhone kama ilivyo kawaida yangu,nitanunua Samsung Note Edge, hiyo ndiyo naona imeshinda mwaka huu, natoa pesa yangu CASH mfukoni nanunua MPYA kwa hiyo nina maamuzi ya kuangalia kitu gani ni kizuri kwa wakati husika bila kujali naipenda sana kampuni gani. haya wewe sasa hebu ongea kama mtu mzima sasa tofauti na ulimbukeni wa simu ya kike simu ya kiume! Kama ni ushabiki nilitakiwa niwe nao mimi, nimeanza kutumia products za apple since i dont know when, vifaa vyangu vya electronis karibia vyote ni product za Apple Inc, lakini bado akili yangu iko huru sina upofu, wanapoharibu nasema wameharibu, siyo kila kitu unasifia kama mwanamke asiyejitambua!

Aaaaaaiiii weye apple mwenzio wameniloga yan sijaipenda 6 but no way nitanunua tho now nina 5S bas wenzangu wananishangaa me only natumia iphone chezea iphone najua utanunua tu ngoja tar 19 iingie mtaan utaona .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aaaaaaiiii weye apple mwenzio wameniloga yan sijaipenda 6 but no way nitanunua tho now nina 5S bas wenzangu wananishangaa me only natumia iphone chezea iphone najua utanunua tu ngoja tar 19 iingie mtaan utaona .


Sent from my iPhone using JamiiForums

umenena vyema mkuu, safari hii wamechemka design kabsaa, na huko nyuma kamera umeprotrude kama makalio ya bata..aaargh! hakyanani Jobs akifufuka ataikataa hiyo simu atajua ni clone la kichina.
 
Camera hyo hyo inatosha haina shida ila wameongezea vtu flan kwenye camera hyo kutoa quality pic hapna chezea apple lakin ile ndogo yake nzur ila ile kubwa kdogo sijui plus itanifaa coz nitaweka kwenye mkoba haina shida kwangu labda kweny guys ndio majanga itabid mnunue ile ndogo ake.ila apple watch naisubir kww ham sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
umenena vyema mkuu, safari hii wamechemka design kabsaa, na huko nyuma kamera umeprotrude kama makalio ya bata..aaargh! hakyanani Jobs akifufuka ataikataa hiyo simu atajua ni clone la kichina.

Camera hyo hyo inatosha haina shida ila wameongezea vtu flan kwenye camera hyo kutoa quality pic hapna chezea apple lakin ile ndogo yake nzur ila ile kubwa kdogo sijui plus itanifaa coz nitaweka kwenye mkoba haina shida kwangu labda kweny guys ndio majanga itabid mnunue ile ndogo ake.ila apple watch naisubir kww ham sana


Sent from my iPhone using JamiiForums


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Camera hyo hyo inatosha haina shida ila wameongezea vtu flan kwenye camera hyo kutoa quality pic hapna chezea apple lakin ile ndogo yake nzur ila ile kubwa kdogo sijui plus itanifaa coz nitaweka kwenye mkoba haina shida kwangu labda kweny guys ndio majanga itabid mnunue ile ndogo ake.ila apple watch naisubir kww ham sana


Sent from my iPhone using JamiiForums


Sent from my iPhone using JamiiForums

kwenye saa napo hawajanifurahisha design, linafanana tu na la samsung na lg!! apple zamani walikuwa wabunifu bana wakitoa kitu kinakuwa unique, sasa hilo saa la square kusema kweli mimi linanitia ukakasi kuvaa mkononi nitaonekana kama kijana wa kihuni flani hivi!...katika saa za ukweli kabisa ambazo ukiiangalia tu unatoa pesa bila kuomba discount ni Moto360 kutoka motorola, kama wazo langu la kununua Note Edge nitaamua kulitekeleza basi nitanunua hii:
Moto-360.jpg

784097287778919083.jpg

moto360_2-100322710-orig.jpg

Hii saa hii dada Jestkilla ndiyo ilitakiwa iwe saa ya Apple sasa, its simply stunning, simple, genius! Ni saa ambayo ukiivaa inabaki kuwa saa, siyo boksi ambalo ukilivaa kila mtu anang'amua ni kitu gani, ni kama umefunga lisimu mkononi. Sijui Motorola wamewezaje hii kitu, kila nikiiangalia roho inaniuma sana kuona siyo bidhaa ya Apple, kila mtu ameipenda hii saa na imekuwa sold out ndani ya siku moja ilivyoingizwa sokoni, nadhani batch nyingine imetoka leo kama sikosei. Kila nikiiona pesa mfukoni inafurukuta kutoka, natamani hata niinunue japo sina simu ya android! Kwenye smartwatch Motorola wamechukua ushindi mwaka huu, hands down!
 
kwenye saa napo hawajanifurahisha design, linafanana tu na la samsung na lg!! apple zamani walikuwa wabunifu bana wakitoa kitu kinakuwa unique, sasa hilo saa la square kusema kweli mimi linanitia ukakasi kuvaa mkononi nitaonekana kama kijana wa kihuni flani hivi!...katika saa za ukweli kabisa ambazo ukiiangalia tu unatoa pesa bila kuomba discount ni Moto360 kutoka motorola, kama wazo langu la kununua Note Edge nitaamua kulitekeleza basi nitanunua hii:
View attachment 185411

View attachment 185413

View attachment 185415

Hii saa hii dada Jestkilla ndiyo ilitakiwa iwe saa ya Apple sasa, its simply stunning, simple, genius! Ni saa ambayo ukiivaa inabaki kuwa saa, siyo boksi ambalo ukilivaa kila mtu anang'amua ni kitu gani, ni kama umefunga lisimu mkononi. Sijui Motorola wamewezaje hii kitu, kila nikiiangalia roho inaniuma sana kuona siyo bidhaa ya Apple, kila mtu ameipenda hii saa na imekuwa sold out ndani ya siku moja ilivyoingizwa sokoni, nadhani batch nyingine imetoka leo kama sikosei. Kila nikiiona pesa mfukoni inafurukuta kutoka, natamani hata niinunue japo sina simu ya android! Kwenye smartwatch Motorola wamechukua ushindi mwaka huu, hands down!

hizo saa za kuchaji kwa siku mara 2 mimi siziwezi.

pebble japo ni kampun ndogo ila kwangu ndio naona atleast wanaelekea muelekeo mzuri
 
hizo saa za kuchaji kwa siku mara 2 mimi siziwezi.

pebble japo ni kampun ndogo ila kwangu ndio naona atleast wanaelekea muelekeo mzuri

chaji kweli ni tatizo, review nyingi zinasema light usage inaweza kukupa up to 15hrs, heavy usage inakupa about 10 hrs, mi naona si tatizo sana kwa sababu ndiyo saa yao ya kwanza, obviously watarekebisha hilo katika toleo lijalo, kikubwa wameshainasa design inayoapeal kwa watu, wamemali za kazi, hizo saa pamoja na tatizo lake upande wa charge zimenunuliwa kama njugu, hakuna smartwatch iliyowahi kuuza hivo ndani ya muda mfupi!
 
chaji kweli ni tatizo, review nyingi zinasema light usage inaweza kukupa up to 15hrs, heavy usage inakupa about 10 hrs, mi naona si tatizo sana kwa sababu ndiyo saa yao ya kwanza, obviously watarekebisha hilo katika toleo lijalo, kikubwa wameshainasa design inayoapeal kwa watu, wamemali za kazi, hizo saa pamoja na tatizo lake upande wa charge zimenunuliwa kama njugu, hakuna smartwatch iliyowahi kuuza hivo ndani ya muda mfupi!

Sinunui saa ya kampuni yeyote ya simu, mi naona kama matoy ya watoto kuchezea.

Kuna executive watches out there, meeen.
 
chaji kweli ni tatizo, review nyingi zinasema light usage inaweza kukupa up to 15hrs, heavy usage inakupa about 10 hrs, mi naona si tatizo sana kwa sababu ndiyo saa yao ya kwanza, obviously watarekebisha hilo katika toleo lijalo, kikubwa wameshainasa design inayoapeal kwa watu, wamemali za kazi, hizo saa pamoja na tatizo lake upande wa charge zimenunuliwa kama njugu, hakuna smartwatch iliyowahi kuuza hivo ndani ya muda mfupi!

solution ya battery kwenye simu ni kutengeneza simu kubwa. kwa technology ya sasa hawawez kuboresha battery kwenye display na os kama hio. labda waanze kutoa gear note saa kubwa. na kwa style hio gym zitafilisika mwaka huu, ukiyapata mawili kila mkono
 
solution ya battery kwenye simu ni kutengeneza simu kubwa. kwa technology ya sasa hawawez kuboresha battery kwenye display na os kama hio. labda waanze kutoa gear note saa kubwa. na kwa style hio gym zitafilisika mwaka huu, ukiyapata mawili kila mkono

teknolojia inabadilika kila siku, moto360 ndiyo kwanza iko ver 1.0 amini toleo lijalo litakuwa bora. na kutengeneza simu kubwa zaidi ujue unaongeza size ya kioo, utahtaji processor na gpu bora zaidi ili kuisukuma, vyote hivyo vinatafuna charge, labda kama ulimaanisha "unene"!
 
Sinunui saa ya kampuni yeyote ya simu, mi naona kama matoy ya watoto kuchezea.

Kuna executive watches out there, meeen.


uko sahihi, ni kweli huwezi kuvaa smartwatch halafu umepiga suti uko kwenye event, smartwatch kwangu mimi naona iko handy wakati say uko mazoezini inakusaidia na apps za fitness na pia inakupoa notification za kwenye simu bila kulazimika kuchomoa simu, kama uko safari au sehem nyingine casual, inakupa notification za muhimu bila kulazimika kutoa simu, kuna sehem unakuwa hauko confortable sana kukaa umetumbua macho kwenye simu, unataka iwe out of sight lakini bado unataka kuwa notified kinachoendelea kw
enye simu.
 
Wakuu kunaukweli wowote juu ya hizi picha na maelezo?

mimi ni mpenzi wa iOS lakini huwa sipendi kuingia kwenye ligi za nani bora, mwisho wa siku kila os ina advantage na disadvantage zake, mwisho wa siku inabaki preference ya mtumiaji. btw, yaliyoandikwa hapo juu ni kweli, lakini wapenzi wa android nao wana yao!
 
Binafsi sijawahi hata ifungua iphone an device zake. Mie mtu wa samsung napenda chezea simu sana, kupata all access.
 
Back
Top Bottom