Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Ukinunua nitakuja kuiona
Na ukiona utabadili mawazo ghafla na utanunua ya kwako,believe me.
Ukinunua nitakuja kuiona
Nilishakaribia Mkuu,huko Samsung wananipata kwenye TV na Fridge ,but Simu zao big NO.
About User name, umenifanya nicheke maana na mimi ni jina langu nilipewa na Bibi yangu,utotoni nilikuwa nalia sana wakiniita hilo jina tena kwa utani mwingi,as am grown up niko proud na hilo jina.
Usijali wafadhili tupo..ila ikibidi atatulipa kwa fadhila tu (JOKE USIPANDISHE PRESSURE)