Apple unveils two new iPhones, Apple Watch and ApplePay

Apple unveils two new iPhones, Apple Watch and ApplePay

F*****hii kit hata mimi am confused ....apple walitakiwa toa kitu hakuna mfano sasa hii round curve ...I doubt
 
I agree..tatizo linakuja kwenye ndoa zetu sasa ni kununiana mpaka tuwanunulie haya ma iphone 6 plus..dahh ngoja tuanze kuweka provisions kabisa maana hii ina fall kwenye capex hii

Hivi hao viumbe kwani na wenyewe wanakusumbua kuhusu haya mashokolo mageni ya huku duniani?
Yaani kama mtu anakula vizuri na anavaa na anaenda chooni bila shida na nyenzo ingine ya mawasiliano anayo,, walaaaaaaaa hata hasumbui akili aisee. Anataka ajinunulie.
Hataki HEWALAAAA....
 
Apple are set to counter attack their close competitors with this new launch.
Lets wait and see the stocks skyrocket in this week.
 
Apple are set to counter attack their close competitors with this new launch.
Lets wait and see the stocks skyrocket in this week.

usubiri nini wakati tayari stock zimeshukaa. at same time za msft zimepanda vibaya mno.
 
hii ni takataka, poorest iPhone design ever! simu kama nokia lumia?..mammae zako Tim kazi imekushinda! Apple walitakiwa kubaki na distinctive premium look kama ya iphone 5s, only slimmer. sasa hii takataka si ndiyo walikotoka zamani, kwenye 3g, huyu fal.a kapewa rungu naona wanaevolve backward...mpumbavu tu! sasa nimeamini Jobs alikuwa zaidi ya kichwa, vilikuwa vichwa mia nane, tuombe wakina Wozniak wasife mapema, tutaletewa Mac zinafanana na Fujitsu na kurun ubuntu!

Naunga mkono hoja,haina mvuto kabisa.curve ni kurudi nyuma
 
better go for lumia,kama unaangalia classy katka uchaguz wa simu..

apple wameshafeli..
 
Hamjui simu! Kuna watu humu hamjaangalia keynote event ya apple. Mnalopoka tu! Kwa taarifa tu, apple watch ni nzuri kuliko hizo saa za samsung na wengine. Hiyo round shape sio kuwa apple wamerudi nyuma, subirini muone simu ilivyo, sio kushabikia tu. Ukisema bora iphone 4 au 5 nakushangaa sana, maana hata hiyo 3g hukuwahi tumia pengine! Mimi binafsi nampongeza Tim maana amepiga hatua. Nawashauri mgoogle kwanza. Kingine, specifications za devices za apple huwa real, ila hao wengine wanaweza sema camera 16 pxls kumbe ni 5 katika uhalisia... Apple stills produce the best products ever ukilinganisha na hizo simu zenu za mademu na house girls. Maana kila dem, samsung! Hiyo simu hiyo?
 
Nimetumia iphone 5 na nimetumia nexus and note...unaposema pix ni kama 5, unatudanganya mkuu, kwa hili apple wamefeli. Hata kwa upande wa saa, moto360 is a suitable and already proven competitor. The only thing they can really boast of is the CPU architecture, ARM v8 iko vizuri kiasi flani
 
Kwa mtu yeyote ambaye anaelewa hizi technologies ni wazi safari hii apple wamechemsha. Apple wameshindwa kuendelea kuwa unique, better and special. Wamekuwa 'just another smartphone brand on the market'
 
Design no ovyo

Of course design ya nje esp ile ya kurudisha deneration 0ne ya kuweka curve kwenye kona its not all that smart ila the content i.e. interior specs ziko makini sana sijui kama kuna aliyefatilia in details zaidi.
Mi naona iko poa sana so far. Labda wameacha room for expansion huko mbele. Market is still competitive.
Lets wait and see
 
kaka chief-mkwawa nimesoma comment yako nilikuwa sijafatilia mwenendo wao sokoni umekaaje. Thanks for the info. CYBERTEQ kwa kiasi fulani naweza kukubaliana na wewe kwenye baadhi ya mambo ila nna wasiwasi kwa sababu hujaiona simu physically ukaicheki contents. Ukishaitia mkononi na kuiangalia vizuri ndo unaweza rudi tena.
Binafsi ni mtumiaji wa iPhone, na nilipenda unique design in iPhone 5s. Ila kwa hii mibunduki waliyotoa naona outer design haiko sawa.
Enewei..............
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom