Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,660
Aisee maisha yanaenda Kasi Sana,
Kwaiyo sahv iPhone inashea chaji na Tecno
Aisee maisha yanaenda Kasi Sana,
Kwaiyo sahv iPhone inashea chaji na Tecno
We unawasikiliza Apple? Kikubwa angalia specs za chajaWatu km nyie ndo mnasababisha vtu vya watu vinaungua sabu ya ujuaji wenu
Magari ya watu yanaungua sabu ya watu km nyie unaambiwa hii waya haifai kutumia kwenye nissan dual ww unasema ni biashara mwisho wa sku gar inaungua
Sasa apple wamekwambia charge yake na ile ya android hazifanani kwa jinsi zilivyo tengeneza ww unaleta propaganda zako
Wewe papai embu Soma kwa utulivu alichoandika jamaa ndicho Apple walichosisitiza.Watu km nyie ndo mnasababisha vtu vya watu vinaungua sabu ya ujuaji wenu
Magari ya watu yanaungua sabu ya watu km nyie unaambiwa hii waya haifai kutumia kwenye nissan dual ww unasema ni biashara mwisho wa sku gar inaungua
Sasa apple wamekwambia charge yake na ile ya android hazifanani kwa jinsi zilivyo tengeneza ww unaleta propaganda zako
Yah hata sisi android ni special sana nasisi hatutumii chaja ZAO damnHawa apple wanajifanya ni special sana
Unayemwelekeza huyo hili ndoo jukwaa lake....hatupingi mtazamo wako ila heshimu idea yake pia ikikufaa chukua isipokufaa pita vileWatu km nyie ndo mnasababisha vtu vya watu vinaungua sabu ya ujuaji wenu
Magari ya watu yanaungua sabu ya watu km nyie unaambiwa hii waya haifai kutumia kwenye nissan dual ww unasema ni biashara mwisho wa sku gar inaungua
Sasa apple wamekwambia charge yake na ile ya android hazifanani kwa jinsi zilivyo tengeneza ww unaleta propaganda zako
Watatema ndoano, yani apple wakiyakoroga huwa hawakubali lawama, lazima waitupie kwingine. Apple kwa sasa anagaragazwa na Google pixel, utawala wake mwisho mwaka huu. Pixel 8 ni ๐ฅ hiyo 9 ndio itakuwa funga kazi. Apple ibaki kwa wapenda show off.๐๐ฝ๐ฝ๐น๐ฒ ๐ถ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐ผ๐ป๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ๐ธ๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ฑ๐ฟ๐ผ๐ถ๐ฑ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ผ
View attachment 2769662
Store ya Kampuni ya apple nchini china imewaonya watumiaji wa iphone 15 series kuacha kuchaji simu zao kwa kutumia chaji za simu za android kwani ni hatari kwao.
Baada ya apple kutoa series ya iphone 15 ikiwa zinatumia mfumo wa type C Kwenye kuchaji watumiaji wengi wa iphone wamegundulika wanatumia chaji za Android kuchaji simu zao.
View attachment 2769661
Ripoti inaonyesha Kupitia duka la apple nchini china foshan , wamewaonya watumiaji wa iphone 15 kuacha kutumia chaji za Usb type C za android kwani zinasababisha simu hizo kupata sana joto kutokana na muundo uliowekwq wa simu za android na iphone ni Tofauti pin zake.
Chaji za iphone zinaonyesha Zina mfumo wa pini 9 wakati android 11 hivyo upelekea simu kupata sana joto hivyo wafanyakazi wa apple wanasema kuwa chaji za simu za android sio nzuri kutumia Kwenye apple.
Apple inawashauri watumiaji wa vifaa vyao watumie chaji official kutoka kampuni yao sio Zingine.
View attachment 2769660
Mkuu usb C ni Usb C na ina pin kibao, Jumla zipo pin 24 hivyo si kweli kwamba moja ina pin 9 na nyengine pin 11 zote zina pin 24Sasa kama type c ya iPhone ina pin 9 na za android zina pin 11, hapo ikichomeka hy yenye pin 11 si itakuwa inapeleka moto kwenye hizo pin 9 za iPhone huku pin mbili zilizobakia zitakuwa hazifanyi kazi au ipo vp.?
CC: Chief-Mkwawa
HahahaWatatema ndoano, yani apple wakiyakoroga huwa hawakubali lawama, lazima waitupie kwingine. Apple kwa sasa anagaragazwa na Google pixel, utawala wake mwisho mwaka huu. Pixel 8 ni hiyo 9 ndio itakuwa funga kazi. Apple ibaki kwa wapenda show off.
Mkuu... Ni kweli unachosema ila mimi naona kwa Watz kama wakinunua iPhone 15 series ni heri tu na charger za Type C wanunue za Apple maana wengi hapa Bongo hawana uelewa wa haya mamboHapo wanatumia tu marketing terms kumislead watu, in layman terms Apple wanasuport power delivery standard ya fast charging, hata Macbook inakubali standard hii.
Kuna standard nyengine kama Quick charge ya Qualcomm, Vooc ya Oppo, warp charge ya Oneplus, Hyper charge ya Xiaomi etc.
So Apple wanasema usitumie hizo bali utumie charger ya Power delivery.
Charger ya Power delivery ina charge vitu vingi sana na sio proprietary kama hizo huko juu na haipo exclusive Kwa Apple tu kampuni kibao zinatumia.
Sio kweli. User experience ni nzuri zaidi kwenye pixel phones. On paper apple zipo vizuri. Kitu ambacho kwa sasa apple bado wapo juu ni video. Basi. Display anagaragazwa vibaya na super actua display za pixel, design anapigwa. Camera anapigwa. Software ndio anagaragazwa mbali kabisa, huwezi fananisha siri na Google assistant, transcription, translation,haptics. Acha we. Apple's reign is up.Hahaha
Mkuu sikatai Google Pixel zipo vizuri.
Ila Apple ana simu nzuri kuliko za Google Pixel.
Ni wewe tu uchague unataka iOS au Android maana software no subjective.
Ila tuje kwenye mambo mengine display, battery life, overall camera system, gaming and performance, speakers, video quality, Face ID, nk Apple zipo vizuri kuliko Google
*iPhone 15 Pro Max ina performance kubwa zaidi kupitia AnTuTu v10 benchmark, iPhone 15 Pro Max ina 1571000 score wakati hiyo Pixel 8 Pro ina 1141000 score. Inapitwa hata na 14 Pro kwenye performanceSio kweli. User experience ni nzuri zaidi kwenye pixel phones. On paper apple zipo vizuri. Kitu ambacho kwa sasa apple bado wapo juu ni video. Basi. Display anagaragazwa vibaya na super actua display za pixel, design anapigwa. Camera anapigwa. Software ndio anagaragazwa mbali kabisa, huwezi fananisha siri na Google assistant, transcription, translation,haptics. Acha we. Apple's reign is up.
*iPhone 15 Pro Max ina performance kubwa zaidi kupitia AnTuTu v10 benchmark, iPhone 15 Pro Max ina 1571000 score wakati hiyo Pixel 8 Pro ina 1141000 score. Inapitwa hata na 14 Pro kwenye performance
Google Pixel 8 Pro inatumia Google Tensor G3 (4nm) wakati 15 Pro Max ina Apple A17 Pro ambayo inafanya iPhone 15 Pro Max kuwa na performance kubwa kwa asilimia 38 zaidi ya Pixel 8 Pro
Benchmark zote zinaonesha Pixel imekalishwa parefu kuanzia GPU hadi CPU
*Hiyo display unayosema kuwa imeishinda iPhone ubora ni display ya Pixel ipi. Kama ni 8 Pro, basi Pixel 8 Pro imefanikiwa kushinda brightness simu zote kasoro iPhone 15 series.
*Kwenye ukaaji wa chaji huku Pixel ndio haigusi kabisa. Battery test za Google Pixel 8 Pro na iPhone 15 Pro Max zimefanywa na results zinajitosheleza. Soma hapa
GOOGLE PIXEL 8 PRO
Web browsing: 11hrs 6min
Watching videos: 15hrs 40min
Gaming: 4hrs 19min
Standby: 81hrs
General battery life: 30hrs 8min
IPHONE 15 PRO MAX
Web browsing: 17hrs 3min
Watching videos: 22hrs 31min
Gaming: 6hrs 42min
Standby: 154hrs
General battery life: 48hrs 25min
Hakuna sehemu hata moja ambayo Pixel katoboa mbele ya iPhone
*Speakers: iPhone 15 Pro Max ina Dolby Atmos, Pixel 8 Pro haina.
Na bado iPhone 15 Pro Max inawekewa uwezo wa kucheza games za Resident Evil Village, Resident Evil 4 Remake na Assassin's Creed Mirage mwaka huu (2024) kama tu unavyocheza kwenye PS bila kubadili chochote
Flagship za Apple ziko vizuri kushinda Pixel, kinachokuja kutofautisha unachohitaji ni software tu, aidha unataka Android au iOS ila kwa sehemu nyingine nyingi iPhone zipo vizuri
Halafu kwenye kamera kiujumla, Google Pixel 8 Pro inapitwa na iPhone 15 Pro Max. Angalia comparison mbalimbali mfano anza na hii
View: https://youtu.be/RyVitycWTZU?si=NAa4TDVOM9XfSF5e
Niambie maana ya On paper ni nini mzeeHizo ni on paper sio real life, ma benchmark yapo calibrated na iphone mzee, The best display ni ya pixel 8 series no doubt. Kwenye camera ni video tu ndio apple ipo juu, pengine ni taabani. Acha kukariri. Apple sio kila kitu.
Android pin 11 na iPhone 15 pin 9 sasa bado ni layman au mnaponda tuHapo wanatumia tu marketing terms kumislead watu, in layman terms Apple wanasuport power delivery standard ya fast charging, hata Macbook inakubali standard hii.
Kuna standard nyengine kama Quick charge ya Qualcomm, Vooc ya Oppo, warp charge ya Oneplus, Hyper charge ya Xiaomi etc.
So Apple wanasema usitumie hizo bali utumie charger ya Power delivery.
Charger ya Power delivery ina charge vitu vingi sana na sio proprietary kama hizo huko juu na haipo exclusive Kwa Apple tu kampuni kibao zinatumia.
Watu km nyie ndo mnasababisha vtu vya watu vinaungua sabu ya ujuaji wenu
Magari ya watu yanaungua sabu ya watu km nyie unaambiwa hii waya haifai kutumia kwenye nissan dual ww unasema ni biashara mwisho wa sku gar inaungua
Sasa apple wamekwambia charge yake na ile ya android hazifanani kwa jinsi zilivyo tengeneza ww unaleta propaganda zako
Apple aliondoa earphone jack ili kuungana na sera ya utunzaji wa mazingira,Apple Ni Wazuri Wana Marketing Skills Kubwa,hapo Wanatengeneza Soko La Usb Zao Baada Ya Kuona Zinaanza Kudoda,Pia Walitoa Headphone Jack Kwenye Flagship Zao Kuanzia Iphone 7 Wakisingizia Aina Ya Display Kumbe Wanakuza Soko La Earpod Na Ndo Wanachofanya Sasa