Apple ni marufuku kutumia chaji za Android

Apple ni marufuku kutumia chaji za Android

Type C zote ni pin 24/12 huwezi ukaweka type C Yako mwenyewe ikaitwa Type C. There is a reason kwanini ni standard, standard ina maana zinafanana zote, we unafikiri Umoja wa Ulaya ni wajinga kuforce Apple Watumie Type C halafu wawaache waharibu standard?
Kwa hiyo anaeumia kwa saa ni nani? Maana kama simu inachemka si inaharibika taratibu na wakugharamia ni mteja, wanaotumia hizo simu wafuate company inachosema sio msimamo wa standard ya eu, wakati hiyo standard haifanyi kazi ipasavyo kwenye vifaa vyao(wameiruka) kama vipi wafungiwe
 
Kwa hiyo anaeumia kwa saa ni nani? Maana kama simu inachemka si inaharibika taratibu na wakugharamia ni mteja, wanaotumia hizo simu wafuate company inachosema sio msimamo wa standard ya eu, wakati hiyo standard haifanyi kazi ipasavyo kwenye vifaa vyao(wameiruka) kama vipi wafungiwe
Haiwezi kuchemka ukitumia power delivery, hizo ni standard zimewekwa simu yoyote inayotumia power delivery iwe Samsung, iwe Tecno, iwe laptop, iwe desktop, kiwe kinanda as long as ni type C yenye power delivery charge zinaingiliana.
 
Haiwezi kuchemka ukitumia power delivery, hizo ni standard zimewekwa simu yoyote inayotumia power delivery iwe Samsung, iwe Tecno, iwe laptop, iwe desktop, kiwe kinanda as long as ni type C yenye power delivery charge zinaingiliana.
Wao wanatrack vipi hilo tatizo mpaka kuwaambia wateja wao wasitumie?
Wakati wewe unasema haina shida!
 
Wao wanatrack vipi hilo tatizo mpaka kuwaambia wateja wao wasitumie?
Wakati wewe unasema haina shida!
Bro nishaelezea huko juu vyote hivi soma comment zilizopita, Kuna standard nyengine ambazo sio power delivery, Kuna Vooc ya Oppo, Quick charge ya Qualcomm, rapid charge ya OnePlus, fast charging nyengine proprietary za kina Xiaomi, Motorola etc.
 
Watu km nyie ndo mnasababisha vtu vya watu vinaungua sabu ya ujuaji wenu
Magari ya watu yanaungua sabu ya watu km nyie unaambiwa hii waya haifai kutumia kwenye nissan dual ww unasema ni biashara mwisho wa sku gar inaungua

Sasa apple wamekwambia charge yake na ile ya android hazifanani kwa jinsi zilivyo tengeneza ww unaleta propaganda zako
Mwenzio kaweka vitu technical wewe Porojo tupu......
Hoja hupingwa kwa hoja, sio maneno matupu.
Kama hujui ni vyema kukaa kimya.
 
Niambie maana ya On paper ni nini mzee

Google Pixel 8 Pro on paper wanasema inafikia peak brightness ya 2400nits, iPhone 15 Pro Max ni 2000nits
Lakini gsmarena wametest wamekuta Google Pixel 8 Pro inafikia 1600nits tu, iPhone 15 Pro Max anafikia hadi 1800 huko.
Hapo nani anadanganya on paper??

Kwenye kamera unaanzaje kusema iPhone ni video tu? Basi na mimi nasema Pixel ni picha tu kwingine majanga. Itakuwa sahihi kusema hivyo?
Hiyo video ya camera comparison niliyokuwekea umejisumbua hata kuiangalia? Kamera overall ni kuanzia main camera, ultrawide camera, telephoto lens, selfie camera na kuna mengi sana ya kutest ukiondoa hizo video na picha za kupoint na kushoot. Nimekuwekea hiyo video ili uone maana on paper Pixel 8 Pro ina camera specs nzuri kuliko iPhone ila kwenye kuzitest iPhone inaperform better kuliko Pixel 8 Pro. Again nani anadanganya on paper?

Kuhusu battery life, hizo sio results za On paper. Pixel 8 Pro ina 5050mAh on paper na iPhone 15 Pro Max ina around 4000mAh ila bado inatunza chaji parefu kushinda Pixel 8 Pro. Pixel 8 Pro ina utunzaji wa chaji mbovu ukifananisha na iPhone 15 Pro Max. Hii sio on paper mzee. Gsmarena wametest, kasome review Acha ubishi
Hapa pia, nani kadanganya on paper?

Kwenye performance Google Pixel 8 Pro imeachwa mbali na iPhone 15 Pro Max kuanzia on paper hadi in real life. Tests zimefanywa kaangalie. Gsmarena wamethibitisha, Pixel 8 Pro inazidiwa performance hadi na Qualcomm Snapdragon 8+ Gen 1 ambayo hii imetumika kwenye Xiaomi 12S Ultra. Kama Xiaomi 12S Ultra inazidi Pixel 8 Pro kwenye performance, sembuse iPhone 15 Pro Max?

Acha kusema neno "ON PAPER" kama hujui maana yake badala yake kafanye utafiti kwanza ndio uje kutetea unachokisema kwa data
Hakuna kitu umeandika. GSM arena sio conclusive, wapo reviewers wengi sana, dx omark etc etc, real life use ndio inasema kila kitu. Hakuna simu ipo practical kama pixel. Minazi zote ,nina iphone 15 pro, na pixel 8. Najikuta mara nyingi nahangaika na pixel zaidi. It is so enticing and addictive to use. Kwa battery nakubaliana na wewe na video tena kidogo tu. An average user wala hata notice the difference as 1 charge inatosha the whole day! Iphone is just overrated and boring. Yani nimenunua kwa trend kusema la ukweli na ni vile ina sync na Mac vizuri otherwise hakuna maajabu, bora mtu ata ukae na 13 yako. FYI display ya pixel ukiona ni kali zaidi. Achana na ma benchmark, real life use ndio kila kitu.
 
Wewe unasikiliza maelezo lakini wangine wapo field wana taste! Muheshimu sana chief Mkwawa kwenye hii field!.

Ingawa hujakosea kutoa maoni.
Bold. Na ipigiwe mstari. Ni amri[emoji23]
 
Hakuna kitu umeandika. GSM arena sio conclusive, wapo reviewers wengi sana, dx omark etc etc, real life use ndio inasema kila kitu. Hakuna simu ipo practical kama pixel. Minazi zote ,nina iphone 15 pro, na pixel 8. Najikuta mara nyingi nahangaika na pixel zaidi. It is so enticing and addictive to use. Kwa battery nakubaliana na wewe na video tena kidogo tu. An average user wala hata notice the difference as 1 charge inatosha the whole day! Iphone is just overrated and boring. Yani nimenunua kwa trend kusema la ukweli na ni vile ina sync na Mac vizuri otherwise hakuna maajabu, bora mtu ata ukae na 13 yako. FYI display ya pixel ukiona ni kali zaidi. Achana na ma benchmark, real life use ndio kila kitu.
Ungesema kuwa wewe ndio unaipenda hiyo Pixel
Ila kusema Google Pixel 8 Pro ni kali kuliko iPhone 15 Pro Max huo ni uongo
 
Ungesema kuwa wewe ndio unaipenda hiyo Pixel
Ila kusema Google Pixel 8 Pro ni kali kuliko iPhone 15 Pro Max huo ni uongo
Sio naipenda, Aisee ata wewe ukianza kuitumia utakuwa drawn to pixel. Nimeanza kutumia iphone 3G 2008 Braza, mpaka tunapoongea, niliruka 5 na 6 tu, yani apple wa kutosha, ila sio kwamba pixel ni perfect ila user experience yake ni the best. Ata Mkbhd daily driver yake ni pixel, na sababu ipo. Yani hapa napo type tu haptics zake zinahamasisha.
 
Sio naipenda, Aisee ata wewe ukianza kuitumia utakuwa drawn to pixel. Nimeanza kutumia iphone 3G 2008 Braza, mpaka tunapoongea, niliruka 5 na 6 tu, yani apple wa kutosha, ila sio kwamba pixel ni perfect ila user experience yake ni the best. Ata Mkbhd daily driver yake ni pixel, na sababu ipo. Yani hapa napo type tu haptics zake zinahamasisha.
Haya
 
Nunua pixel, hutojutia. Achana na blah blah za mitandaoni, nilianza na pixel 6, it was nice! Japo mitandaoni niliona watu kibao wanalalamikia bugs, binafsi sikuona shida, ila issue kwangu kiukweli ilikuwa ni battery life, nilikuwa naitumia sana kwahiyo nikawa naimaliza charge kila siku, japo haikuwa mbali sana na iphone 13 plain nliokuwa nayo wakati huo. Ila camera, sijui software, ui, team pixel is pretty good. Iphone tunanunua kama status symbol kwa wengi ila hatuziitaji hasasa bongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom