Apple Iphone 12 is finally here

Mnajipa moyo utadhani wanatengeneza juice za azam.

Hizo chip sets zinahitaji years of research K

Mwaka Huu Kirin 9000 ndio kawabatua na hiyo Mwakani unayosema Huawei watakufa kifo cha mende Kirin ipo kama kawaida watu washapewa green light huko we endelea na stori za kuuza miwa.
 
Hakuna Jeneza na wala Hafi mtu.

 
Kama kushindwa kushikilia cm ndo u gimmick wenyewe basi itakuwa gimmick . Lakini kazi ya magsafe siyo hiyo hata ukienda web ya Apple Hamna kitu kama hicho. Ile siyo holder mkuu ni charger
Najua.

Ila kwenye purukushani unaweza kuweka simu yako ikatoka. Inakuwa kama unachajia Chi.
 
Mwaka Huu Kirin 9000 ndio kawabatua na hiyo Mwakani unayosema Huawei watakufa kifo cha mende Kirin ipo kama kawaida watu washapewa green light huko we endelea na stori za kuuza miwa.
Akili zako ndo zinakuambia kwamba watu wananunua simu kisa processor.
 
Kinachowafanya waendelee kuwa juu ni brand loyalty. Sijaona kampuni nyingine yenye wateja loyal kama Apple...nadhani kama blackberry angedumu mpk leo ndio angeweza mpa shida stahili tunda
Unaitwa ukondoo, usiopambe kwa kuuita u loyal, ni ukondoo.
 
Nisiijue wakati ndio naitumia kwenye grand prime
Hebu tuambie basi
1. Hio grand prime yako inakaa na chaji kiasi gani?
2. Ina nguvu kiasi gani?
3. Ilitoka lini?

Inaweza kurun apps za kisasa kama pubg?
 
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.

Ila siku Iko fresh kabisa
 
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.

Ila siku Iko fresh kabisa
Kama hiyo simu ipo na warranty irudishe dukani wakupe nyingine.

Hakikisha unaijaribu hapohapo. Kama itasumbua na hiyo mpya inawezekana shida ikawa mtandao wa simu unaotumia.
 
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.

Ila siku Iko fresh kabisa

Download firmware yake then jaribu kui reset kupitia itunes. Kuna chance inaweza kuwa ni conflict ya software ila pia inawezekana kuna hardware issue sana sana modem .

Fuata hii link Which iOS device do I have? / IPSW Downloads
 
Kama hiyo simu ipo na warranty irudishe dukani wakupe nyingine.

Hakikisha unaijaribu hapohapo. Kama itasumbua na hiyo mpya inawezekana shida ikawa mtandao wa simu unaotumia.
Za Makumbusho hazina Warranty Mkuu😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…